Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 4,116
- 4,979
saamahani boss wangu nimekoma mimi!nani amekwambia imekufa wakati mwezi jana watu wamelipwa pesa ili wapishe huo ujenzi ambao tayari umeshaanza. Acha kuongea vitu usivyovijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
saamahani boss wangu nimekoma mimi!nani amekwambia imekufa wakati mwezi jana watu wamelipwa pesa ili wapishe huo ujenzi ambao tayari umeshaanza. Acha kuongea vitu usivyovijua
Hey bro tuchati inbox kidogoikifika mwezi wa Tisa naenda zangu Masasi mapema Kwenye msimu wa korosho.... asante Sana mama Kwa kutukumbuka Sisi wakulima
Akili makalioni
Ninavyojua mimi hii ni ring road ya kati ambayo ilikuwa inakatiza maeneo ya Nkuhungu. Na sio Ring road zile za pembenisaamahani boss wangu nimekoma mimi!
View attachment 1812252
Nichek Tu inbox nitakujibuHey bro tuchati inbox kidogo
Bro, ukimsifu mama si lazima ufananishe na utawala wa jiwe, hio itatuaminisha kuwa jiwe ameweka viwango vya kutumika Kama reference ktk utawalaDhamira njema ya Mama italikomboa taifa, tofauti na mwendazake alitanguliza mitazamo yake sahihi ama vinginevyo hivyo wataalamu na watendaji kupata wakati mgumu kutekeleza inline na mitazamo ya mtawala.
1. Pembejeo-amekuta mipango hiyo tayari ilikuwa iko kwenye utekelezaji hivyo ni uongo kudai kafanikisha yeye wakati katekeleza mpango uliokuwepo. Makampuni kadhaa ya uzalishaji na usambazaji mbolea na dawa tayari zilikuwa zimeshaanza kuandaa maghala Mtwara mjini, Tunduru na Nachingwea kwa hiyo madai yako sio sahihiNa Emmanuel J. Shilatu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepiga 'hat trick' kwenye zao la Korosho katika mambo yaliyokuwa kero na vilio vya siku nyingi vya Wakulima.
I: PEMBEJEO
Rais Samia ametatua kilio cha Wakulima cha pembejeo ambapo Safari hii pembejeo zimeanza kufika kwa wakati.
Sio tu pembejeo kufika kwa wakati bali pia amefuta makato ya Tsh. 110 kwa kila kilogram moja ya Korosho na badala yake mkulima atalipa marejesho kwa idadi ya mifuko aliyochukua. Jambo hili limempunguzia mzigo mkubwa wa malipo Mkulima.
Hajaishia hapo, Rais Samia ameagiza taasisi za kifedha kutoa mikopo ya pembejeo kwa Wakulima na mikopo hiyo ianze kutolewa kwa wakati.
II: USAFIRISHAJI
Rais Samia ameagiza Korosho zote zinazozalishwa katika mikoa ya Ruvuma, Mtwara na Lindi zisafirishwe kupitia bandari ya Mtwara kwani Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika bandari hiyo kwa kuikarabati na kuipanua.
Kitendo hicho kitapunguza gharama na mzunguko mkubwa wa usafirishaji wa Korosho ambapo awali ilibidi wazisafirishe kwa malori mpaka bandari ya Dar es Salaam. Hapa kicheko na furaha kwa Wafanyabiashara na Wakulima, kila pande itaongeza faida ya zao hilo kutokana na kupungua kwa gharama za usafirishaji.
III: MKAKATI KUFUTA TOZO
Dhamira nyingine njema ya Rais Samia kwenye zao la Korosho ambapo ametoa maelekezo kwa viongozi wote wa bandari kupitia na kufuta tozo zote zinazowakwaza Wasafirishaji ili kuwavutia kutumia bandari ya Mtwara. Mwanzo mzuri kuondoa vikwazo vyote vitokanavyo na tozo kwenye zao la Korosho.
Mambo haya mazuri ya kuimarisha sekta ya kilimo yanayoanzwa kufanywa na Rais Samia, yamulike pia kwenye mazao yote mengineyo ili Watanzania waone umuhimu na kuongeza juhudi kwenye kilimo cha biashara ambacho kitasaidia kuongeza pato binafsi la Mkulima na pato la Taifa.
Shilatu, E.J
na kwa haraka tu barabara ya mzunguko imekufa iliyokuwa ibadili sura ya Dodoma
Endelea kuwaza kura zako ndio zinaamua chochote. KalaghabaoNdio ukweli, Lindi na Mtwara population ndogo huwezi linganisha na kanda ya Ziwa au Dsm au nyanda za juu.
Report ya BOT, mauzo ya korosho yameshuka kuliko kawaida, USD mil 159Mama yuko vizuri, anafanya kazi nzuri sana!