Rais Samia alistahili kuwa Rais wa kipindi cha mpito

Rais Samia alistahili kuwa Rais wa kipindi cha mpito

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Binafsi, naamini Rais Samia alipochukua madaraka, alikuwa na dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko ya mifumo ya kiutawala, yaani kutengeneza nchi ambayo watu wake wataongozwa kwa haki, kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, uhuru wa maoni, na kisha kujenga uchumi wenye misingi ya haki. Hii ndiyo ilikuwa sababu yake ya kuja na falsafa ya 4Rs.

Katika kuingia kwenye uhalisia, maana yake Rais Samia alikuwa anaingia kwenye kazi ngumu sana ya kuwabadilisha watu ambao wanajua kabisa kuwa uwepo wao katila nafasi walizopo ni kutokana na dhuluma dhidi ya umma wa Watanzania. Hii ilikuwa ni kuanzisha vita dhidi mifumo dhalimu ya ndani ya Serikali na ndani ya chama chake, mifumo iloyoota mizizi na kupata nguvu kwa miaka mingi.

Kubadili mifumo, tena inayoshikiliwa kidhalimu na watu wenye nguvu ndani ya chama na Serikali siyo jambo jepesi, ili kufanikiwa:

1) Rais Samia alihitaji kuwa na watu wenye nguvu na jasiri kweli kweli ambao wangeweza kusimamia utekelezaji. Bahati mbaya Rais Samia aliwakosa watu hao na akalazimika kuwatumia wale wale wafuasi wa mifumo dhalimu ambao aliwakuta. Hilo lilikuwa kosa lake la kwanza.

2) Ili afanikiwe, alistahili kutengeneza msingi imara wa kuungwa mkono na umma katika kuleta mabadiliko. Na hapo alistahili kutafuta uungwaji mkono kutoka makundi yote, kuanzia ndani ya chama chake, vyama vya upinzani, taasisi mbalimbali, na umma kwa ujumla, na hilo lingeganyika kwa kuuelimisha umma ambao kwa muda mrefu umefungiwa katika ujinga. Ilitakiwa kuweka wazi ubaya na ubovu wa mifumo iliyopo, na kureleza wazi tunataka kujenga Taifa la watu gani. Ili kufanya hayo kwa mafanikio, alistahili kuondoka kuwa Rais wa CCM, na kuwa Rais wa Watanzania wote, na hiyo ilistahili idhihirike wazi kwa kauli na vitendo. Kwenye hili Rais Samia hakufanikiwa sana kwa sababu mara kadhaa alivishambulia vyama vya upinzani na kuipamba CCM, ambayo kimsingi ndicho baba wa huu udhalimu wote kwani ndicho kilichotengeneza hii mifumo dhalimu ya utawala Inayolisumbua na kuligandamiza Taifa.

3) Ili Rais asimamie haya mabadiliko, hakustahili kutekwa fikra zake kupitia hoja za kushindwa kwenye uchaguzi kama ambavyo wale wadhalimu wamekuwa wakimtishia. Hivyo ili kumwondolea hofu, hata kwa kupitia mifumo isiyo rasmi, angefanywa kuwa Rais wa mpito, yaani kwa kudhihirisha dhamira yake njema, kwa kilaalu wamekuwa wakifanya. njema, Rais Samia angeungwa mkono na vyama vyote vyenye dhamira njema, kwenye uchaguzi , vikijua kuwa baada ya kipimdi cha mpito, utafuata uchaguzi wa ushindani wenye mazingira safi na huu uchafu tulio nao sasa.

Kwa hali ilivyo sasa, kwa Rais Samia kukosa mikakati na mbimu sahihi, waumini wa mifumo dhalimu ndani ya CCM na Serikali, wameweza kumzidi nguvu na kumfanya na yeye aonekana kuwa ni sehemu yao. Sasa tunashuhudia falsafa yake ya 4Rs ikichomwa moto na watekaji watu, ikiuawa na wasiotaka katiba bora, na kichanwachanwa na wasiotaka tume bora ya uchaguzi. Utengamano alioufikiria kuujenga umefutika, na uovu umepata nguvu mpya ya ajabu kiasi cha wananchi wengi kuona kuwa 4R ni falsafa ya hadas ambayo haikuwa na dhamira ya kweli.

