Rais Samia amefanikiwa kupanda mbegu ya uzalendo kwenye mioyo ya watanzania katika kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe

Rais Samia amefanikiwa kupanda mbegu ya uzalendo kwenye mioyo ya watanzania katika kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu hivyo ndivyo unavyoweza kusema kwa Sasa kuwa mh Rais mama Samia amefanikiwa kupanda mbegu ya Uzalendo kwa watanzania katika kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe.

Watanzania kwa Sasa wanaridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu na dhamira yake katika kuijenga Tanzania iliyo Bora, Hii ndio maana watanzania kwa pamoja wameamua kumuunga mkono mh Rais kwa kuchangia kiasi kutoka katika vipato vyao bila shida yoyote.

Watanzania wametambua kuwa nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe, na kwamba hata hao walio endelea na kutupatia misaada walianza kwa kuchangishana kupitia vipato vyao, hata hivyo watanzania kwa Sasa wametambua kuwa hatutaweza Kuendelea kwa haraka kupitia misaada na mikopo pekee, ili Tuendelee lazima tubebe mzigo wetu wenyewe na hiyo misaada na mikopo iwe ziada katika juhudi zetu na jukumu la msingi likibaki mikononi mwetu.

Watanzania wametambua kuwa Ni lazima tujinyime, tujibane, Tuwe na vipaombele, tuwa wazalendo, Tuwe na Nidhamu kwa kila sent tuipatayo ili tupeleke katika kuijenga nchi yetu, watanzania wamekuwa na Imani kubwa na mh Rais katika usimamaizi wa fedha za umma.

Sasa watanzania wapo bize katika kuijenga nchi yetu, hawataki kumsikiliza mtu anayewashauri kwamba wasiijenge nchi yao, kwa kuwa kwa Sasa wanaona namna miradi mbalimbali ya maendeleo ilivyojengwa na kusogezwa huduma karibu yao, hawataki mizigo ya madeni hata kwa vitu tunavyoweza kufanya wenyewe, hawataki tuwajazie madeni vizazi vijavyo kwa kukwepa wajibu wetu, wanataka wajibu wetu na mzigo wetu tuubebe Wenyewe.

Mh Rais ameongoza njia ya maendeleo na watanzania wameamua kumfuata na kumuunga mkono na hili hata utafiti wa Twaweza umelithibitisha, Tuendelee kuijenga nchi yetu kwa kila namna bila kumsubili mtu, tujivunie maendeleo yanayotokana na juhudi zetu wenyewe.
 
Wewe umepanda daraja, si chawa tena bali KUPE wa kilo moja umengagania ngozio ya Samia mpaka kukuondoa lazima kwa mtaimbo
Tumuunge mkono mh Rais wetu katika kuijenga nchi yetu, Nazani umeanza kuona matunda yake kwa namna huduma zilivyosogezwa karibu yetu, pamoja na tofauti zetu za kisiasa lakini katika hili watanzania wapo na mh Rais wetu, maana wametambua kuwa lazima tuijenge nchi yetu.
 
labda watanzania wa lumumba walamba asali
Kwani huoni namna mh Rais alivyoibadilisha Tanzania kwa kuifanya kuwa na maendeleo karibu ya mwananchi, huoni namna ambavyo mwananchi amepunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma
 
Ndugu zangu hivyo ndivyo unavyoweza kusema kwa Sasa kuwa mh Rais mama Samia amefanikiwa kupanda mbegu ya Uzalendo kwa watanzania katika kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe.

Watanzania kwa Sasa wanaridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu na dhamira yake katika kuijenga Tanzania iliyo Bora, Hii ndio maana watanzania kwa pamoja wameamua kumuunga mkono mh Rais kwa kuchangia kiasi kutoka katika vipato vyao bila shida yoyote.

Watanzania wametambua kuwa nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe, na kwamba hata hao walio endelea na kutupatia misaada walianza kwa kuchangishana kupitia vipato vyao, hata hivyo watanzania kwa Sasa wametambua kuwa hatutaweza Kuendelea kwa haraka kupitia misaada na mikopo pekee, ili Tuendelee lazima tubebe mzigo wetu wenyewe na hiyo misaada na mikopo iwe ziada katika juhudi zetu na jukumu la msingi likibaki mikononi mwetu.

Watanzania wametambua kuwa Ni lazima tujinyime, tujibane, Tuwe na vipaombele, tuwa wazalendo, Tuwe na Nidhamu kwa kila sent tuipatayo ili tupeleke katika kuijenga nchi yetu, watanzania wamekuwa na Imani kubwa na mh Rais katika usimamaizi wa fedha za umma.

