Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,190
Udhaifu ulikuwa kwa lile Lirundi liuaji ambalo halikuwa na confidence bali lilikimbilia kuua na kunyima watu haki kwa kutumia vyombo vya dola, nchi imerudi kwenye mstari na raia wanaishi bila hofu za kuuawa, kutekwa au kubambikiwa kesi.Naichukia serikali hii ya mama. Ni dhaifu kwenye mambo ya msingi.