Mtihani mkubwa kwa Samia upo mwaka huu na mwaka kesho, ambapo wadhalimu watautumia uchaguzi kummaliza na kumchafua kabisa Rais Samia mbele ya umma. Na mbele ya uso wa jamii ya kimataifa.

Kwa sasa watu dhalimu ndani ya CCM na Serikali wanafurahia ushindi wao dhidi ya falsafa ya 4Rs.
 
Kwani ni Nani anayestahili au aliye wahi Kuwa Raisi wa Milele?
 
Binafsi, naamini Rais Samia alipochukua madaraka, alikuwa na dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko ya mifumo ya kiutawala, yaani kutengeneza nchi ambayo watu wake wataongozwa kwa haki, kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, uhuru wa maoni, na kisha kujenga uchumi wenye misingi ya haki. Hii ndiyo ilikuwa sababu yake ya kuja na falsafa ya 4Rs.

Katika kuingia kwenye uhalisia, maana yake Rais Samia alikuwa anaingia kwenye kazi ngumu sana ya kuwabadilisha watu ambao wanajua kabisa kuwa uwepo wao katila nafasi walizopo ni kutokana na dhuluma dhidi ya umma wa Watanzania. Hii ilikuwa ni kuanzisha vita dhidi mifumo dhalimu ya ndani ya Serikali na ndani ya chama chake, mifumo iloyoota mizizi na kupata nguvu kwa miaka mingi.

Kubadili mifumo, tena inayoshikiliwa kidhalimu na watu wenye nguvu ndani ya chama na Serikali siyo jambo jepesi, ili kufanikiwa:
1) Rais Samia alihitaji kuwa na watu wenye nguvu na jasiri kweli kweli ambao wangeweza kusimamia utekelezaji. Bahati mbaya Rais Samia aliwakosa watu hao na akalazimika kuwatumia wale wale wafuasi wa mifumo dhalimu ambao aliwakuta. Hilo lilikuwa kosa lake la kwanza.

2) Ili afanikiwe, alistahili kutengeneza msingi imara wa kuungwa mkono na umma katika kuleta mabadiliko. Na hapo alistahili kutafuta uungwaji mkono kutoka makundi yote, kuanzia ndani ya chama chake, vyama vya upinzani, taasisi mbalimbali, na umma kwa ujumla, na hilo lingeganyika kwa kuuelimisha umma ambao kwa muda mrefu umefungiwa katika ujinga. Ilitakiwa kuweka wazi ubaya na ubovu wa mifumo iliyopo, na kureleza wazi tunataka kujenga Taifa la watu gani. Ili kufanya hayo kwa mafanikio, alistahili kuondoka kuwa Rais wa CCM, na kuwa Rais wa Watanzania wote, na hiyo ilistahili idhihirike wazi kwa kauli na vitendo. Kwenye hili Rais Samia hakufanikiwa sana kwa sababu mara kadhaa alivishambulia vyama vya upinzani na kuipamba CCM, ambayo kimsingi ndicho baba wa huu udhalimu wote kwani ndicho kilichotengeneza hii mifumo dhalimu ya utawala Inayolisumbua na kuligandamiza Taifa.

3) Ili Rais asimamie haya mabadiliko, hakustahili kutekwa fikra zake kupitia hoja za kushindwa kwenye uchaguzi kama ambavyo wale wadhalimu wamekuwa wakimtishia. Hivyo ili kumwondolea hofu, hata kwa kupitia mifumo isiyo rasmi, angefanywa kuwa Rais wa mpito, yaani kwa kudhihirisha dhamira yake njema, kwa kilaalu wamekuwa wakifanya. njema, Rais Samia angeungwa mkono na vyama vyote vyenye dhamira njema, kwenye uchaguzi , vikijua kuwa baada ya kipimdi cha mpito, utafuata uchaguzi wa ushindani wenye mazingira safi na huu uchafu tulio nao sasa.

Kwa hali ilivyo sasa, kwa Rais Samia kukosa mikakati na mbimu sahihi, waumini wa mifumo dhalimu ndani ya CCM na Serikali, wameweza kumzidi nguvu na kumfanya na yeye aonekana kuwa ni sehemu yao. Sasa tunashuhudia falsafa yake ya 4Rs ikichomwa moto na watekaji watu, ikiuawa na wasiotaka katiba bora, na kichanwachanwa na wasiotaka tume bora ya uchaguzi. Utengamano alioufikiria kuujenga umefutika, na uovu umepata nguvu mpya ya ajabu kiasi cha wananchi wengi kuona kuwa 4R ni falsafa ya hadas ambayo haikuwa na dhamira ya kweli.

