Tanzania haijajengwa na Nyerere katika watu walioiharibu Tanzania na tunapaswa hata kuyaadhibu makaburi Yao ni Nyerere na mashoga zake waliojifanya kudai Uhuru hali yakua hatukua tayari kujitawala wangemuacha mkoloni mpaka pale early 2000 tungekua mbali sanaa Shobo zao ndio zimetufikisha hapaTanzania ilijengwa na Nyerere! Hivyo basi wale wote waliofuatia baada yake, wanaendeleza tu pale alipoishia.
Ukweli ndiyo huo.Tanzania ilijengwa na Nyerere! Hivyo basi wale wote waliofuatia baada yake, wanaendeleza tu pale alipoishia.
Ni mtu asiyefikiri pekee anaweza kubeza mazuri aliyoyafanya Nyerere,hakuna Rais yeyote Afrika Mashariki anayekumbukwa kuliko Nyerere,Hakuna Rais kama Nyerere Tanzania na hatawahi kutokea Tena Rais wa mfano kama Nyerere.Tanzania haijajengwa na Nyerere katika watu walioiharibu Tanzania na tunapaswa hata kuyaadhibu makaburi Yao ni Nyerere na mashoga zake waliojifanya kudai Uhuru hali yakua hatukua tayari kujitawala wangemuacha mkoloni mpaka pale early 2000 tungekua mbali sanaa Shobo zao ndio zimetufikisha hapa
Huyo mjinga hajui kuwa hata lugha ya kiswahili ambayo ni moja ya mambo tunayojivunia kama taifa kutokana na kutuunganusha watanzania wote hizo ni jitihada kubwa za NyerereNi mtu asiyefikiri pekee anaweza kubeza mazuri aliyoyafanya Nyerere,hakuna Rais yeyote Afrika Mashariki anayekumbukwa kuliko Nyerere,Hakuna Rais kama Nyerere Tanzania na hatawahi kutokea Tena Rais wa mfano kama Nyerere.
Uko vizuri na Kiswahili kimekuwa chanzo cha amani ya Tanzania,Mungu aendelee kumbariki mahali popote pale alipo.Huyo mjinga hajui kuwa hata lugha ya kiswahili ambayo ni moja ya mambo tunayojivunia kama taifa kutokana na kutuunganusha watanzania wote hizo ni jitihada kubwa za Nyerere
Aende Cameroon ambapo kasikazini mwa nchi wanazungumza Kifaransa huku kusini wanazungumza Kiingereza,
Mfano mwingine hapo Kenya ukabira ulivyotamalaki.
Nyerere angeweza kuruhusu English iwe lugha ya taifa ila ni maono tu.
Hapo katikati matukio ya uhalifu yalikuwa mengi sana aisee kwaiyo kwa tulipo sasa tunamshukuru Mungu kutupa Rais anaejali amani ya wananchi wakeTanzania ilijengwa na Nyerere! Hivyo basi wale wote waliofuatia baada yake, wanaendeleza tu pale alipoishia.
Vema Ila huwa nachukua kiongozi anaye kizungumza anacho kisoma huwa nahisi kaambiwa kawaambie haya so vizuri onyesheni Yana toka moyoni lakini hata hivyo hongera zake๐๐๐๐View attachment 2494102
Rais Samia Suluhu alisema zama zetu hizi zinapitia changamoto nyingi hivyo ameamua kubuni mbinu mpya ili kuendana na wakati tulipo. amekuja na wazo la nguzo nne (4R) za uongozi ambazo ni maridhiano, ustahamilivu, mabadiliko na kujenga Tanzania mpya
Hizi nguzo nne zimetufikisha hapa leo Tanzania ya sasa ni ya amani, upendo umoja na mshikamo ndio maana watanzania wote sasa tunaongea lugha moja hakuna mpinzani wa kuitukana serikali maana wote tumeunganishwa na Maridhiano nia yetu ni moja kujenga Tanzania mpya yenye maendeleo.
Ebu vuta picha Nyerere na mashoga zake wangeacha Shobo za kudai Uhuru wakatulia wakashirikiana na mkoloni vizur tu kuitengeneza nchi hii nchi ingekua wapi mpaka LeoNi mtu asiyefikiri pekee anaweza kubeza mazuri aliyoyafanya Nyerere,hakuna Rais yeyote Afrika Mashariki anayekumbukwa kuliko Nyerere,Hakuna Rais kama Nyerere Tanzania na hatawahi kutokea Tena Rais wa mfano kama Nyerere.
Nakusikitikia kuona kijana mbichi kabisa unafikiria kama Ajuza wa miaka 80 hiviHuyo mjinga hajui kuwa hata lugha ya kiswahili ambayo ni moja ya mambo tunayojivunia kama taifa kutokana na kutuunganusha watanzania wote hizo ni jitihada kubwa za Nyerere
Aende Cameroon ambapo kasikazini mwa nchi wanazungumza Kifaransa huku kusini wanazungumza Kiingereza,
Mfano mwingine hapo Kenya ukabira ulivyotamalaki.
Nyerere angeweza kuruhusu English iwe lugha ya taifa ila ni maono tu.
Unapomlaumu Nyerere zunguka kwenye nchi hizi zote tunazopakana nazo utapata majibu mwenyewe kwa nini tunamsifia Nyerere.Ebu vuta picha Nyerere na mashoga zake wangeacha Shobo za kudai Uhuru wakatulia wakashirikiana na mkoloni vizur tu kuitengeneza nchi hii nchi ingekua wapi mpaka Leo
Unajua Nyerere na Shobo zake ndio amefuga hii mijizi ya CCM iliyotufanya tu stuck kila miaka tunajenga madarasa tu maendeleo taratibu wizi mwingi
Kama we ni kijana umezaliwa 1980s au 1990s Acha kufikiria kama ajuza. Endeleeni kubisha tu lakini ukweli usemwe hatukua tayari kujitawala ndio nataman kila siku nchi za kiafrica zitawaliwe upya kama trump anavyosema huo ndio ukweli kataa au kubali