Rais Samia amerejesha uendeshaji shughuli za Serikali kwa uwazi

Rais Samia amerejesha uendeshaji shughuli za Serikali kwa uwazi

Hii ni habari njema sana kwa Watanzania wote.

Uongozi wa Rais Samia Suluhu ni uongozi ambao Watanzania wengi tulitamani kuwa nao, ni uongozi tuliokuwa tunauota kwa zaidi ya miaka 5. Tulitamani sana kuwa na uongozi unaofanya shughuli zote kwa uwazi lakini haikuwezekana kwa zaidi ya miaka 5, sijui serikali ilikuwa inaficha maovu gani.

Lakini sasa tupo katika uongozii wenye neema, Tanzania inarudi katika Mpango wa Uendeshaji Serikali kwa Uwazi (Open Government Partnership) baada ya kujitoa mwaka 2017.

Rais Samia Suluhu ni mfano mzuri wa kiongozi bora na sasa amefanikiwa kuimarisha Demokrasia, haki za binadamu na utawala bora.




View attachment 2578622
Democrasia ndio nn umeme tu umewashinda Hali ngumu tunakula siasa ss tunataka huduma Bora
 
Unaongelea maamuzi gani hii serikali sio ya kukurupuka mzee lazima ifuate sheria na katiba ya nchi inavyosema lakini kila mwenye kosa lazima awajibishwe kulingana na sheria hii serikali haikumbatii uozo
IMG_20230406_222924.jpg

Asante kwa kutuletea Maharage na February
 
Na majizi ya pesa za umma ndio yametamalaki !! Na ndio yanayomuharibia maana ni sawasawa na kujitahidi kujaza maji ndoo yenye matundu matundu !!
Tulia uone Rais Samia Suluhu anavyorebisha nchi mzee
 
Democrasia ndio nn umeme tu umewashinda Hali ngumu tunakula siasa ss tunataka huduma Bora
Huduma bora zinapatikana kila sehemu sijui unaishi wapi ambako hakuna huduma ya Maji ya uhakika, umeme, Shule miundombinu pamoja na mikopo yenye masharti nafuu
 
Kweli upigaji+uwizi uko kwa uwazi

Ova
 
Hii ni habari njema sana kwa Watanzania wote.

Uongozi wa Rais Samia Suluhu ni uongozi ambao Watanzania wengi tulitamani kuwa nao, ni uongozi tuliokuwa tunauota kwa zaidi ya miaka 5. Tulitamani sana kuwa na uongozi unaofanya shughuli zote kwa uwazi lakini haikuwezekana kwa zaidi ya miaka 5, sijui serikali ilikuwa inaficha maovu gani.

Lakini sasa tupo katika uongozii wenye neema, Tanzania inarudi katika Mpango wa Uendeshaji Serikali kwa Uwazi (Open Government Partnership) baada ya kujitoa mwaka 2017.

Rais Samia Suluhu ni mfano mzuri wa kiongozi bora na sasa amefanikiwa kuimarisha Demokrasia, haki za binadamu na utawala bora.




View attachment 2578622
Ni kweli uendeshaji serikali kwa uwazi wa WIZI wa kufuru bila woga na dhuluma bila kuchukuliwa hatua kali za kisheria
 
Kweli upigaji+uwizi uko kwa uwazi

Ova
Bila kuwa na uwazi ungejuaje kama kuna wizi na Rais Samia Suluhu ameruhusu uwazi ili awashughulikie kwa uwazi pia kwahiyo tusubiri sheria ichukue mkondo wake
 
Bila kuwa na uwazi ungejuaje kama kuna wizi na Rais Samia Suluhu ameruhusu uwazi ili awashughulikie kwa uwazi pia kwahiyo tusubiri sheria ichukue mkondo wake
Huko kwenye sheria ndiko hasa hiyo mijizi huwa inatafuta zile loopholes inazifanyia kazi kisha wakishajiridhisha kwamba njia ya kukwepea ipo ndipo wanapofanya hizo deals za kupiga pesa ! Wao sio wajinga wakurupuke tu bila kufahamu watakwepaje mkono wa sheria !!
 
Thread Ya Chawa Wa Mama Aliyeshiba Damu Tele,Anacheua
 
Bila kuwa na uwazi ungejuaje kama kuna wizi na Rais Samia Suluhu ameruhusu uwazi ili awashughulikie kwa uwazi pia kwahiyo tusubiri sheria ichukue mkondo wake
Siku zote upigaji unajulikana na kubumbuluka mzee
Tushauzoea

Ova
 
Hii ni habari njema sana kwa Watanzania wote.

Uongozi wa Rais Samia Suluhu ni uongozi ambao Watanzania wengi tulitamani kuwa nao, ni uongozi tuliokuwa tunauota kwa zaidi ya miaka 5. Tulitamani sana kuwa na uongozi unaofanya shughuli zote kwa uwazi lakini haikuwezekana kwa zaidi ya miaka 5, sijui serikali ilikuwa inaficha maovu gani.

Lakini sasa tupo katika uongozii wenye neema, Tanzania inarudi katika Mpango wa Uendeshaji Serikali kwa Uwazi (Open Government Partnership) baada ya kujitoa mwaka 2017.

Rais Samia Suluhu ni mfano mzuri wa kiongozi bora na sasa amefanikiwa kuimarisha Demokrasia, haki za binadamu na utawala bora.




View attachment 2578622

Watu wa Aina yako ndio mnafanya tuibiwe kila siku, watu wa Aina yako ndio mnafanya viongozi wezi wajifiche kwe mawazo yenu

Tunaibiwa kila siku then mtu anakuja kusifia uwazi wa serikali eeh ww serikali ikiwa wazi inakusaidia nini?
 
Unaongelea maamuzi gani hii serikali sio ya kukurupuka mzee lazima ifuate sheria na katiba ya nchi inavyosema lakini kila mwenye kosa lazima awajibishwe kulingana na sheria hii serikali haikumbatii uozo

2yrs Nani kawajibishwa? Ela zimeibiwa kila mtu anashangaa

Tuliowapa serikali wanashangaa na wanainchi wanashangaa

Mkurugenzi aliiba lushoto now Yuko mkoa mwingine nako ameiba na bado yupo
 
Back
Top Bottom