Mtihani mkubwa kwa Samia upo mwaka huu na mwaka kesho, ambapo wadhalimu watautumia uchaguzi kummaliza na kumchafua kabisa Rais Samia mbele ya umma. Na mbele ya uso wa jamii ya kimataifa.

Kwa sasa watu dhalimu ndani ya CCM na Serikali wanafurahia ushindi wao dhidi ya falsafa ya 4Rs.
Well analysed and said. Hizi ndizo hoja
 
Rais Samia hana kosa...

Urais si mtu tu aitwaye Rais....

Kwanini yeye ni rais ?!!

Alijiweka kutoka Kizimkazi ?!!

Wakulaumiwa si yeye...si Dr.Mpango...si Mh.Majaliwa...

Lawama tuzipeleke wapi ?!!

Taifa la KIJAMAA NA KUJITEGEMEA linafutaje taratibu njema zilizokuwa ndani ya AZIMIO LA ARUSHA?!!

Ikiwa AZIMIO LA ARUSHA lilikuwa ni bora sana ,ni kwanini lilivunjika ?!!

Ikiwa AZIMIO LA ARUSHA lilitengenezwa kwa sababu zisizo za muda mrefu ,ni kwanini "think tanks" wake walilisimika na kutuonjesha "ladha yake hiyo ya muda mfupi"?!!!

Mh.Rais Samia yuko katikati ya makundi haya mazito haswa :

-Chama chake cha CCM(wanasiasa)

-Wananchi

-Dola na chombo cha utekelezaji wa kila siku(Serikali).

WANANCHI

Kizazi kinabadilika sana...sisi wa miaka 30 naa tuliopata bahati ya malezi ya kufundishwa UADHIMU wa taifa tuna nafuu kidogo....hasa kwa wale wasio na tamaa....

Ila hawa wadogo zetu waliozaliwa miaka ya katikati ya 90 mpaka 2000 ni kizazi cha KAZI haswa....kiko katikati ya uharaka wa dunia ya sasa na mapinduzi ya TEHAMA na AKILI MNEMBA....

Wengi wa hawa hata kama wamepata bahati ya kufundishwa UADHIMU wa taifa mioyo yao imekaa "kimimi" haswa kutokana na "materialism"....kizazi hichi ni lazima kama nchi tuchukue hatua madhubuti kuwajenga vyema wao na dola letu Tanzania.

KUWAJENGA KIVIPI?!!

Je CCM kama chama tawala kiko tayari kuiishi misingi isiyotetereka aliyotuachia baba wa taifa....viongozi kusimama walipo na wasijihusishe na kutafuta MALI kwa nguvu kubwa ?!!

Hili ni gumu ? !!

Limekaa kizamani na "kimalaika zaidi"?!![emoji1787][emoji1787]

Mwenyezi Mungu alibariki taifa letu aaamin [emoji7]

#Mwenyezi Mungu amhifadhi Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan ,aaamen[emoji7][emoji7]
 
Binafsi, naamini Rais Samia alipochukua madaraka, alikuwa na dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko ya mifumo ya kiutawala, yaani kutengeneza nchi ambayo watu wake wataongozwa kwa haki, kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, uhuru wa maoni, na kisha kujenga uchumi wenye misingi ya haki. Hii ndiyo ilikuwa sababu yake ya kuja na falsafa ya 4Rs.

Katika kuingia kwenye uhalisia, maana yake Rais Samia alikuwa anaingia kwenye kazi ngumu sana ya kuwabadilisha watu ambao wanajua kabisa kuwa uwepo wao katila nafasi walizopo ni kutokana na dhuluma dhidi ya umma wa Watanzania. Hii ilikuwa ni kuanzisha vita dhidi mifumo dhalimu ya ndani ya Serikali na ndani ya chama chake, mifumo iloyoota mizizi na kupata nguvu kwa miaka mingi.

Kubadili mifumo, tena inayoshikiliwa kidhalimu na watu wenye nguvu ndani ya chama na Serikali siyo jambo jepesi, ili kufanikiwa:

1) Rais Samia alihitaji kuwa na watu wenye nguvu na jasiri kweli kweli ambao wangeweza kusimamia utekelezaji. Bahati mbaya Rais Samia aliwakosa watu hao na akalazimika kuwatumia wale wale wafuasi wa mifumo dhalimu ambao aliwakuta. Hilo lilikuwa kosa lake la kwanza.

