Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja

Short and clear, Ukiona pesa ni ndogo acha kazi
 
Unacho na una upande kabisa. Hakuna mtu akaichukia CHADEMA na asiwe na Chama na hakuna mtu aichukie CCM na asipende chama fulani.
Ilipo HAKI nami nipo hapo.

CCM ikizingua naitandika, CDM ikizingua vile vile. Wakitenda vzr napongeza.

CCM Ina hazina kubwa ya viongozi waadilifu wengi tu, hawana Idadi. Ina wavamizi na wahuni wengi pia.

CDM Ina viongozi wazuri na wahuni pia wapo.

Muhimu ni Maendeleo ya Watanzania wote. TUTAFIKA TU.
 
Acha serikali ijitetee kwa matendo yake na sisi tujitetetee kwa wajibu....serikali sio ya kuionea huruma ..Ningekuwa nimeongezewa kwa miaka sita ya mwendapole Ningekuwa nanusa 1.7m...
 
Yaani unaona kuwa walimu ndio watumishi wa umma tu
 
Ni kwamba akili hauna?

Akili ninazo kiasi zinatosha kuendesha maisha yangu.

Nimeuliza salary slip ziko wapi maana katika mfumo hazijawekwa wewe umeziona wapi?

Kama umeziona jikoni kabla hazijatoka nijibu tu sio ugomvi mkuu
 
Akili ninazo kiasi zinatosha kuendesha maisha yangu.

Nimeuliza salary slip ziko wapi maana katika mfumo hazijawekwa wewe umeziona wapi?

Kama umeziona jikoni kabla hazijatoka nijibu tu sio ugomvi mkuu
Upo idara gani?
 
Kama mmepungukiwa akili nitawabeza tu
Halafu kuwa mwalimu sio big deal wala sio laana. Watu wengi ni walimu na wanaendesha maisha yao vizuri pengine kukuzidi wewe uliyepungukiwa na akili. Waziri wako mkuu walimtoa kwenye vikorido vya hapo tamisemi akiwa kama nani? Samia mwenyewe unaye muinamishia kichwa na kuacha makalio nyuma mmoja wa wazazi wake alikuwa mwalimu.

WALIMU CHAPENI KAZI ACHANENI NA PSYCHOPATHS KAMA HAWA
 
Unaposema shida ni walimu kuwa na uelewa mdogo wewe ulifundishwa na Nani ili uwe na uelewa mkubwa? Hivi kauli "Serikali imeridhia ongezeko la mishahara kuwa 23.3% kwa watumishi ikiwemo kima Cha chini kunahitaji PHD kujua maana yake? Acha dharau ndg, kuwa mwalimu usidhani ndo watu hawana uelewa wa mambo ndo maana Mwl aliitoa nchi hii chini ya ukoloni, ni kada ipi nyingine ilidhubutu kuzungumzia uhuru wa nchi tofauti na kulamba miguu ya wazungu?
 
Kesho Kuna watu watapata aibu ya karne, uliposemwa kuongeza wakadai haiwezekani nchi haina uwezo, sasa wanaanza fitina za kipumbavu kabisa
 
Sawa kwahiyo sema wazi kabisa sasa kwamba
"WALIMU HAWANA AKILI"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…