Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
mpaka kwenye twiiter piaRatiba ya Rais ni Ratiba ya Taasisi 🐼
Unadhani huko Twitter huwa anaandika yeye binafsi?🐼mpaka kwenye twiiter pia
Una maana hao watoto wametolewa kafara?habari ya Msiba mkubwa ikapotezewa ikaingia habari ya Makonda tu mji mzima kuongea sjui mawaziri wanamtukana Rais!
miw naona kuna kitu hakiko sawa hapa! je ni aina ya Uchawi au kupuuzia? hivi kweli haya kwenye TWITTER ya Rais hakuna hata kutoa pole? zaid ya kusema alihudhuria 40 ya Sokoine?
Je Arusha sioe sehemu ya Tanzania? kweli jaman ndio tunakoelekea ni huku kweli?
Mtemi uko nyuma sana aisee. Kwa akili zako zote unadhani Rais huwa anapost mwenyewe mitandaoni? Kama alivyosema mhenga johnthebaptist ni kuwa Rais ni taasisi hivyo taasisi ina ratiba za kufuata.mpaka kwenye twiiter pia
Moshi na Arusha 🐼Ajali zimeshazoeleka sasa
Lema yuko kwenye Uchaguzi wa Kanda🐼Una maana hao watoto wametolewa kafara?
Makonda anasema Mwigulu Nchemba ndiye anamlipa Mange Kimambi kumtukana Mh. Rais wetu.Lema yuko kwenye Uchaguzi wa Kanda🐼
Kwa Wanasiasa lolote linawezekanaMakonda anasema Mwigulu Nchemba ndiye anamlipa Mange Kimambi kumtukana Mh. Rais wetu.
Mwigulu Nchemba mtu mbaya sanaKwa Wanasiasa lolote linawezekana
Hakunaga Mwanasiasa MzuriMwigulu Nchemba mtu mbaya sana
Kwanini huyu Mwigulu Nchemba amlipe Mange Kimambi mamilioni kumtukana Rais wetu???Hakunaga Mwanasiasa Mzuri
RIP Chacha Wangwe
Watu wa muhimu hii nchi ni wanasiasa walio madarakani wengine tunasindikiza.habari ya Msiba mkubwa ikapotezewa ikaingia habari ya Makonda tu mji mzima kuongea sjui mawaziri wanamtukana Rais!
miw naona kuna kitu hakiko sawa hapa! je ni aina ya Uchawi au kupuuzia? hivi kweli haya kwenye TWITTER ya Rais hakuna hata kutoa pole? zaid ya kusema alihudhuria 40 ya Sokoine?
Je Arusha sioe sehemu ya Tanzania? kweli jaman ndio tunakoelekea ni huku kweli?
Wewe unavyotukanaga Hapa JF unalipwa au ni Uswahili wako tu! 🐼😂Kwanini huyu Mwigulu Nchemba amlipe Mange Kimambi mamilioni kumtukana Rais wetu???
Sijawahi kumtukana Mh. Rais hata siku moja . Kwa nini Mwigulu Nchemba amlipe Mange Kimambi ili amtukane Rais wetu?Wewe unavyotukanaga Hapa JF unalipwa au ni Uswahili wako tu! 🐼😂