Pre GE2025 Rais Samia alipochaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM 2022 zilikuwa ni Baraka za yeye kuwa Rais wa JMT hadi 2030. Ni mtu mjinga tu asiyeelewa hili!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tangu aondoke Jackson Makweta hatujawahi kupata Waziri makini wa Elimu
 
Lowassa akikusoma hapa atacheka mno

Ni mjinga tu anayeamini Tanzania kuna vyama Vya Upinzani chini ya Mtungi

Huyo Magufuli kama unavyojiita 2020 alijichagua na kuchagua Wabunge wote hadi akina mama wa Chadema na CUF dadeki🐼

Wewe ndio mjinga kabisa. Unadai hakuna upinzani wakati uchaguzi ulifuatwa zenji 2015. Kama hakuna upinzani uchaguzi ulifutwa wa Nini na kujaza JWTZ hapa Zanzibar. Unadai hakuna upinzani wakati magufuli alipata asilimia 57 ya kura zote Tena wizi ikiwemo halafu unadai hakuna upinzani. Punguza unafiki.

Wewe sema unafurahia CCM kutumia madaraka kuinfluence matokeo ya uchaguzi.
 
Huyu SSH angesimama kuomba kura ya Urais yeye kama yeye 2015, 2020 CCM ingekuwa imeshatolewa Madarakani.

Ni zipi Sera zake, mipango yake, maono yake, mikakati yake, uthubutu wake? Yupo pale kufanya nini kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania?
Hatushindanishi Watu tunashindanisha Ilani za Vyama
 
Siyo kwamba mnatetea urais kwa kupenda. Samia ndiye kashika rungu la uenyekiti, hivyo anaamrusha nn kifanyike.

Pia mkono mwingine kashika panga ra urais. Ukikataa kutekeleza anachokitaka anakushughulikia.

Ccm mnaburuzwa
Vijana wa taifa hili ni bendera fuata upepo,si wazalendo wa taifa lao isipokuwa ni njaa tu.
 
Watanzania mko wajinga sana

Unashindwa kuelewa kwanini maalimu Seif aliamua kutangaza matokeo ya Uchaguzi kinyume cha katiba?

Kwa akili yako unadhani Lowassa kura hazijatosha? Kwanini hamkulalamika

CCM ndio DOLA yenyewe bwashee hao akina Mbowe, Mdee, Katambi, Silinde, Bulaya, Mnyika ni maafisa tu wa serikali kama Mrema na Mabere 😂😂

Mwenezi anawaita Watoa Taarifa
 
Ni mpumbavu tu atakayekuelewa.

Miaka nenda rudi utaratibu wa ccm ni kuwa mwenyekiti ndiye anayeshika urais, sasa ujinga wa kuanza kujifanya unatabiri ni upumbavu wa kiwangk cha lami
 
Ni mpumbavu tu atakayekuelewa.

Miaka nenda rudi utaratibu wa ccm ni kuwa mwenyekiti ndiye anayeshika urais, sasa ujinga wa kuanza kujifanya unatabiri ni upumbavu wa kiwangk cha lami
Labda unamwambia Kinana

Happy New Year 🐼
 
Hiki ndicho alichofafanua vyema ndugu Bams kwenye uzi wake mmoja.

Mh. Samia hajapitia mchakato wa uchaguzi wa CCM.

2025 watu waruhusiwe kugombea then akishinda kwenye vikao vitatu itakuwa ndiye mpeperusha bendera wa CCM.

Kinyume na hapo ni kinyume na katiba ya CCM, tamaduni ya CCM na ubakaji wa demokrasia.
 
Uchaguziulikuwa wa HAKI?
 
WEKENI MABANGO NCHI NZIMA MIKOA YOTE WILAYA ZOTE NA VIJIJI VYOTE + IBENI KURA ZOTE KAMA ALIVYOFANYA MAGUFULI

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Rais Samia yupo pall position- ndiye mwenye nafasi nzuri kuchaguliwa kuwa mgombea urais 2025.
Lakini sidhani kuna lazima ya kuwapeleka mental hospital watu wanaosema kila kitu kinategemea performance ya Rais.
 
Gawaneni Mbao ili Mtanzania apate Uhuru wa kweli kwa mara ya kwanza kutoka kwa Wakoloni makatili weusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…