Elius W Ndabila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2019
- 324
- 649
Leo Rais ametunyoshea mkono vijana kwa kuwa hatueleweki. Hatuna mipango. Amesema kuwa Vijana wamekuwa wabeba maono/ Mabegi wa watu. Hatuna dira kama Vijana hata sera ya tangu 2007 haina maboresho yoyote.
Nikiri kuwa Mimi ni sehemu ya tulioshiriki kuandaa rasimu ya Vijana ambayo sasa ni miaka 6 sijaona kinachoendelea. Sijui walikwama wapi.
Mhe Rais anajaribu kutufungua macho na ufahamu, lakini sina uhakika kama Watu wanamuelewa.
Leo sitaki kuongea mengi, ila ninataka kumaliza kwa kusema UVCCM hotuba hii ni yetu hasa viongozi kwa asilimia mia Moja. Nyie ndiye wenye kundi kubwa la Vijana, lakini bado hamjasidia Rais na Serikali katika kupambana na changamoto.
UVCCM bado hatujafanya KAZI ile ambayo mama anaitaka. Tupunguze kusifia Wabunge na Mawaziri. Tufanye KAZI ya kutafuta majibu na majawabu ya changamoto za Vijana na nchi kwa ujumla.
Nikiri kuwa Mimi ni sehemu ya tulioshiriki kuandaa rasimu ya Vijana ambayo sasa ni miaka 6 sijaona kinachoendelea. Sijui walikwama wapi.
Mhe Rais anajaribu kutufungua macho na ufahamu, lakini sina uhakika kama Watu wanamuelewa.
Leo sitaki kuongea mengi, ila ninataka kumaliza kwa kusema UVCCM hotuba hii ni yetu hasa viongozi kwa asilimia mia Moja. Nyie ndiye wenye kundi kubwa la Vijana, lakini bado hamjasidia Rais na Serikali katika kupambana na changamoto.
UVCCM bado hatujafanya KAZI ile ambayo mama anaitaka. Tupunguze kusifia Wabunge na Mawaziri. Tufanye KAZI ya kutafuta majibu na majawabu ya changamoto za Vijana na nchi kwa ujumla.