Sasa watanzania wapo bize katika kuijenga nchi yetu, hawataki kumsikiliza mtu anayewashauri kwamba wasiijenge nchi yao, kwa kuwa kwa Sasa wanaona namna miradi mbalimbali ya maendeleo ilivyojengwa na kusogezwa huduma karibu yao, hawataki mizigo ya madeni hata kwa vitu tunavyoweza kufanya wenyewe, hawataki tuwajazie madeni vizazi vijavyo kwa kukwepa wajibu wetu, wanataka wajibu wetu na mzigo wetu tuubebe Wenyewe.

Mh Rais ameongoza njia ya maendeleo na watanzania wameamua kumfuata na kumuunga mkono na hili hata utafiti wa Twaweza umelithibitisha, Tuendelee kuijenga nchi yetu kwa kila namna bila kumsubili mtu, tujivunie maendeleo yanayotokana na juhudi zetu wenyewe.
Hivi nyie mada zenu huwa mnafikili, why mnapenda Sana kumjaza kichwa Huyu mama, ? Nikisema nyie ni wahujumu uchumi nitakua nakosea?

Sasa nawambia acheni tabia hii Mara moja, mnampoteza na mapambio yenu, sifa ,sifa, naludia tena , Huyu mama bado ila akifika tutampongeza, acheni unafiki bwana
 
2025 tunamtia nidham machawa wake mtakimbilia burundi.
Kwa uungwaji mkono alionao mh Rais na namna anavyokubalika nakuhakikishia kuwa mh Rais anakwenda kuzoa kura Zote uchaguzi ujao, maana amebeba na anatekeleza Sera na ajenda zinazogusa maisha ya mtanzania mnyonge
 
Tumuunge mkono mh Rais wetu katika kuijenga nchi yetu, Nazani umeanza kuona matunda yake kwa namna huduma zilivyosogezwa karibu yetu, pamoja na tofauti zetu za kisiasa lakini katika hili watanzania wapo na mh Rais wetu, maana wametambua kuwa lazima tuijenge nchi yetu.
KUPEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Hivi nyie mada zenu huwa mnafikili, why mnapenda Sana kumjaza kichwa Huyu mama, ? Nikisema nyie ni wahujumu uchumi nitakua nakosea?

Sasa nawambia acheni tabia hii Mara moja, mnampoteza na mapambio yenu, sifa ,sifa, naludia tena , Huyu mama bado ila akifika tutampongeza, acheni unafiki bwana
Kwani wewe huoni kazi alizozifanya mh Rais, kwamba wewe huoni miradi ya shule, zahanati, vituo vya Afya, na hata huduma za umeme na maji zilivyo pelekwa Hadi vijijini, huoni juhudi za mh Rais katika kuleta mapinduzi ya kilimo hasa baada ya kuongeza bajeti na kutoa Ruzuku ya billioni Mia moja hamsini? Huoni ajira zikitolewa kwa vijana kupitia hiyo miradi na hata za serikali,

Huoni namna uwekezaji unavyoongezeka nchini kutokanaa na mh Rais kuimarisha diplomasia yetu, huoni mafuriko ya watalii yalivyo baada ya juhudi za mh Rais kufanyika katika secta ya utalii, huoni au umejipa upofu?
 
Kwa uungwaji mkono alionao mh Rais na namna anavyokubalika nakuhakikishia kuwa mh Rais anakwenda kuzoa kura Zote uchaguzi ujao, maana amebeba na anatekeleza Sera na ajenda zinazogusa maisha ya mtanzania mnyonge
Hivi wewe Mkuu unalipwaga sh ngapi? Nakwambia weka tume huru, niingie nae ulingoni,saa sita mchana nimemaliza kazi, anawezaakaja kuwa vizuri ila KWa sifa zenu za ajabu mnampoteza acheni hii
 
KUPEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Kama kuongea ukweli Ni ukupe Basi acha niwe kupe wa kung'ania kuyaelezea Yale mazuri yote afanyayo mh Rais wetu katika kugusa maisha ya watanzania ambayo yameacha Alama za kukumbukwa daima, kwa namna alivyobadilisha maisha ya watanzania na kuwa Bora, leo wakulima tunafuraha baada ya kuona tunapata mbolea kwa Bei nzuri kutokanaa na mh Rais kutoa Ruzuku
 
Mkuu upo unaongelea serikali ukiwa kijiwe gani nikuongezee kahawa

Umaskini wa mawazo yenye tija ndio njaga tz
 
Kwani wewe huoni kazi alizozifanya mh Rais, kwamba wewe huoni miradi ya shule, zahanati, vituo vya Afya, na hata huduma za umeme na maji zilivyo pelekwa Hadi vijijini, huoni juhudi za mh Rais katika kuleta mapinduzi ya kilimo hasa baada ya kuongeza bajeti na kutoa Ruzuku ya billioni Mia moja hamsini? Huoni ajira zikitolewa kwa vijana kupitia hiyo miradi na hata za serikali,

