Rais Samia amemteua Mussa Makame, Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri na Uwekezaji wa Mfuko wa Mafuta na Gesi

Rais Samia amemteua Mussa Makame, Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri na Uwekezaji wa Mfuko wa Mafuta na Gesi

Teuzi zinaendelea sekta ya mafuta na gesi.

Pengine tutaanza kufaidi kutoka mfuko huu:

Sheria ya Usimamizi Mapato kwenye mafuta na gesi ya mwaka 2015 inataka ukaguzi kwenye kila kota ufanyike ili kutoa taarifa ya hali ya mfuko wa gesi na mafuta. Mfuko huu umeanza kupokea mapato kama ilivyofanyika kwa mwaka 2017 / 2018 :

Oil and Gas Revenue Management 2

PART III
COLLECTION AND AUDITING OF
OF OIL AND GAS REVENUES


6. Collection of oil and gas revenues.

7. Auditing of reserves, exploration and costs, etc

PART IV
ESTABLISHMENT, SOURCES AND MANAGEMENT OF THE FUND


8. Oil and Gas Fund.
9. Sources of the Fund.
10. Management of the Fund.
11. Restriction on the use of the revenues of the Fund.
12. Portfolio Investment Advisory Board.
13. Functions of the Board.
14. Secretariat of the Board.
15. Oversight of and reporting on the Fund.

PART V
FISCAL RULES
16. Objective and principle of fiscal rules
17. Fiscal rules.
18. Transparency and accountability of revenues.

PART VI
FINANCIAL PROVISIONS
19. Annual budget of the Board.
20. Accounting and audit.


Oil and Gas Revenue Management

(3) The Chairman and other four members shall be appointed
by the President.

(4) The provisions of the Schedule shall apply to the Board in the conduct of its business.

Functions of the Board
13.-(1) The functions of the Board shall be to:
(a) advise the Minister on portfolio investment strategy of the Revenue Saving Account of the Fund.

(b) report periodically to the Minister responsible for finance on the Governance and overall performance of the Revenue
Saving Account of the Fund.

(2) Any advice by the Investment Advisory Board on investment
strategy of the Revenue Saving Account of the Fund shall take into account:

(a) overall objective for the benefit of current and future
generation
s;

(b) current economic conditions, opportunities and constrains in
the investment markets and constrains under which the Bank
and other relevant institutions operate; and

(c) the need to ensure sufficient funds are available when the
need for transfer to meet unanticipated oil and gas revenue shortfall arises.

(3) Where the Minister declines to take the advice of the Board
he shall refer the matter to the President for determination.
Secretariat of the Board

14. There shall be a Secretariat of the Board constituted by the
Bank. Oversight of and reporting
on the Fund

15.-(1) The Board shall submit to the Minister quarterly reports
on the performance assessment of the Fund.

(2) The Governor shall report quarterly to the Minister on the
governance and overall performance of the Revenue Holding Account

READ MORE : Source :
parliament.go.tz
http://parliament.go.tz › actsPDF
Oil and Gas Revenue Management Act No.22 2015

-(1) There is established a Portfolio Investment. Advisory Board. (2) The Board shall be comprised of five persons wh
Yaani honestly speaking 57 trilion cubic feet of Tz Natural gas ni mali ya Western powers it has little impact on our economy ....hii inatokana na mikataba mibovu ambayo tumeingia nao hao western powers ....TPDC wana 14% Only , kwanini Botswana waliweza 50%50% kwenye dimond kwanini sisi tumeshindwa ???????
 
TOKA MAKTABA:

26 September 2019

Rais John Magufuli ameteua mwenyekiti na wajumbe wa Bodi ya Ushauri ya Uwekezaji wa Mapato ya Mafuta na Gesi (Portfolio Investment Advisory Board)

Dar es Salaam.
Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Dk Leonard Chamriho kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Uwekezaji wa Mapato ya Mafuta na Gesi (Portfolio Investment Advisory Board).

Dk Chamriho ni Katibu Mkuu wa Uchukuzi katika Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Pamoja na uteuzi wa Mwenyekiti, Rais Magufuli amewateua wajumbe wanne wa bodi hiyo ambao ni;
  • Casmir Sumba Kyuki (Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria).
  • Dk Suleiman Magesa Missango (Mkurugenzi wa Utafiti wa Uchumi na Sera wa Benki Kuu ya Tanzania – BOT).
  • Safiel Fahamuel Msomvu (Kaimu Meneja Uwekezaji wa Shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania – TPDC).
  • Dk Mussa Daniel Budeba (Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam – UDSM).
Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Septemba 26, 2019 na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu ya Tanzania imemnukuu Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi akisema uteuzi wa Dk Chamriho na wajumbe hao ulianza Septemba 25, 2019.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
26 Septemba, 2019
 
Back
Top Bottom