Rais Samia amerithi nchi iliyofilisika kifedha na kiuchumi

Sukuma Gang bwana, Mbona mnaweweseka wakati hesabu rahisi tu

1+1=2

Fisadi wakati Yeye ndio anazalisha bidhaa nchi nzima

Kwa hiyo Mo Dewji na Bakhresa ni mafisadi

Mbona kila siku mnakula na mnatumia bidhaa za Mo na Bakhresa

Sasa ukiwaumiza hao na wakaamua kwenda kuwekeza nchi nyingine utaajiri wewe watu wote
 
Huyu Rais,hakika hadi kufika 2025,ataingiwa hadi uoga kuiendesha nchi,yaani kwanza suala la kuruhusu upigaji kwa maneno ya 'kuleni kwa urefu wa kamba zenu' aisee watu kwenye vitengo mbalimbali,wameona kama wamechelewa kujikusanyia,ni mwendo wa kupiga tu,hadi ashangae,vilevile tena anakuja anatamka eti NATAKA WATU WAWE NA NIDHAMU YA KUTOKA MIOYONI,aisee hajui necha yetu nini....?
Yaani itapigwa hii nchi,tozo zitakusanywa za Kila aina,hela zitakua zinapita kwa walewale,hataziona.
Tutakuja kuhadithia watoto wetu endapo tutaendelea kua hai,utofauti wa JPM,JK,na MAMA,ngoja nchi iliwe na waliobahatika kushika vitengo awamu hii.
 
Hata uandikie wino wa dhahabu bado wewe na wenzako mnamuangusha mama na Taifa kwa ujumla
 
Sukuma Gang

Ahaaa nilijua tu mtajitokeza hapa
Pinga hoja kwa hoja

Kwi kwi kwi

Jiwe limetupwa gizani ukisikia paaa limewapata Sukuma Gang
Suku gang ndio nini hiyo wajameni..sikuelewi. kwahiyo uliandika kutest upepo dada..hatudanganyiki...na hatudanganyikk sabb gani mama yetu alisema wazi kuwa yeye na JPM ni kitu kimoja..wazi kabisa..hivi leo mbona unataka umchafue Rais wetu mama ambaye ndie kabaki..usitake kuchafua viongozi wetu wacha wapige kazi kuwaletea wananchi maendeleo..kama kazi zimewashinda TZ nendeni Burundi hamsikii
 
Hili Andiko indirect linaweza mchafua Rais mama yetu..silipendi
 
Asante kwa kujaribu kuelewesha awa vichwa vya kambale havikolei viungo[emoji23][emoji23]
 
Sukuma Gang on Cone at the top
Just pay government Levy(LIPA TOZO YA SERIKALI)
 
Kwani yeye alikua nani na alikua wapi kipindi cha magufuli
 
Wewe mkund na huo uchawa wako wa kipumbavu usituletee hapa! Huyo bibiako hajui hata anachofanya mambo yako shagalabaghala!
Hata ukimtukana , ila huo ndio ukweli, mpoli poli ametuachia dhahama!!yaani fedha ya kujenga miradi mikubwa kama SGR, Bwawa la umeme utegemee pesa za kukopa kutoka kwenye mabenki yenye mikopo ya kibiashara?!!sasa riba zake zime tayari zinatakiwa kulipwa wakati mradi ndio kwanza hata kuanza bado, hizo pesa unategemea zinatoka wapi?!!mama ana mapungufu yake lakini lazima hali hii imkute tu,
MUNGU FUNDI SANA.
 
Ilifikosika ndio ila kwa sasa iko vizuri ndio maana unaona ajira hazikatiki,mafuriko ya miradi kila sehemu na mapato yakiongezeka.
 
Tatizo lako una leta ushabiki wa mpira kwenye mambo ya msingi!!uchumi ni sayari haudanganyi!!eti jiwe ameacha nchi ikiwa yenye uchumi uliotulia!!!miradi yote alitumia pesa ya kukopa ndio maaana amekopa kuliko rais yoyote yule kwa awamu moja(miaka5)yaani karibu trilioni 20!!kwa miaka mitano tu!!!halafu anawadanganya watu eti ni pesa zetu!!ajira zilisimama, wazabuni hoi,
MUNGU FUNDI
 
Sasa ndio naanza kuelewa kuwa yote haya yanaletwa na CCM ni kwa nini walimkabidhi Nchi Mtu mgonjwa wa Moyo na Akili?.
 
Kwani yeye alikua nani na alikua wapi kipindi cha magufuli
Nakwambia Hawa makanjanja hawana Nia nzuri na mama yetu..sibariki ushenzi huu wa Aina Ile ya maneno..sio nzuri kwa afya ya chama na Serikali. Mwenye upeo mdogo anaweza ona sifa lakini..mmhhh tunajipalia mkaa
 
Reactions: Ame
Kitu kimoja ambacho hamjui jomba mnapo kashifu JPM mnakaahifu na chama indirectly..Sasa hantambui chama hichohicho ndicho mama anaongoza..hamuoni hatari ya mbeleni..kweli...??
 
Magufuli Alisha Pumzika Muacheni
Pambaneni Na halizenu
Mambo ya Magufuli magufuli Hayawasaidii watanzania
 
Uwe unaficha ujinga wako...Bi Mkubwa kakopa Tirioni 10 ndani ya mwaka mmoja, mbona hili hulisemei? Huoni kwa rate hii mama atamchukua mama miama miwili mpaka mitatu kuvunja record ya Mtangulizi wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…