Rais Samia amerithi nchi iliyofilisika kifedha na kiuchumi


We nawe ni zuzu.raisi kikwete hata kama kulikuwa na ufisadi katika utawala wake lakini kila mtu alikuwa anapata pesa as long as unajidhughulisha..ila Jpm alipoingia tu mambo yalibadilika sana biashara nyingi zilifungwa kwa kukosa wateja.kiukweli mama tunamlaumu bure ila nchi kaikuta haina pesa..usimlimganishe kikwete na raisi yeyote katika uchumi wa mtu mmojammoja.sisi wengine hatujawahi kuajiliwa tangu 2000..so tunajua kila kitu kuhusu maisha magumu ya awamu ya Mkapa,kikwete,magufuli na mama Samia.kikwete alikuwa ni the best president
 
Mama yako nchi ishamshinda hii mnakuja na excuse ya rais aliyepita ili kubariki udhaifu wenu, pumbavu kabisaaa.
Wewe ndo mpumbavu kwa Nini usidadavue kwa hoja Kama mleta mada? Unakuja na vijimaneno viwili vitatu halafu unatukana.
 
Wewe mkund na huo uchawa wako wa kipumbavu usituletee hapa! Huyo bibiako hajui hata anachofanya mambo yako shagalabaghala!
Acha kuwatafutia ban kwa nguvu watu! Ila kwa kupanic huko...amepiga kwenye mshono
 
Nyie wapuuzi mnaopewa visent msambaze propaganda za ki**ng mnakera Sana. Mnaleta uchawa na watu wanateseka Mtaani.
Unateseka peke yako bwashee usitusemee wengine!! Sisi tulijua tu tangu lini Tanzania ikawa dona cantre?😀😀 Tulijua Kuna siku zamu ya kuishi Kama mashetani itatufikia na sisi...kwa hiyo tulia dawa iingie
 
Yaani sitasahau sekta ya kilimo alivyoivuruga bwana yule! Unatumia 2.5m kwa kilimo unakuja kuuza less than 1m dah sitasahau..pembejeo juu, mbolea juu halafu unapangiwa Bei ya kuuza! Halafu wale wa ntwara koro show iliishia wapi?
 



kupitia MIKOPO ,Shirika la Ndege na Ndege zikaonekana.... SGR, JNHEPP, Sengerema Sasa imeunganishwa na Barabara .


KWA UFUPI, NI TAHIRA TU KAMA WEWE AMBAYE HUONI KILICHOFANYWA NA JPM.



Haya niambie, zaidi ya kuruhusu Upigaji, nakusifia Ndoa za wanaume walooa wake wengi wengi kama yeye kua mtara,. Na kuchochea Mimba za wanafunzi .


Kipi amekifanya Kwa MaTrilioni ya Pesa alizokopa Mama yenu ??.
 
Hiyo miradi yote aliiacha chini ya 30% huku ikiwa haina financing plan yoyote maana biashara alishaua.
 
Kila kitu utaskia
Hili nalo nawaachieni mkalitizame

Wapigaji lazima wapate gape tu maana nchi iko autopilot mwenye maamuzi hajui afanye nini
 
Naunga mkono hoja yako, lakini mama angetafuta njia nzuri kama kubana matumiz kuliko haya anayofanya sasa
 
Mwandishi kaandika andiko reeeefu, kumbe andiko lake lote hakujua kuwa ni upumbavu mtupu,

Umeandika bila hata data ya kuthibitisha unachodai.?

Pumbavu, unaandika nini hicho?

Thibitisha basi angalau tukuone wa maana!

Hivi unakumbuka Gavana wa BoT alisema kuwa kwamba, JPM alikuwa ameacha fedha za kigeni zenye uwezo wa kuilisha nchi miazi mitano bila kodi mpya?

Kama sio mlamba asali, basis wewe ni waleeee, vyeti feki na mpumbavu
 
Halafu nyie michawa mimi naanza kuwachukia sasa. Mnakuja hapa na mipost ya kijinga kijinga kumchonganisha mheshimiwa Rais na wananchi kwa kutaka mjipatie sifa za kijingajinga tu.
Eti Kikwete aliacha nchi ikiwa na fedha; ujinga mtupu. Huyo kikwete wako aliacha nchi ikiwa kwenye dimbwi la kila uovu: ufisadi, rushwa, uzembe, madawa ya kulevya, nk. Aliacha hazina hakuna fedha ya kutumia hata kwa mwezi mmoja, halafu unakuja na post za kipuuzi za kumtetea!
Mwacheni rais afanye kazi, matokeo ya kazi yake wananchi tutayaona. Acheni kumchonganisha na wananchi.
 
Exactly, magufuli aliharibu uchumi wa Nchi kwa 100%
 
Magufuli aliharibu uchumi wa Nchi
 
Watoto wa Singeli mngeenda tu kutwirk hivyo vimatacore vyetu huko!Nyuzi zenye kutumia akili na tafakari ya hali ya juu sana hamziwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…