2) Ili afanikiwe, alistahili kutengeneza msingi imara wa kuungwa mkono na umma katika kuleta mabadiliko. Na hapo alistahili kutafuta uungwaji mkono kutoka makundi yote, kuanzia ndani ya chama chake, vyama vya upinzani, taasisi mbalimbali, na umma kwa ujumla, na hilo lingeganyika kwa kuuelimisha umma ambao kwa muda mrefu umefungiwa katika ujinga. Ilitakiwa kuweka wazi ubaya na ubovu wa mifumo iliyopo, na kureleza wazi tunataka kujenga Taifa la watu gani. Ili kufanya hayo kwa mafanikio, alistahili kuondoka kuwa Rais wa CCM, na kuwa Rais wa Watanzania wote, na hiyo ilistahili idhihirike wazi kwa kauli na vitendo. Kwenye hili Rais Samia hakufanikiwa sana kwa sababu mara kadhaa alivishambulia vyama vya upinzani na kuipamba CCM, ambayo kimsingi ndicho baba wa huu udhalimu wote kwani ndicho kilichotengeneza hii mifumo dhalimu ya utawala Inayolisumbua na kuligandamiza Taifa.

3) Ili Rais asimamie haya mabadiliko, hakustahili kutekwa fikra zake kupitia hoja za kushindwa kwenye uchaguzi kama ambavyo wale wadhalimu wamekuwa wakimtishia. Hivyo ili kumwondolea hofu, hata kwa kupitia mifumo isiyo rasmi, angefanywa kuwa Rais wa mpito, yaani kwa kudhihirisha dhamira yake njema, kwa kilaalu wamekuwa wakifanya. njema, Rais Samia angeungwa mkono na vyama vyote vyenye dhamira njema, kwenye uchaguzi , vikijua kuwa baada ya kipimdi cha mpito, utafuata uchaguzi wa ushindani wenye mazingira safi na huu uchafu tulio nao sasa.

Kwa hali ilivyo sasa, kwa Rais Samia kukosa mikakati na mbimu sahihi, waumini wa mifumo dhalimu ndani ya CCM na Serikali, wameweza kumzidi nguvu na kumfanya na yeye aonekana kuwa ni sehemu yao. Sasa tunashuhudia falsafa yake ya 4Rs ikichomwa moto na watekaji watu, ikiuawa na wasiotaka katiba bora, na kichanwachanwa na wasiotaka tume bora ya uchaguzi. Utengamano alioufikiria kuujenga umefutika, na uovu umepata nguvu mpya ya ajabu kiasi cha wananchi wengi kuona kuwa 4R ni falsafa ya hadas ambayo haikuwa na dhamira ya kweli.

Mtihani mkubwa kwa Samia upo mwaka huu na mwaka kesho, ambapo wadhalimu watautumia uchaguzi kummaliza na kumchafua kabisa Rais Samia mbele ya umma. Na mbele ya uso wa jamii ya kimataifa.

Kwa sasa watu dhalimu ndani ya CCM na Serikali wanafurahia ushindi wao dhidi ya falsafa ya 4Rs.
Ndo wamemtuma kuuza Bandari? Ndo wamemtuma kuuza Ngorongoro? Ndo wamemtuma kuhamishia pesa Zanzibar!!

Unaongea vitu visivyo na maana Kwa maisha ya watu!! Eti 4R
 
Binafsi, naamini Rais Samia alipochukua madaraka, alikuwa na dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko ya mifumo ya kiutawala, yaani kutengeneza nchi ambayo watu wake wataongozwa kwa haki, kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, uhuru wa maoni, na kisha kujenga uchumi wenye misingi ya haki. Hii ndiyo ilikuwa sababu yake ya kuja na falsafa ya 4Rs.

Katika kuingia kwenye uhalisia, maana yake Rais Samia alikuwa anaingia kwenye kazi ngumu sana ya kuwabadilisha watu ambao wanajua kabisa kuwa uwepo wao katila nafasi walizopo ni kutokana na dhuluma dhidi ya umma wa Watanzania. Hii ilikuwa ni kuanzisha vita dhidi mifumo dhalimu ya ndani ya Serikali na ndani ya chama chake, mifumo iloyoota mizizi na kupata nguvu kwa miaka mingi.

