Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,370
Umeona mdau! Muhimu Sana hi kitulini atazungumza na sisi wana familia ya JF tuna jambo letu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona mdau! Muhimu Sana hi kitulini atazungumza na sisi wana familia ya JF tuna jambo letu
Pasco manjaaNa ndugu yetu Pascal Mayalla yupo ? si ni mhariri mwandamizi ?
Yeye afungue verified Id tu, hilo linatosha. Wana jf wana utaalamu na uzoefu wa kutosha.Umeona mdau! Muhimu Sana hi kitu
Nikimuangalia Jokate na huyu mama naona falsafa yao kiuongozi ni moja tu wamejikita ktk kujibrand zaidi kuliko kukaa na kufanya
Tokea aingie kazi yake ni kuandaa matamasha tu! Hapo akimaliza kuongea nao utasikia karbuni chakula!Nikimuangalia Jokate na huyu mama naona falsafa yao kiuongozi ni moja tu wamejikita ktk kujibrand zaidi kuliko kukaa na kufanya kazi
Bora wangempa Pasco udc kuliko hawa takataka Niki wa 2,Msando na LijualikaliIla kutoka moyoni paskali ana akili sana na kiukweli anapaswa kupata teuzi
Tokea aingie kazi yake ni kuandaa matamasha tu! Hapo akimaliza kuongea nao utasikia karbuni
Jamaa yenu alikuaga na roho mbaya Sana,kayanyima matangazo magazeti yanayomkosoa then akayapa matangazo magazeti ya musiba yenye thamani ya tsh.100mil.Sometime katika huo mkutano watamwambia serikali itoe matangazo private na wao wapate hela za kujiendesha.
Hiyo ndio Tanzania mtu anaenda shule au anaanzisha biashara, baadae asipota ajira ya serikali au tender za serikali; raisi au waziri hafai.
Bora huyu analisha watu chakula, jiwe alikuwa anakesha kuangalia shilawadu na uchafu mwingineTokea aingie kazi yake ni kuandaa matamasha tu! Hapo akimaliza kuongea nao utasikia karbuni chakula!
Mtupe update ya kinachoendelea wakuu.😂Kumbe ni mwendo wa maswali
😂 😂 😂 😂Kmmmmk, Wahariri wanatangaza njaa tu.
Yule mwingine yeye akitoka kwny mkutano na waandishi wa habari tu kifuatacho utasikia mtu ametekwa.Tokea aingie kazi yake ni kuandaa matamasha tu! Hapo akimaliza kuongea nao utasikia karbuni chakula!