Pre GE2025 Rais Samia amepunguza vifo vitokanavyo na UKIMWI - Waziri Ummy

Pre GE2025 Rais Samia amepunguza vifo vitokanavyo na UKIMWI - Waziri Ummy

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo Samia kafanya mambo gani ambayo wengine hawakufanya?
 
Katika Hotuba yake Bungeni, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara yake, amezungumza mambo mengi mazuri sana na ya kueleweka.

Isipokuwa mimi labda kutokana na uchovu wa mwili , sijaelewa kwenye jambo hili , naomba Aliyeelewa anieleweshe

View attachment 2989434

Natanguliza Shukrani
Ummy, mbona unaniangusha?
 
Kuna mwaka wazungu waliahidi dawa ya UKIMWI itakuwa imepatikana kufikia 2030.

Hisia zangu;
Virus vya UKIMWI vimepungua nguvu kadri miaka inavyozidi kwenda.

Wazungu wanaweza kuja kulipua gonjwa lingine kali baada ya UKIMWI kukosa dili!

Leo hii watu wanapigana mashine sana tofauti na zamani lakini UKIMWI umepungua nguvu sana
Viral attenuation..sema polepole wazungu wakisikia wataleta balaa jingine..
 
Katika Hotuba yake Bungeni, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara yake, amezungumza mambo mengi mazuri sana na ya kueleweka.

Isipokuwa mimi labda kutokana na uchovu wa mwili , sijaelewa kwenye jambo hili , naomba Aliyeelewa anieleweshe

View attachment 2989434

Natanguliza Shukrani
Kwa hiyo akitoka madarakani vifo vitapanda. Ummy , uchawa wako umezidi.
 
Back
Top Bottom