Kubadili mifumo, tena inayoshikiliwa kidhalimu na watu wenye nguvu ndani ya chama na Serikali siyo jambo jepesi, ili kufanikiwa:

1) Rais Samia alihitaji kuwa na watu wenye nguvu na jasiri kweli kweli ambao wangeweza kusimamia utekelezaji. Bahati mbaya Rais Samia aliwakosa watu hao na akalazimika kuwatumia wale wale wafuasi wa mifumo dhalimu ambao aliwakuta. Hilo lilikuwa kosa lake la kwanza.

2) Ili afanikiwe, alistahili kutengeneza msingi imara wa kuungwa mkono na umma katika kuleta mabadiliko. Na hapo alistahili kutafuta uungwaji mkono kutoka makundi yote, kuanzia ndani ya chama chake, vyama vya upinzani, taasisi mbalimbali, na umma kwa ujumla, na hilo lingeganyika kwa kuuelimisha umma ambao kwa muda mrefu umefungiwa katika ujinga. Ilitakiwa kuweka wazi ubaya na ubovu wa mifumo iliyopo, na kureleza wazi tunataka kujenga Taifa la watu gani. Ili kufanya hayo kwa mafanikio, alistahili kuondoka kuwa Rais wa CCM, na kuwa Rais wa Watanzania wote, na hiyo ilistahili idhihirike wazi kwa kauli na vitendo. Kwenye hili Rais Samia hakufanikiwa sana kwa sababu mara kadhaa alivishambulia vyama vya upinzani na kuipamba CCM, ambayo kimsingi ndicho baba wa huu udhalimu wote kwani ndicho kilichotengeneza hii mifumo dhalimu ya utawala Inayolisumbua na kuligandamiza Taifa.

3) Ili Rais asimamie haya mabadiliko, hakustahili kutekwa fikra zake kupitia hoja za kushindwa kwenye uchaguzi kama ambavyo wale wadhalimu wamekuwa wakimtishia. Hivyo ili kumwondolea hofu, hata kwa kupitia mifumo isiyo rasmi, angefanywa kuwa Rais wa mpito, yaani kwa kudhihirisha dhamira yake njema, kwa kilaalu wamekuwa wakifanya. njema, Rais Samia angeungwa mkono na vyama vyote vyenye dhamira njema, kwenye uchaguzi , vikijua kuwa baada ya kipimdi cha mpito, utafuata uchaguzi wa ushindani wenye mazingira safi na huu uchafu tulio nao sasa.

Kwa hali ilivyo sasa, kwa Rais Samia kukosa mikakati na mbimu sahihi, waumini wa mifumo dhalimu ndani ya CCM na Serikali, wameweza kumzidi nguvu na kumfanya na yeye aonekana kuwa ni sehemu yao. Sasa tunashuhudia falsafa yake ya 4Rs ikichomwa moto na watekaji watu, ikiuawa na wasiotaka katiba bora, na kichanwachanwa na wasiotaka tume bora ya uchaguzi. Utengamano alioufikiria kuujenga umefutika, na uovu umepata nguvu mpya ya ajabu kiasi cha wananchi wengi kuona kuwa 4R ni falsafa ya hadas ambayo haikuwa na dhamira ya kweli.

Mtihani mkubwa kwa Samia upo mwaka huu na mwaka kesho, ambapo wadhalimu watautumia uchaguzi kummaliza na kumchafua kabisa Rais Samia mbele ya umma. Na mbele ya uso wa jamii ya kimataifa.

Kwa sasa watu dhalimu ndani ya CCM na Serikali wanafurahia ushindi wao dhidi ya falsafa ya 4Rs.
actually,
nadharia yako ina mantiki dhaifu sana na hakuna athari zozote kwa mustakabali wa siasa za Tanzania,

lakini kubwa zaidi,
ni kwamba mwenyekiti wa CCM taifa na Rais wa Tanzania, kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan hana mitihani wowote tunapoelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa baadae Nov.27.2024, na wala hana mitihani wala tashwishi yeyote mwaka ujao wa uchaguzi mkuu Oct 2025...

wananchi wameshaamua zawadi ya Dr.Samia kwa2025, ianzie November 27, 2024, kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa. na kwahivyo itakua ni ushindi wa kishindo cha uhakika kweli kweli aise dah 🐒
 
Huyu hakustahili kabisa kuwa rais hata Kwa mwezi mmoja.Ona Sasa alivyotuharibia nchi.itatuchukua miaka sabini kurekebisha madudu yote anayoyatenda
 
Binafsi, naamini Rais Samia alipochukua madaraka, alikuwa na dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko ya mifumo ya kiutawala, yaani kutengeneza nchi ambayo watu wake wataongozwa kwa haki, kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, uhuru wa maoni, na kisha kujenga uchumi wenye misingi ya haki. Hii ndiyo ilikuwa sababu yake ya kuja na falsafa ya 4Rs.

