Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo rais mwanamke kamshinda rais wakiume! Hopeless kabisa nyie wafuasi wa dikteta marehemuNa Emmanuel J. Shilatu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepiga 'hat trick' kwenye zao la Korosho katika mambo yaliyokuwa kero na vilio vya siku nyingi vya Wakulima.
I: PEMBEJEO
Rais Samia ametatua kilio cha Wakulima cha pembejeo ambapo Safari hii pembejeo zimeanza kufika kwa wakati.
Sio tu pembejeo kufika kwa wakati bali pia amefuta makato ya Tsh. 110 kwa kila kilogram moja ya Korosho na badala yake mkulima atalipa marejesho kwa idadi ya mifuko aliyochukua. Jambo hili limempunguzia mzigo mkubwa wa malipo Mkulima.
Hajaishia hapo, Rais Samia ameagiza taasisi za kifedha kutoa mikopo ya pembejeo kwa Wakulima na mikopo hiyo ianze kutolewa kwa wakati.
II: USAFIRISHAJI
Rais Samia ameagiza Korosho zote zinazozalishwa katika mikoa ya Ruvuma, Mtwara na Lindi zisafirishwe kupitia bandari ya Mtwara kwani Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika bandari hiyo kwa kuikarabati na kuipanua.
Kitendo hicho kitapunguza gharama na mzunguko mkubwa wa usafirishaji wa Korosho ambapo awali ilibidi wazisafirishe kwa malori mpaka bandari ya Dar es Salaam. Hapa kicheko na furaha kwa Wafanyabiashara na Wakulima, kila pande itaongeza faida ya zao hilo kutokana na kupungua kwa gharama za usafirishaji.
III: MKAKATI KUFUTA TOZO
Dhamira nyingine njema ya Rais Samia kwenye zao la Korosho ambapo ametoa maelekezo kwa viongozi wote wa bandari kupitia na kufuta tozo zote zinazowakwaza Wasafirishaji ili kuwavutia kutumia bandari ya Mtwara. Mwanzo mzuri kuondoa vikwazo vyote vitokanavyo na tozo kwenye zao la Korosho.
Mambo haya mazuri ya kuimarisha sekta ya kilimo yanayoanzwa kufanywa na Rais Samia, yamulike pia kwenye mazao yote mengineyo ili Watanzania waone umuhimu na kuongeza juhudi kwenye kilimo cha biashara ambacho kitasaidia kuongeza pato binafsi la Mkulima na pato la Taifa.
Shilatu, E.J
nani amekwambia imekufa wakati mwezi jana watu wamelipwa pesa ili wapishe huo ujenzi ambao tayari umeshaanza. Acha kuongea vitu usivyovijuana kwa haraka tu barabara ya mzunguko imekufa iliyokuwa ibadili sura ya Dodoma
KangombaNdiyo. Ushirika wa nn ktk zama hizi za biashara mtandao (e-commerce)??
Ktk dunia hii ya kibepari kangomba haipukikiKangomba
Lipi jipya Hapo?Na Emmanuel J. Shilatu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepiga 'hat trick' kwenye zao la Korosho katika mambo yaliyokuwa kero na vilio vya siku nyingi vya Wakulima.
I: PEMBEJEO
Rais Samia ametatua kilio cha Wakulima cha pembejeo ambapo Safari hii pembejeo zimeanza kufika kwa wakati.
Sio tu pembejeo kufika kwa wakati bali pia amefuta makato ya Tsh. 110 kwa kila kilogram moja ya Korosho na badala yake mkulima atalipa marejesho kwa idadi ya mifuko aliyochukua. Jambo hili limempunguzia mzigo mkubwa wa malipo Mkulima.
Hajaishia hapo, Rais Samia ameagiza taasisi za kifedha kutoa mikopo ya pembejeo kwa Wakulima na mikopo hiyo ianze kutolewa kwa wakati.
II: USAFIRISHAJI
Rais Samia ameagiza Korosho zote zinazozalishwa katika mikoa ya Ruvuma, Mtwara na Lindi zisafirishwe kupitia bandari ya Mtwara kwani Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika bandari hiyo kwa kuikarabati na kuipanua.
Kitendo hicho kitapunguza gharama na mzunguko mkubwa wa usafirishaji wa Korosho ambapo awali ilibidi wazisafirishe kwa malori mpaka bandari ya Dar es Salaam. Hapa kicheko na furaha kwa Wafanyabiashara na Wakulima, kila pande itaongeza faida ya zao hilo kutokana na kupungua kwa gharama za usafirishaji.
III: MKAKATI KUFUTA TOZO
Dhamira nyingine njema ya Rais Samia kwenye zao la Korosho ambapo ametoa maelekezo kwa viongozi wote wa bandari kupitia na kufuta tozo zote zinazowakwaza Wasafirishaji ili kuwavutia kutumia bandari ya Mtwara. Mwanzo mzuri kuondoa vikwazo vyote vitokanavyo na tozo kwenye zao la Korosho.
Mambo haya mazuri ya kuimarisha sekta ya kilimo yanayoanzwa kufanywa na Rais Samia, yamulike pia kwenye mazao yote mengineyo ili Watanzania waone umuhimu na kuongeza juhudi kwenye kilimo cha biashara ambacho kitasaidia kuongeza pato binafsi la Mkulima na pato la Taifa.
Shilatu, E.J
Sio kwa style ya mtwara lakiniKtk dunia hii ya kibepari kangomba haipukiki
Wenye kangomba hawapori korosho, wala hawaibi korosho toka kwa wananchi. Wananchi huuza korosho kwa hiari yao kwa wenye kangomba ili wapate mahitaji yao ikiwamo fedha za pembejeo za korosho.Sio kwa style ya mtwara lakini
Bora ubaki tu ulipo. Utakatwa kichwa na magaidi ya ISIS msumbijiikifika mwezi wa Tisa naenda zangu Masasi mapema Kwenye msimu wa korosho.... asante Sana mama Kwa kutukumbuka Sisi wakulima
Mambo ya ushirika yamepitwa na wakati...PM anakazania SANA kukamilisha ilani, kwa kuhakikisha mazao analyzes kwenye ushirika kwa sababu eti kumlinda mkulima, ila ukija kuchunguza ni kuikusanyia serikali mapato, TRA, TARURA, VIPIMO, sijui mazingira e.t.cNdiyo. Ushirika wa nn ktk zama hizi za biashara mtandao (e-commerce)??
Wewe muongo,hata ukose kura Dar kanda ya ziwa na kanda ya kati ushindi utakuwa wako tu muhimu uwe na polisi na tume inayoongozwa na wachumia tumbo dizain ya kicheere!!!Kura za Lindi na Mtwara hazina madhara, ukitaka ushindi wowote lazima upate kanda ya Ziwa, Dsm, nyanda za juu na kanda ya Kati.
Mnachekesha sana watu mnaosapoti ushirika kufutwa! Mnatumia shida za watu kuwakandamiza.Wenye kangomba hawapori korosho, wala hawaibi korosho toka kwa wananchi. Wananchi huuza korosho kwa hiari yao kwa wenye kangomba ili wapate mahitaji yao ikiwamo fedha za pembejeo za korosho.
Kumbuka wananchi hawa hawana mjomba wa kuwapatia fedha za mahitaji hayo, maana ni dunia ya kibebari.