Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Tangu kuingia madarakani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan mwaka 2021, shule za msingi mpya zaidi ya 468 zimejengwa huku vyumba vya madarasa zaidi ya 15,000 vipya vya msingi na Sekondari vimejengwa, lakini kama haitoshi kumejengwa shule za awali 1,600 ambazo hazikuwepo hapo awali.
Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan amehakikisha amejenga mabweni mapya 1600 ili kuwapunguzia umbali wanafunzi wanaoitafuta elimu ambapo zaidi ya shilingi Trilioni 3.98 zimewekwa kwenye ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI ili tu kuboresha miundombinu ya elimu nchini.
Rais Samia ametekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM Ibara ya 80 (i)(a) inayoelekeza Kujenga na kukarabati miundombinu ya elimu pamoja na kuhifadhi na kuendeleza mazingira ya shule hizo.
Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan amehakikisha amejenga mabweni mapya 1600 ili kuwapunguzia umbali wanafunzi wanaoitafuta elimu ambapo zaidi ya shilingi Trilioni 3.98 zimewekwa kwenye ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI ili tu kuboresha miundombinu ya elimu nchini.
Rais Samia ametekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM Ibara ya 80 (i)(a) inayoelekeza Kujenga na kukarabati miundombinu ya elimu pamoja na kuhifadhi na kuendeleza mazingira ya shule hizo.