Katika kuingia kwenye uhalisia, maana yake Rais Samia alikuwa anaingia kwenye kazi ngumu sana ya kuwabadilisha watu ambao wanajua kabisa kuwa uwepo wao katila nafasi walizopo ni kutokana na dhuluma dhidi ya umma wa Watanzania. Hii ilikuwa ni kuanzisha vita dhidi mifumo dhalimu ya ndani ya Serikali na ndani ya chama chake, mifumo iloyoota mizizi na kupata nguvu kwa miaka mingi.

Kubadili mifumo, tena inayoshikiliwa kidhalimu na watu wenye nguvu ndani ya chama na Serikali siyo jambo jepesi, ili kufanikiwa:

1) Rais Samia alihitaji kuwa na watu wenye nguvu na jasiri kweli kweli ambao wangeweza kusimamia utekelezaji. Bahati mbaya Rais Samia aliwakosa watu hao na akalazimika kuwatumia wale wale wafuasi wa mifumo dhalimu ambao aliwakuta. Hilo lilikuwa kosa lake la kwanza.

2) Ili afanikiwe, alistahili kutengeneza msingi imara wa kuungwa mkono na umma katika kuleta mabadiliko. Na hapo alistahili kutafuta uungwaji mkono kutoka makundi yote, kuanzia ndani ya chama chake, vyama vya upinzani, taasisi mbalimbali, na umma kwa ujumla, na hilo lingeganyika kwa kuuelimisha umma ambao kwa muda mrefu umefungiwa katika ujinga. Ilitakiwa kuweka wazi ubaya na ubovu wa mifumo iliyopo, na kureleza wazi tunataka kujenga Taifa la watu gani. Ili kufanya hayo kwa mafanikio, alistahili kuondoka kuwa Rais wa CCM, na kuwa Rais wa Watanzania wote, na hiyo ilistahili idhihirike wazi kwa kauli na vitendo. Kwenye hili Rais Samia hakufanikiwa sana kwa sababu mara kadhaa alivishambulia vyama vya upinzani na kuipamba CCM, ambayo kimsingi ndicho baba wa huu udhalimu wote kwani ndicho kilichotengeneza hii mifumo dhalimu ya utawala Inayolisumbua na kuligandamiza Taifa.

3) Ili Rais asimamie haya mabadiliko, hakustahili kutekwa fikra zake kupitia hoja za kushindwa kwenye uchaguzi kama ambavyo wale wadhalimu wamekuwa wakimtishia. Hivyo ili kumwondolea hofu, hata kwa kupitia mifumo isiyo rasmi, angefanywa kuwa Rais wa mpito, yaani kwa kudhihirisha dhamira yake njema, kwa kilaalu wamekuwa wakifanya. njema, Rais Samia angeungwa mkono na vyama vyote vyenye dhamira njema, kwenye uchaguzi , vikijua kuwa baada ya kipimdi cha mpito, utafuata uchaguzi wa ushindani wenye mazingira safi na huu uchafu tulio nao sasa.

Kwa hali ilivyo sasa, kwa Rais Samia kukosa mikakati na mbimu sahihi, waumini wa mifumo dhalimu ndani ya CCM na Serikali, wameweza kumzidi nguvu na kumfanya na yeye aonekana kuwa ni sehemu yao. Sasa tunashuhudia falsafa yake ya 4Rs ikichomwa moto na watekaji watu, ikiuawa na wasiotaka katiba bora, na kichanwachanwa na wasiotaka tume bora ya uchaguzi. Utengamano alioufikiria kuujenga umefutika, na uovu umepata nguvu mpya ya ajabu kiasi cha wananchi wengi kuona kuwa 4R ni falsafa ya hadas ambayo haikuwa na dhamira ya kweli.

