Rais Samia amepiga 'hat trick' kwenye Korosho

Mwendazake kwa umbumbumbu wake aliharibu mifumo ya biashara ya korosho huko kusini.
 
Kwa hiyo rais mwanamke kamshinda rais wakiume! Hopeless kabisa nyie wafuasi wa dikteta marehemu
 
na kwa haraka tu barabara ya mzunguko imekufa iliyokuwa ibadili sura ya Dodoma
nani amekwambia imekufa wakati mwezi jana watu wamelipwa pesa ili wapishe huo ujenzi ambao tayari umeshaanza. Acha kuongea vitu usivyovijua
 
Kwani bado kulipwa ? Mabomu yako wapi walipue korosho zibanguliwe bei ya serikali ??
 
Suala la korosho lilikuwa linahitaji akili sana kuliko maguvu

Mama anaendelea kuchukua point 3 ukilinganisha na mtangulizi wake.
 
Lipi jipya Hapo?
Je korosho ikisafirishwa kupitia mtwara ndio mkulima hatalipa gharama za usafirishaji?

Je ni wapi umeongelea Rais kupata Soko la uhakika la korosho ambayo ndio kero kubwa ya wakulima.
Hayo makato yote aliyoondoa ndio hayo aliyokuwa akiyakataa #JPM.
Ni makato yanayowanufaisha zaidi wabunge kina Nape kukopeshana fwedha za Bodi za mazao ya wakulima
 
Sio kwa style ya mtwara lakini
Wenye kangomba hawapori korosho, wala hawaibi korosho toka kwa wananchi. Wananchi huuza korosho kwa hiari yao kwa wenye kangomba ili wapate mahitaji yao ikiwamo fedha za pembejeo za korosho.

Kumbuka wananchi hawa hawana mjomba wa kuwapatia fedha za mahitaji hayo, maana ni dunia ya kibebari.
 
Mwaka huu bei ya korosho itakuwa nzuri,kumi tena kwa mama,nasema uongo ndugu zangu
 
π™½πšŠπš˜πš–πš‹πšŠ πšžπš’πš πšŽπš”πšŽ 𝚜𝚊𝚠𝚊 πšπšŠπšŠπš›πš’πšπšŠ πš’πšŠπš”πš˜ πš”πšžπš πšŠ πš‘πšŠπš™πš˜ πšŠπš πšŠπš•πš’ πš‘πšŠπš’πš”πšžπš πšŠ πš•πšŠπš£πš’πš–πšŠ πš”πšžπšœπšŠπšπš’πš›πš’πšœπš‘πš’πšŠ πš‹πšŠπš—πšπšŠπš›πš’ 𝚒𝚊 π™³π™°πš πš’πš•πšŠ πš πšŠπš—πšžπš—πšžπš£πš’ πš πšŽπš—πš’πšŽπš πšŽ πš πšŠπš•πš’πš”πšžπš πšŠ πš πšŠπš—πšŠπš πšŽπš£πšŠ πš”πšžπšŒπš‘πšŠπšπšžπšŠ πš πšŠπš™πš’ πš πšŠπšœπšŠπšπš’πš›πš’πšœπš‘πš’πšŽ πš–πš’πš£πš’πšπš˜ 𝚒𝚊𝚘 πš’πš•πšŠ 𝚒𝚎𝚒𝚎 πš‚π™°π™Όπ™Έπ™° πš”πšŠπš πšŽπš”πšŠ πšœπš‘πšŠπš›πšπš’ πš”πšžπš πšŠ πš•πšŠπš£πš’πš–πšŠ πš£πš’πšœπšŠπšπš’πš›πš’πšœπš‘πš’πšŽ π™Όπšƒπš†π™°πšπ™° π™Ώπ™Ύπšπšƒ πš—πšŠ πšœπš’ πš”πš πš’πš—πšπš’πš—πšŽ πš”πš˜πš”πš˜πšπšŽ πš’πš•πšŠ πš‹πšŠπš—πšπšŠπš›πš’ 𝚣𝚘𝚝𝚎 2 πš£πš’πš”πš’πšπšžπš–πš’πš”πšŠ πš”πšŠπš‹πš•πšŠ πš”πšžπšœπšŠπšπš’πš›πš’πšœπš‘πš’πšŠ πš”πš˜πš›πš˜πšœπš‘πš˜ πš’πšŠπšŠπš—πš’ 𝚒𝚊 π™Όπšπš πšŠπš›πšŠ πš—πšŠ 𝚒𝚊 π™³π™°πš.
 
Ndiyo. Ushirika wa nn ktk zama hizi za biashara mtandao (e-commerce)??
Mambo ya ushirika yamepitwa na wakati...PM anakazania SANA kukamilisha ilani, kwa kuhakikisha mazao analyzes kwenye ushirika kwa sababu eti kumlinda mkulima, ila ukija kuchunguza ni kuikusanyia serikali mapato, TRA, TARURA, VIPIMO, sijui mazingira e.t.c

Hatukatai tozo ila ka hakuna huduma zinaudhi.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kura za Lindi na Mtwara hazina madhara, ukitaka ushindi wowote lazima upate kanda ya Ziwa, Dsm, nyanda za juu na kanda ya Kati.
Wewe muongo,hata ukose kura Dar kanda ya ziwa na kanda ya kati ushindi utakuwa wako tu muhimu uwe na polisi na tume inayoongozwa na wachumia tumbo dizain ya kicheere!!!

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
 
Angekuwa. Mwendazake angepiga pambio nchi nzima huku vibwengo wake wakichagiza.

Mama anakimbiza mwizi kimya kimya katoa mil.500 za ujenzi wa barabara kwa kila jimbo via Tarura juu ya bajeti ya kawaida
 
Mnachekesha sana watu mnaosapoti ushirika kufutwa! Mnatumia shida za watu kuwakandamiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…