Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ummy, mbona unaniangusha?Katika Hotuba yake Bungeni, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara yake, amezungumza mambo mengi mazuri sana na ya kueleweka.
Isipokuwa mimi labda kutokana na uchovu wa mwili , sijaelewa kwenye jambo hili , naomba Aliyeelewa anieleweshe
View attachment 2989434
Natanguliza Shukrani
Viral attenuation..sema polepole wazungu wakisikia wataleta balaa jingine..Kuna mwaka wazungu waliahidi dawa ya UKIMWI itakuwa imepatikana kufikia 2030.
Hisia zangu;
Virus vya UKIMWI vimepungua nguvu kadri miaka inavyozidi kwenda.
Wazungu wanaweza kuja kulipua gonjwa lingine kali baada ya UKIMWI kukosa dili!
Leo hii watu wanapigana mashine sana tofauti na zamani lakini UKIMWI umepungua nguvu sana
Kwa hiyo akitoka madarakani vifo vitapanda. Ummy , uchawa wako umezidi.Katika Hotuba yake Bungeni, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara yake, amezungumza mambo mengi mazuri sana na ya kueleweka.
Isipokuwa mimi labda kutokana na uchovu wa mwili , sijaelewa kwenye jambo hili , naomba Aliyeelewa anieleweshe
View attachment 2989434
Natanguliza Shukrani
Hapana, anawavalisha watu ndom wakati wa kuzagamuana!!!.Kumbe ni mganga