Rais Samia amepiga 'hat trick' kwenye Korosho

nani amekwambia imekufa wakati mwezi jana watu wamelipwa pesa ili wapishe huo ujenzi ambao tayari umeshaanza. Acha kuongea vitu usivyovijua
saamahani boss wangu nimekoma mimi!
 
Enzi hizo alipokuwa anaupiga mwingi, sasa hivi anabutuabutua tu.

serikali yake imejaa uonevu mkubwa dhidi ya upinzani na wapinzani nchini.
Haheshimu katibu na kiaoo chake kwenye suala la haki za kisiasa nchini
 
"Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them in the first place".
 
Dhamira njema ya Mama italikomboa taifa, tofauti na mwendazake alitanguliza mitazamo yake sahihi ama vinginevyo hivyo wataalamu na watendaji kupata wakati mgumu kutekeleza inline na mitazamo ya mtawala.
Bro, ukimsifu mama si lazima ufananishe na utawala wa jiwe, hio itatuaminisha kuwa jiwe ameweka viwango vya kutumika Kama reference ktk utawala
Naomba nikukumbushe kuwa jiwe ndiye aliyekomboa korosho. Enzi hizo tulikuwa tunauziana bukubuku, na Mara alipoingia jiwe Bei ikapaa Hadi 4000, wanakusini tunakumbuka Hilo.
Malalamiko makubwa yakaibuka kutoka kwa wafanya biashara ambao walikuwa wananufaika hapo awali
Mama anaendeleza kuboresha tu kwa kutatua kero ndogondogo zilizopo, na hatazimaliza, na hata utawala ujao wataendeleza
Basi sema yeye ni Bora kuliko Marais wote maana anachofanya hawakufanya
 
1. Pembejeo-amekuta mipango hiyo tayari ilikuwa iko kwenye utekelezaji hivyo ni uongo kudai kafanikisha yeye wakati katekeleza mpango uliokuwepo. Makampuni kadhaa ya uzalishaji na usambazaji mbolea na dawa tayari zilikuwa zimeshaanza kuandaa maghala Mtwara mjini, Tunduru na Nachingwea kwa hiyo madai yako sio sahihi
2.Usafirishaji-uwekezaji wa bandari ulishakamilishwa na mtangilizi wake sio yeye kuhusu usafirishaji wa maji na barabara hizo zote zilikuwa tayari zimeshakamilika yeye anatekelezaji kilichokuwemo kwenye mipango hakuna jipya
3.TOZO miamala-hakuna cha maana kilichofanyika kupunguza au kuondosha kabisa na kuhamishia kwingine upatikanaji wa mapato pasipo kuumiza wananchi. Kutuma laki moja makato ni karibu gharama ya shili elfu tatu; wakati mpokeaji anakatwa shilingi 5,500-6,000/- hapo nafuu iko wapi?
3.
 
Mama yuko vizuri, anafanya kazi nzuri sana!
Report ya BOT, mauzo ya korosho yameshuka kuliko kawaida, USD mil 159
Sasa nikisoma hii post na hizi replies noana shida kwa hawa chawa wa CCM.
Kuna kipindi wakasema kampuni ya marekani itanunua korosho zote. Sijui nn kimetokea
Ila wakulima bongo watakuwa wanachezeshwa kila ngoma na wanasiasa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…