Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna wa Petroli na Gesi - Wizara ya Nishati (Michael Songora Mjinja)

Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna wa Petroli na Gesi - Wizara ya Nishati (Michael Songora Mjinja)

tuanze kwa kujiuliza alirudije hapo baada ya kuwekwa benchi muda mrefu?
Hawa ni mapandikizi ya Makamba Jr kama yule Maharagwe aliyefanyiwa usaili na Makamba mwenyewe akitokea DSTV ya Afrika Kusini. Watu kama hawa hawawezi kuendana na waziri wa sasa wa nishati ambaye dhamira yake ni kuona bei ya nishati ikiwemo nishati ya umeme inateremka hadi kuwa sawa na ile ya China na nchi za ulaya.
 
Hawa ni mapandikizi ya Makamba Jr kama yule Maharagwe aliyefanyiwa usaili na Makamba mwenyewe akitokea DSTV ya Afrika Kusini. Watu kama hawa hawawezi kuendana na waziri wa sasa wa nishati ambaye dhamira yake ni kuona bei ya nishati ikiwemo nishati ya umeme inateremka hadi kuwa sawa na ile ya China na nchi za ulaya.
Hii nchi sijui nani kairoga? Huyu kijana Goodluck Antipas Shirima mteuliwa mpya Kamishna wa Petrol ni pandikizi la GSM n.k kuweza ku- influence issue za Petrol ndio maana bei hazishuki hapo Mtandao umemuweka kimkakati.kwa mbali naona enzi za Msoga zinarudi,Mungu tusaidie Bora hizi nafasi zingekuwa zinapatikana Kwa ushindank kama Kwa majirani zetu Kenya
 
EACOP EAST AFRICAN CRUDE OIL PIPELINE - DEBT ELEMENT SINOSURE


View: https://m.youtube.com/watch?v=zhrP5jiEVjk

The uncertainties surrounding SINOSURE's commitment to fund EACOP, citing delays in the decision-making process and concerns related to environmental activism, climate pressure, and internal processes.
 
Back
Top Bottom