Mtihani mkubwa kwa Samia upo mwaka huu na mwaka kesho, ambapo wadhalimu watautumia uchaguzi kummaliza na kumchafua kabisa Rais Samia mbele ya umma. Na mbele ya uso wa jamii ya kimataifa.

Kwa sasa watu dhalimu ndani ya CCM na Serikali wanafurahia ushindi wao dhidi ya falsafa ya 4Rs.
Well alikuwa but then politics zikaingia tena kama kawaida
 
Binafsi, naamini Rais Samia alipochukua madaraka, alikuwa na dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko ya mifumo ya kiutawala, yaani kutengeneza nchi ambayo watu wake wataongozwa kwa haki, kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, uhuru wa maoni, na kisha kujenga uchumi wenye misingi ya haki. Hii ndiyo ilikuwa sababu yake ya kuja na falsafa ya 4Rs.

Katika kuingia kwenye uhalisia, maana yake Rais Samia alikuwa anaingia kwenye kazi ngumu sana ya kuwabadilisha watu ambao wanajua kabisa kuwa uwepo wao katila nafasi walizopo ni kutokana na dhuluma dhidi ya umma wa Watanzania. Hii ilikuwa ni kuanzisha vita dhidi mifumo dhalimu ya ndani ya Serikali na ndani ya chama chake, mifumo iloyoota mizizi na kupata nguvu kwa miaka mingi.

Kubadili mifumo, tena inayoshikiliwa kidhalimu na watu wenye nguvu ndani ya chama na Serikali siyo jambo jepesi, ili kufanikiwa:

1) Rais Samia alihitaji kuwa na watu wenye nguvu na jasiri kweli kweli ambao wangeweza kusimamia utekelezaji. Bahati mbaya Rais Samia aliwakosa watu hao na akalazimika kuwatumia wale wale wafuasi wa mifumo dhalimu ambao aliwakuta. Hilo lilikuwa kosa lake la kwanza.

2) Ili afanikiwe, alistahili kutengeneza msingi imara wa kuungwa mkono na umma katika kuleta mabadiliko. Na hapo alistahili kutafuta uungwaji mkono kutoka makundi yote, kuanzia ndani ya chama chake, vyama vya upinzani, taasisi mbalimbali, na umma kwa ujumla, na hilo lingeganyika kwa kuuelimisha umma ambao kwa muda mrefu umefungiwa katika ujinga. Ilitakiwa kuweka wazi ubaya na ubovu wa mifumo iliyopo, na kureleza wazi tunataka kujenga Taifa la watu gani. Ili kufanya hayo kwa mafanikio, alistahili kuondoka kuwa Rais wa CCM, na kuwa Rais wa Watanzania wote, na hiyo ilistahili idhihirike wazi kwa kauli na vitendo. Kwenye hili Rais Samia hakufanikiwa sana kwa sababu mara kadhaa alivishambulia vyama vya upinzani na kuipamba CCM, ambayo kimsingi ndicho baba wa huu udhalimu wote kwani ndicho kilichotengeneza hii mifumo dhalimu ya utawala Inayolisumbua na kuligandamiza Taifa.

3) Ili Rais asimamie haya mabadiliko, hakustahili kutekwa fikra zake kupitia hoja za kushindwa kwenye uchaguzi kama ambavyo wale wadhalimu wamekuwa wakimtishia. Hivyo ili kumwondolea hofu, hata kwa kupitia mifumo isiyo rasmi, angefanywa kuwa Rais wa mpito, yaani kwa kudhihirisha dhamira yake njema, kwa kilaalu wamekuwa wakifanya. njema, Rais Samia angeungwa mkono na vyama vyote vyenye dhamira njema, kwenye uchaguzi , vikijua kuwa baada ya kipimdi cha mpito, utafuata uchaguzi wa ushindani wenye mazingira safi na huu uchafu tulio nao sasa.

Kwa hali ilivyo sasa, kwa Rais Samia kukosa mikakati na mbimu sahihi, waumini wa mifumo dhalimu ndani ya CCM na Serikali, wameweza kumzidi nguvu na kumfanya na yeye aonekana kuwa ni sehemu yao. Sasa tunashuhudia falsafa yake ya 4Rs ikichomwa moto na watekaji watu, ikiuawa na wasiotaka katiba bora, na kichanwachanwa na wasiotaka tume bora ya uchaguzi. Utengamano alioufikiria kuujenga umefutika, na uovu umepata nguvu mpya ya ajabu kiasi cha wananchi wengi kuona kuwa 4R ni falsafa ya hadas ambayo haikuwa na dhamira ya kweli.

