Rais Samia alijifunza nini akiwa Makamu M/Kiti wa Bunge la Katiba 2014?

Rais Samia alijifunza nini akiwa Makamu M/Kiti wa Bunge la Katiba 2014?

Maswali gani haya sasa halafu ukijibiwa accordingly uanze kulialia kuwa unatukanwa.
Mbona swali jepesi sana hilo linakufanya ughadhibike?

Unasema umesikitika, nakuuliza baada ya kusikitika ikawaje? Au umeleta hapa tukuhurumie masikitiko yako?

Kama swali hilo limekuudhi nikuulize, kipi kikusikitishacho?
 
Mbona swali jepesi sana hilo linakufanya ughadhibike?

Unasema umesikitika, nakuuliza baada ya kusikitika ikawaje? Au umeleta hapa tukuhurumie masikitiko yako?

Kama swali hilo limekuudhi nikuulize, kipi kikusikitishacho?
Swain wewe
 
Back
Top Bottom