92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
raisi wetu hata kama anafanya mabaya ila yale anayokwenda sawa lizima tuyaone
kukemea wazi wazi kwa matemdo hayo mabaya ni dawa pia kwakua kama mkuu wa nchi kaliongeea lazima wastuke na hali itapungua me nampongeza kwa hilo tusiwe watubwa kuona mabaya tu kwa mtu ipo siku atakuja mtu sahihi na hatutaona utendaji wake.
hata MAGUFULI alikua na mema na mabaya yake lakini alipokua madarakani mabaya ndio yaliongelewa zaidi
kukemea wazi wazi kwa matemdo hayo mabaya ni dawa pia kwakua kama mkuu wa nchi kaliongeea lazima wastuke na hali itapungua me nampongeza kwa hilo tusiwe watubwa kuona mabaya tu kwa mtu ipo siku atakuja mtu sahihi na hatutaona utendaji wake.
hata MAGUFULI alikua na mema na mabaya yake lakini alipokua madarakani mabaya ndio yaliongelewa zaidi