Mtihani mkubwa kwa Samia upo mwaka huu na mwaka kesho, ambapo wadhalimu watautumia uchaguzi kummaliza na kumchafua kabisa Rais Samia mbele ya umma. Na mbele ya uso wa jamii ya kimataifa.

Kwa sasa watu dhalimu ndani ya CCM na Serikali wanafurahia ushindi wao dhidi ya falsafa ya 4Rs.
Unataka kutekwa?
 
Rais Samia hana kosa...

Urais si mtu tu aitwaye Rais....

Kwanini yeye ni rais ?!!

Alijiweka kutoka Kizimkazi ?!!

Wakulaumiwa si yeye...si Dr.Mpango...si Mh.Majaliwa...

Lawama tuzipeleke wapi ?!!

Taifa la KIJAMAA NA KUJITEGEMEA linafutaje taratibu njema zilizokuwa ndani ya AZIMIO LA ARUSHA?!!

Ikiwa AZIMIO LA ARUSHA lilikuwa ni bora sana ,ni kwanini lilivunjika ?!!

Ikiwa AZIMIO LA ARUSHA lilitengenezwa kwa sababu zisizo za muda mrefu ,ni kwanini "think tanks" wake walilisimika na kutuonjesha "ladha yake hiyo ya muda mfupi"?!!!

Mh.Rais Samia yuko katikati ya makundi haya mazito haswa :

-Chama chake cha CCM(wanasiasa)

-Wananchi

-Dola na chombo cha utekelezaji wa kila siku(Serikali).

WANANCHI

Kizazi kinabadilika sana...sisi wa miaka 30 naa tuliopata bahati ya malezi ya kufundishwa UADHIMU wa taifa tuna nafuu kidogo....hasa kwa wale wasio na tamaa....

Ila hawa wadogo zetu waliozaliwa miaka ya katikati ya 90 mpaka 2000 ni kizazi cha KAZI haswa....kiko katikati ya uharaka wa dunia ya sasa na mapinduzi ya TEHAMA na AKILI MNEMBA....

Wengi wa hawa hata kama wamepata bahati ya kufundishwa UADHIMU wa taifa mioyo yao imekaa "kimimi" haswa kutokana na "materialism"....kizazi hichi ni lazima kama nchi tuchukue hatua madhubuti kuwajenga vyema wao na dola letu Tanzania.

KUWAJENGA KIVIPI?!!

Je CCM kama chama tawala kiko tayari kuiishi misingi isiyotetereka aliyotuachia baba wa taifa....viongozi kusimama walipo na wasijihusishe na kutafuta MALI kwa nguvu kubwa ?!!

Hili ni gumu ? !!

Limekaa kizamani na "kimalaika zaidi"?!![emoji1787][emoji1787]

Mwenyezi Mungu alibariki taifa letu aaamin [emoji7]

#Mwenyezi Mungu amhifadhi Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan ,aaamen[emoji7][emoji7]
Hivi huwa mnatumia nini kufikiri hizo hoja zenu? Kwanini mnatumia nguvu sana kumsemea? Kwanini mazuri yake [kama yapo]yasimsemee?
Hiyo dhamira nzuri ni ipi;
-Kutuletea chanjo ya cheap ili kutufanya mazombi?
-Kufukuza machinga na kuwatia umasikini kwa kuharibu biashara zao?
-Kuchoma masoko,ghala za vyakula,shule na kusababisha umasikini?
-Kuruhusu mfumuko wa bei na kusababisha ugumu wa maisha kwa watu?
-Kulea mafisadi na wezi wa kodi za wananchi?
-Kuuza rasilimali na urithi wa Taifa kwa waarabu?
-Kuwatoa Wamasa kwenye makazi yao ya asili?[Kama ni kuwapenda,angewajengea hizo nyumba hukohuko kama walivyojenga mahoteli]
-Kutekwa na kuteswa/kuuawa kwa kila anayemkosoa?
Hiyo dhamira njema ni ipi?Au unamaanisha nini?
Au ni kutimiza kwa uaminifu Agenda za KISHETANI za UN bila kujali athari kwa Taifa?
IMG-20240708-WA0004.jpg
 
Back
Top Bottom