Huoni namna uwekezaji unavyoongezeka nchini kutokanaa na mh Rais kuimarisha diplomasia yetu, huoni mafuriko ya watalii yalivyo baada ya juhudi za mh Rais kufanyika katika secta ya utalii, huoni au umejipa upofu?
Kwani Izo pesa anatoa mfukoni mwake?si kodi zetu, ni wajibu kurudisha kodi zetu, Sasa kipi Cha ajabu hapa,
Mwambie akawaondoe wabunge 19 wa mchongo Bungeni alafu uje tumjadili hapa,Yani Kama Mkuu wa nchi ameyaacha majizi pale Bungeni, alafu unakuja na hoja nyepesi za kusifu hapa,
 
Ndugu zangu hivyo ndivyo unavyoweza kusema kwa Sasa kuwa mh Rais mama Samia amefanikiwa kupanda mbegu ya Uzalendo kwa watanzania katika kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe.

Watanzania kwa Sasa wanaridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu na dhamira yake katika kuijenga Tanzania iliyo Bora, Hii ndio maana watanzania kwa pamoja wameamua kumuunga mkono mh Rais kwa kuchangia kiasi kutoka katika vipato vyao bila shida yoyote.

Watanzania wametambua kuwa nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe, na kwamba hata hao walio endelea na kutupatia misaada walianza kwa kuchangishana kupitia vipato vyao, hata hivyo watanzania kwa Sasa wametambua kuwa hatutaweza Kuendelea kwa haraka kupitia misaada na mikopo pekee, ili Tuendelee lazima tubebe mzigo wetu wenyewe na hiyo misaada na mikopo iwe ziada katika juhudi zetu na jukumu la msingi likibaki mikononi mwetu.

Watanzania wametambua kuwa Ni lazima tujinyime, tujibane, Tuwe na vipaombele, tuwa wazalendo, Tuwe na Nidhamu kwa kila sent tuipatayo ili tupeleke katika kuijenga nchi yetu, watanzania wamekuwa na Imani kubwa na mh Rais katika usimamaizi wa fedha za umma.

Sasa watanzania wapo bize katika kuijenga nchi yetu, hawataki kumsikiliza mtu anayewashauri kwamba wasiijenge nchi yao, kwa kuwa kwa Sasa wanaona namna miradi mbalimbali ya maendeleo ilivyojengwa na kusogezwa huduma karibu yao, hawataki mizigo ya madeni hata kwa vitu tunavyoweza kufanya wenyewe, hawataki tuwajazie madeni vizazi vijavyo kwa kukwepa wajibu wetu, wanataka wajibu wetu na mzigo wetu tuubebe Wenyewe.

Mh Rais ameongoza njia ya maendeleo na watanzania wameamua kumfuata na kumuunga mkono na hili hata utafiti wa Twaweza umelithibitisha, Tuendelee kuijenga nchi yetu kwa kila namna bila kumsubili mtu, tujivunie maendeleo yanayotokana na juhudi zetu wenyewe.
Ni kweli tupu,uliyoandika.
 
Wewe umepanda daraja, si chawa tena bali KUPE wa kilo moja umengagania ngozio ya Samia mpaka kukuondoa lazima kwa mtaimbo
Kaa hivyohivyo ukitegemea Samia atakuletea ugali hapo kwa shemeji bibie
 
Hivi wewe Mkuu unalipwaga sh ngapi? Nakwambia weka tume huru, niingie nae ulingoni,saa sita mchana nimemaliza kazi, akaja kuwa vizuri ila KWa sifa zenu za ajabu mnampoteza acheni hii
Hata upewe usimamaizi wa tume bado huwezi kumshinda mh Rais, huwezi kuambulia kitu, huwezi maliza hata kampenii, mh Rais kabeba Sera na ajenda za wananchi na kuzitekeleza kwa Kasi, wananchi wameridhishwa na utendaji kazi wake Ndio maana unaona nchi ikiwa Tulivu na watu wakiendelea na kazi kumuunga mkono mh Rais aliyegusa maisha yao,

utawaambia Nini wakulima mpaka wakuelewa wakati wanaona juhudi za Rais kuwainua kiuchumi?
 
Kwani wewe huoni kazi alizozifanya mh Rais, kwamba wewe huoni miradi ya shule, zahanati, vituo vya Afya, na hata huduma za umeme na maji zilivyo pelekwa Hadi vijijini, huoni juhudi za mh Rais katika kuleta mapinduzi ya kilimo hasa baada ya kuongeza bajeti na kutoa Ruzuku ya billioni Mia moja hamsini? Huoni ajira zikitolewa kwa vijana kupitia hiyo miradi na hata za serikali,

Huoni namna uwekezaji unavyoongezeka nchini kutokanaa na mh Rais kuimarisha diplomasia yetu, huoni mafuriko ya watalii yalivyo baada ya juhudi za mh Rais kufanyika katika secta ya utalii, huoni au umejipa upofu?
Ni kweli tupu
 
Back
Top Bottom