Rais Samia amefanikiwa kupanda mbegu ya uzalendo kwenye mioyo ya watanzania katika kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe

Ni kweli tupu
 
Wekeni Sasa ,leta na Katiba mpya kuruhusu Mgombea binfsi,alafu tuingie mtanange, saa sita mchana kwisha, mnakaa na kumpaka mafuta KWa mgongo wa chupa,WENDA sie ndo tunampenda kuliko team mapambio, huku chini hawamwelewi, sawa Mkuu Waziri
 
Ndio maana wananchi wanampongeza Sana mh Rais wetu maana wameona kwa vitendo namna mh Rais wetu anavyosimamia vizuri Kodi zetu, wameona matunda ya Kodi zetu na wapo bega kwa bega na mh Rais katika juhudi za kuijenga nchi yetu na bado watanzania tunamhitaji mh Rais wetu aendelee kututumikia

Hao wabunge wa chama chako nenda kapambane nao huko mahakamani kulikopelekwa kesi,
 
Mbegu ya uzalendo!👇🐒🐒🐒
Your browser is not able to display this video.
 
M
Wekeni Sasa ,leta na Katiba mpya kuruhusu Mgombea binfsi,alafu tuingie mtanange, saa sita mchana kwisha, mnakaa na kumpaka mafuta KWa mgongo wa chupa,WENDA sie ndo tunampenda kuliko team mapambio, huku chini hawamwelewi, sawa Mkuu Waziri
Mh Rais wetu anaeleweka Sana ndio maana unaona akiungwa mkono juhudi zake huku nchi ikiwa Tulivu na yenye Aman na mshikamano
 
Acheni kumdanganya,Mkuu, wewe unajisikaje mdanganya Bosi wako,why mnachuma dhambi za makusudi, acha Mara moja, nakwambia
 
Kwa uungwaji mkono alionao mh Rais na namna anavyokubalika nakuhakikishia kuwa mh Rais anakwenda kuzoa kura Zote uchaguzi ujao, maana amebeba na anatekeleza Sera na ajenda zinazogusa maisha ya mtanzania mnyonge
Nilimkubali sana huyu mama lakini Kwa style hii ya tozo ilo basi nateremka, hajachelewa bado anaweza kujirekebisha, ila machawa kama mnaendelea kumdanganya mtaduwaa 2025.
 
Nilimkubali sana huyu mama lakini Kwa style hii ya tozo ilo basi nateremka, hajachelewa bado anaweza kujirekebisha, ila machawa kama mnaendelea kumdanganya mtaduwaa 2025.
Hizo tozo ndizo hata wenzetu mataifa ya ulaya walijifunga mikanda na kujinyima ili wajenge nchi zao kufika hapo walipo fika, Nasi hatuna budi kujibana,kujinyima na kujitolea kwa uzalendo kwa kadri ya vipato vyetu ili kuijenga nchi yetu tutakayoweza kujivunia, kwa kuona kuwa inapendeza kutokanaa na juhudi na kazi za mikono yetu Wenyewe,
 
Mbona anayoyafanya yanaonekana kwa kila mtu, mbona yanatugusa sote watanzania,kwani huko uliko Hakuna miradi mbalimbali ya shule zahanati vituo vya Afya na hata umeme na maji vilivyosambazwa na mh Rais wetu, Kama wewe Ni mkulima je hujafikiwa na mbolea za Ruzuku, Kama una mtoto anasoma je hujaona kuwa Elimu Ni bure Hadi kidato Cha sita, hujaona bajeti ya mikopo ukiongezeka kwa wanafunzi wa Elimu ya juu,
 
Kwanza kukuquote mpumbavu kama wewe ni kama bonus, nimeishi ulaya usifananishe kodi wanazolipa ulaya na nchi za kusadikika.

Tanzania kiongozi gani anapanda treni au basi la mwendo kasi kwenda ofisini? Au ni waziri yupi anaendesha baiskeli?

Unadhani ulaya kuna Land cruisers V8? Jinga pumbavu kabisa.
 
Nilimkubali sana huyu mama lakini Kwa style hii ya tozo ilo basi nateremka, hajachelewa bado anaweza kujirekebisha, ila machawa kama mnaendelea kumdanganya mtaduwaa 2025.
Wanazingua Sana ,wao kisa wapo kwenye ulaji basi wanaona Rais ni wakwao tu kumbe ni wa watz wote, bila jali vyama,dini n.k, wahuni tu ,na Hawa kesho akiondoka madarakani wataanza mpiga vijembe, tuliyaona Mwalim,Mzee Mwinyi,Mkapa, Kikwete,mwendazake ,na Sasa wapo KWa SSH, wahuni tu
 
Wewe utabaki kuwa mtengeneza asali tu na ujue HUTALAMBA ASALI.....
 
Wewe utabaki kuwa mtengeneza asali tu na ujue HUTALAMBA ASALI.....
Yote heri tu lakini ilimradi sisi wakulima na watanzania tunafaidika na kazi ya mh Rais wetu tunaendelea kumuunga mkono mh Rais
 
Unafikiri walipo kuwa wanaanza walianzia hapo kimaendeleo au unazani walishushiwa haya mafanikio, walianza kwa kuvuja jasho na kujifunga mikanda, Sasa wewe unataka Nani akujengee nchi yako?
 
Rais Ni wa watanzania wote Ndio maana hakuna niliposema mh Rais Ni wa kundi fulani, Ndio maana unaona hata mh Rais mwenyewe anatutumikia wote kwa pamoja kwa usawa bila ubaguzi wowote, Jambo kulikopelekwa mh Rais kupata uungwaji mkono mkubwa Sana kutoka kwa mamilioni ya watanzania
 
Wewe umepanda daraja, si chawa tena bali KUPE wa kilo moja umengagania ngozio ya Samia mpaka kukuondoa lazima kwa mtaimbo
Anawatega huyu jamaa.. yuko kazin anakusanya maoni.. shaur yenu . Nyie lopokeni
 
Ni jinga kuendelea kusoma hii thread yako mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…