Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
-
- #41
Short and clear, Ukiona pesa ni ndogo acha kaziinategemea na kazi gani anafanya, muda anaotumia katika hiyo kazi, mahali anapofanyia, aina ya teknolojia inayotumika na kazi hiyo inahitaji uwekezaji kiasi gani katika viwango vya elimu, na hatari ya kufanya hiyo kazi ni kwa kiasi gani. Suala siyo tu kulinganisha kiasi cha malipo anayopokea.
Ni kwamba akili hauna?Hizo salary slip ziko wapi?
Ilipo HAKI nami nipo hapo.Unacho na una upande kabisa. Hakuna mtu akaichukia CHADEMA na asiwe na Chama na hakuna mtu aichukie CCM na asipende chama fulani.
Wakati walimu wanakufuta kamasi na mikojo ulikuwa unaweza kuwabeza kama ufanyavyo leo juha mmoja hiviUjuha ndio huu, asipokula vyema nini? Walimu kweli nyie ni wa kumtisha raisi?
Tetete unataka kukopa nini teacher? tulia dawa iingieHuna unalojua, salary slip inatanguliwa kabla pesa haijaingia
Yaani unaona kuwa walimu ndio watumishi wa umma tuBaada ya kuzunguka huko na huku hatimaye wamejua ongezeko la mshahara, lawama zimeanza na wengine kuanza kumshambulia raisi. Hii haikubaliki hata kidogo.
Raisi aliweka wazi ongezeko la mshahara kwa 23.3% ni wale wa kima Cha chini, Ila kutokujua kusoma na kuelewa kwa watumishi kukafanya ionekane ni kwa watu wote.
Ni kama kuna watu walijiandaa kutoa lawama kwa raisi wetu ikiwa taarifa ilisema wazi kabisa kuwa ni kima cha chini. Hata hivyo tukirudi kwenye uhalisia kwa uchumi ulivyoyumba duniani na Tanzania tukiwemo, unawezaje kuhitaji ongezeko la 23.3%?? Kwa kazi gani hasa unazofanya?
Watumishi wengi ni walimu, zaidi ya nusu(300000+) na hawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kupotosha ongezeko ili mwisho wa siku ionekane serikali iliongopa. Shida ni nini kwenye hii kada ya ualimu? Ufahamu mdogo?
Narudia tena acheni lawama kwa Raisi mara moja, na pia mshukuru hata kwa hiko kidogo mlichopata.
Kama mmepungukiwa akili nitawabeza tuWakati walimu wanakufuta kamasi na mikojo ulikuwa unaweza kuwabeza kama ufanyavyo leo juha mmoja hivi
Mimi nawezaje kuwa Mwalimu?Tetete unataka kukopa nini teacher? tulia dawa iingie
Ni kwamba akili hauna?
Wao ndio wamesababisha, mbona watu hawawasemi madaktari? Wahandisi? Wahasibu?Walimu ndio punching bags zenu humu.
Upo idara gani?Akili ninazo kiasi zinatosha kuendesha maisha yangu.
Nimeuliza salary slip ziko wapi maana katika mfumo hazijawekwa wewe umeziona wapi?
Kama umeziona jikoni kabla hazijatoka nijibu tu sio ugomvi mkuu
Halafu kuwa mwalimu sio big deal wala sio laana. Watu wengi ni walimu na wanaendesha maisha yao vizuri pengine kukuzidi wewe uliyepungukiwa na akili. Waziri wako mkuu walimtoa kwenye vikorido vya hapo tamisemi akiwa kama nani? Samia mwenyewe unaye muinamishia kichwa na kuacha makalio nyuma mmoja wa wazazi wake alikuwa mwalimu.Kama mmepungukiwa akili nitawabeza tu
Kweli kabisa pimbi humu hakuna.Hakuna pimbi wa kupambana na mm humu
Tena mind set ya wabongo wengi iko hivo, yaani ujinga ni mzigo sana.yaan unaona kuwa walimu ndo watumishi wa umma tu
"WALIMU HAWANA AKILI"Baada ya kuzunguka huko na huku hatimaye wamejua ongezeko la mshahara, lawama zimeanza na wengine kuanza kumshambulia raisi. Hii haikubaliki hata kidogo.
Raisi aliweka wazi ongezeko la mshahara kwa 23.3% ni wale wa kima Cha chini, Ila kutokujua kusoma na kuelewa kwa watumishi kukafanya ionekane ni kwa watu wote.
Ni kama kuna watu walijiandaa kutoa lawama kwa raisi wetu ikiwa taarifa ilisema wazi kabisa kuwa ni kima cha chini. Hata hivyo tukirudi kwenye uhalisia kwa uchumi ulivyoyumba duniani na Tanzania tukiwemo, unawezaje kuhitaji ongezeko la 23.3%?? Kwa kazi gani hasa unazofanya?
Watumishi wengi ni walimu, zaidi ya nusu(300000+) na hawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kupotosha ongezeko ili mwisho wa siku ionekane serikali iliongopa. Shida ni nini kwenye hii kada ya ualimu? Ufahamu mdogo?
Narudia tena acheni lawama kwa Raisi mara moja, na pia mshukuru hata kwa hiko kidogo mlichopata.