Watanzania hasa wa lumumba wamerogwaUnapewa mkono wa kulia moja wa kushoto wanachukua tatu..., Hekima zaidi ni wangekuwa hawaleti huu upuuzi in the first place ili waje kuuondoa hapo baadae (alafu kama mazuzu tunawasifia)
Na mtaishia hivyo hivyo mpaka end of the world.Rubbish.
Hizo tozo za mazao zinamgusa mkulima yupi?
Watanzania wanataka afute tozo za miamala ya simu maana zinatuumiza sote.
Wakati wanapitisha hiyo tozo hawakuonywa kuwa ni mzigo?Na mtaishia hivyo hivyo mpaka end of the world.
Msio na shukran. Hata kiongozi afanye nini nyinyi mtapinga tu.
Rubbish kabisa!
Hata shamba la hayo mazao huna.Bunge limepokea muswada kutoka kwa Rais Samia Suluhu unaopendekeza kufutwa kwa Sheria ya Tozo ya Kodi ya Mazao iliyokuwa ikitoza kodi ya zuio ya 2% mwananchi akiuza mazao ya kilimo, mifugo na uvuvi.
Tozo hiyo ikiondolewa, fedha zitarudi mifukoni mwa wananchi.
Hongera na Asante Rais Samia kwa kuwajali wakulima
Hata ungekuwa wewe ndiye mbambika kesi kama ulivomuita mhusika,ungetekeleza amri ya hovyo kama ile?Hizi kesi bambikizi inawezekana waliozibambika wanamzidi nguvu, maana ikiwa waziri wa afya alisema fulani awekwe ndani kwa kupinga maamuzi ya serikali mtekelezaji amri akasema hawezi kutii hiyo amri!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MKULIMA wa TANZANIA Analima kwa Jembe la MKONO Miaka 60 ya Uhuru bado mnamtoza na TOZOBunge limepokea muswada kutoka kwa Rais Samia Suluhu unaopendekeza kufutwa kwa Sheria ya Tozo ya Kodi ya Mazao iliyokuwa ikitoza kodi ya zuio ya 2% mwananchi akiuza mazao ya kilimo, mifugo na uvuvi.
Tozo hiyo ikiondolewa, fedha zitarudi mifukoni mwa wananchi.
Hongera na Asante Rais Samia kwa kuwajali wakulima
Hata mazao ya chakula watu si tunatumia woteRubbish.
Hizo tozo za mazao zinamgusa mkulima yupi?
Watanzania wanataka afute tozo za miamala ya simu maana zinatuumiza sote.