Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kuuliza kama anahutubia au anajibu maswali ndo nimekuwa hater?haters 😂
Akienda mtaanza kusema anavizia teuziGwiji la maswali Pascal Mayalla bila shaka upo hapo. Nakutegemea Sana kiongozi.
Siyo wote huwa tunamnanga huyu jamaa. Binafsi namkubali Sana huyu jqmaa. Lkn kuna wajanja wachache wanamwonea wivu. Nadhani kawazidi sana akili Sasa wanajaribu kumdhoofisha.Akienda mtaanza kusema anavizia teuzi
Wanahabari wetu hawajui kuuliza maswali magumu bali kusifia tuNitafurahi kama leo atakuwa anajibu maswali toka kwa wanahabari.
Wanafukizia teuzi. Njaa kaliWanahabari wetu hawajui kuuliza maswali magumu bali kusifia tu
Ila kutoka moyoni paskali ana akili sana na kiukweli anapaswa kupata teuziSiyo wote huwa tunamnanga huyu jamaa. Binafsi namkubali Sana huyu jqmaa. Lkn kuna wajanja wachache wanamwonea wivu. Nadhani kawazidi sana akili Sasa wanajaribu kumdhoofisha.
lini atazungumza na sisi wana familia ya JF tuna jambo letuAzungumze na nssf watupe pesa yetu. Hilo fao la kujikimu miezi sita ni utani tu!
Ya Konde kali zaidi...😀Nimependa nyimbo ya Barnaba
Yametimia mapema kabisaSometime katika huo mkutano watamwambia serikali itoe matangazo private na wao wapate hela za kujiendesha.
Hiyo ndio Tanzania mtu anaenda shule au anaanzisha biashara, baadae asipota ajira ya serikali au tender za serikali; raisi au waziri hafai.
Kama humtaji stone katika hiyo falsafa mkuu itakuwa humtendei hakiNikimuangalia Jokate na huyu mama naona falsafa yao kiuongozi ni moja tu wamejikita ktk kujibrand zaidi kuliko kukaa na kufanya kazi
Kuwa na Akili ni relative kwenye kila regimeIla kutoka moyoni paskali ana akili sana na kiukweli anapaswa kupata teuzi
Yes yesYa Konde kali zaidi...😀
Na wale WanaRufiji waliopotezwa.Bila shaka leo tutaambiwa aliko Azory Gwanda