Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja

Vipi huko? Nilisema kusoma hamjui na kuelewa hamjui, sijui mliajiriwa vipi?
 
kwa mwezi, chukua trilion 1 na bilion 590 gawanya kwa 12 utapata bilion 132 na million kadhaa gawanya tena kwa laki sita utapata laki mbili na point
Vipi huko? Nilisema kusoma hamjui na kuelewa hamjui, sijui mliajiriwa vipi?
 
Vipi huko? Nilisema kusoma hamjui na kuelewa hamjui, sijui mliajiriwa vipi
 
Acha kupotosha watumishi wa umma. Hilo lilitamkwa wazi mchana kweupe pee.
Kama ameshindwa kuongeza kwa asilimia hizo, anatakiwa atoke hadharani na kuwaomba radhi watumishi wa umma, na wala si vinginevyo.
Vipi huko? Nilisema kusoma hamjui na kuelewa hamjui, sijui mliajiriwa vipi?
 
Nimelazimika kuleta barua husika hapa jukwaani ili mtoa post atuambie wapi barua ilisema nyongeza ya 23.3% ni kwa kima Cha chini tu. Barua inasema Rais ameridhia nyongeza ya mshahara kwa 23.3% ikiwemo kima Cha chini.
Vipi huko? Nilisema kusoma hamjui na kuelewa hamjui, sijui mliajiriwa vipi?

Ndio maana tunasema akili hamna
 
Chifu Hangaya kawakaanga watumishi! Ni vilio na majonzi kwa wananzengo wa "wako mtiifu"
Utakumbukwa Sana JPM kwa KUSEMA UKWELI, asilimia 23. 3% ndiyo sh. 8,000 elfu nane kweli!
Poleni Sana watumishi wa umma, njoooni huku kwenye dhahabi tupige pesa!
Increment ya mshahara ipo kwenye Basic Salary, wewe umeona ongezeko kwenye Basic au Baada ya makato.
 
Duuuuh,changa la macho baraa tupu
 
Acha upuuzi huo mnawatesa watumishi wkt nyie mnapiga pesa kila kukicha ndo maana mlikuwa mnamchukia Jpm
 
Haya ndio matatizo ya uchawa unapopitiliza.

Upo sahihi kila aliesikiliza alisema kima chini ndio kitaongezeka kwa roughly 23%.

Tatizo wakati chawa wenu wanapotosha umma ‘maza anaupiga’ mwingi kaongeza mishahara 23% kwa wote mlikuwa mnashangilia huo upotoshaji.

Sasa leo mnashangaa nini baada ya watu kukuta sivyo kama walivyopotoshwa na chawa ambao muda wote mlikuwa mnaangalia upotoshaji; unavuna unachopanda in life.
 
Acha ujinga
 
Shida Chawa huwa hawajitokezi kutoa ufafanuzi kwa wakati kama huo upotoshaji una lengo la kumpamba Rais.
 
Mama kaona fate mwezake alivyotangaza kule zanzibar ndio kaleta ile asilimia uku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…