Udhaifu ulikuwa kwa lile Lirundi liuaji ambalo halikuwa na confidence bali lilikimbilia kuua na kunyima watu haki kwa kutumia vyombo vya dola, nchi imerudi kwenye mstari na raia wanaishi bila hofu za kuuawa, kutekwa au kubambikiwa kesi.Naichukia serikali hii ya mama. Ni dhaifu kwenye mambo ya msingi.
Exactly.Mnao uhuru wa kukatia rufaa maamuzi ya DPP, sioni sababu ya wewe na wenzako kuja kulalamika humu. Kama mnao ushahidi nendeni mkakate rufaa
Ndiyo raha ya maisha hasa pale watoto wanapokula na kusaza huku ukiwa na amani ya moyo bila hofu ya kutekwa au kuuawa kwa sababu ya kutofautia kiitikadi na serikali iliyopo madarakani.usi panic mkuu, haya maisha tunapita. hakikisha watoto wanakula na kusaza
Pole Sana kwa kubaki MJANE wa Sabaya.Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.
Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.
Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.
Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.
Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.
Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.
Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Unadhani kwa nini DPP pamoja na ushahidi wake uliotukuka kaamua kusema po?Ameshindwa kuleta ushahidi wakati kwa ushahifi wa dpp mbowe kaonekana ana kesi ya kujibu?! Mama kakosea kwelikweli kwa kutowajua chadema. Chadema watamsumbua sana.
Jiwe aliligawa taifa na alifanya kutofautiana kiitikadi na utawala ikaonekana ni sababu tosha ya kumshababishia mtu kuuawa au kutekwa na kuteswa na wapumbavu walishabikia.Magufulists? Kwa faida ya Watanzania, fafanua huo ni mlengo gani kiitikadi? Vinginevyo itaeleweka kuwa ni cult - personality cult.
Tena cult inayotisha; inayojua kuwa Mbowe ana kosa la ugaidi against all logic and evidence to the contrary and is hell-bent to see Mbowe convicted, in prison or even at the gallows!
Watanzania hawako hivyo. Kwa akili ya aina hiyo naanza kuelewa hoja ya hatari iliyokuwa ikikabili taifa Magufuli angeendelea kuwepo. Proceedings za hii kesi tusingezijua; Mbowe angefungwa na CHADEMA ingefutwa - kibabe.
Si suala la damu ya kunguni, yule ni jambazi na ushahidi uko dhahiri hivyo hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kumtetea.Tatizo Sabaya ana damu ya kunguni, hakuna anayemtetea. Mbowe ametetewa kuanzia ACT Hadi Viongozi wa dini.
Kati ya hizo moja imezikwaHawa Bia yetu Jane Lowassa Stroke Magonjwa Mtambuka ni kama waliondoka kabisa au kupoozwa na wimbi la March 17
Hayo yaliyoelezwa mahakamani ni kweli Mbowe alifanya, ila ni figisu za kisiasa tu, ni mambo ya kawaida sana kwenye kugombea power za kisiasa, kuna mambo makubwa zaidi akina fulani wamefanya kuliko hayo Mbowe aliyofanya, Ndiyo maana roho zimewasuta!Si suala la damu ya kunguni, yule ni jambazi na ushahidi uko dhahiri hivyo hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kumtetea.
Kesi ya Mbowe hata wale waliokuwa wakiishabikia walikuwa wakielewa fika ya kuwa ni kesi ya 'kimchongo' ila huamua kujitoa ufahamu kwa sababu za ushabiki.
Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.
Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.
Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.
Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.
Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.
Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.
Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Wale mawakili wasomi ndio waliosababisha dpp ajinyee na kufuta kesiNa wale mawakili mliyokua mnaimba kuwasifu mbona mumeangukia miguuni kwa mama wala kesi hamjashinda. Uhodari wa matusi tu. Ndio mkome kuwaza kutumia nguvu maana kila uchaguzi mtaangukia pua kwa huu ujivuni mliokua nao.
Sidhani kama hata wewe umeelewa ulichokiandika, pole kwa mmeoKwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.
Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.
Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.
Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.
Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.
Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.
Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Nadhani kuna jambo kubwa sana nyuma yake, muda utaongeaKwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa.
Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini asisubiri ahukumiwe.
Magufulists hakika tumeudhika sana kuona huyo gaidi aliyekua ameanza kampeni mbaya kumdemonise Magufuli serikali ya Samia imemuachia.
Na ngoja samia ndio atawajua Chadema. Watasema wameshinda kesi ya uonezi na huyohuyo Mbowe ndio ataanza mashambulizi dhidi ya serikali ya CCM akikejeli na kutukana.
Uhakika Mbowe angekutwa na makosa na kuhukumiwa aende jela lakini askofu wa Chadema shoo bila shaka ameweza kuwashawi viongozi wa dini kumuomba rais kesi ifutwe kwenye hatua ya kujitetea mtuhumiwa.
Ili kuleta furaha kwa wote basi Mama Samia atoe msamaha na kufuta kesi zinazomkabili Sabaya. Tunajua Chadema kwa akili yao wanafikiri Mbowe hawezi kua gaidi na kwamba sabaya ni jambazi.
Sisi Magufulists tunaamini Mbowe angekutwa na hatia ya ugaidi na Sabaya amekua framed na wafuasi wa Mbowe. Kwahivyo Sabaya naye aachiwe vinginevyo hakuna kuelewana.
Ingekuwa amefanya DPP asingeifuta kesi, muhalifu wa ugaidi hawezi kuachwa kizembe na wangehakikisha wanaweka ushahidi kuidhihirishia dunia. Upumbavu uliojidhihirisha mpaka wanamaliza kutoa ushahidi wao hapakuwa na kitu chochote 'solid' cha kuthibitisha ugaidi au hata jinai nyingine yoyote ile, wastage of money, resources and time.Hayo yaliyoelezwa mahakamani ni kweli Mbowe alifanya, ila ni figisu za kisiasa tu, ni mambo ya kawaida sana kwenye kugombea power za kisiasa, kuna mambo makubwa zaidi akina fulani wamefanya kuliko hayo Mbowe aliyofanya, Ndiyo maana roho zimewasuta!
Thats why nikasema walichofanya akina Mbowe ni figisu za kawaida sana za kisiasa, sasa yule aliyekuwa anamsaka Mbowe alikuwa hajui siasa, na yeye alikiri hilo, na kuna watu wakamshangilia, Rais asipokuwa mwanasiasa ni shida Ref. Trump USIngekuwa amefanya DPP asingeifuta kesi, muhalifu wa ugaidi hawezi kuachwa kizembe na wangehakikisha wanaweka ushahidi kuidhihirishia dunia. Upumbavu uliojidhihirisha mpaka wanamaliza kutoa ushahidi wao hapakuwa na kitu chochote 'solid' cha kuthibitisha ugaidi au hata jinai nyingine yoyote ile, wastage of money, resources and time.
Poleni!Naunga mkono hoja
Kuna video zikimuonyesha Sabaya akifanya uhalifu. DPP ameshindwa kuleta chembe ya ushahidi inayomuhusisha Mbowe na ugaidi. Au mlitaka kumfunga kimenomeno?
Amandla...