Rais Samia amewasili salama nchini Ufaransa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia

Rais Samia amewasili salama nchini Ufaransa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhili kwa kumsafirisha na kumfikisha Salama Nchini Ufaransa Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Ambapo katika mkutano huo Rais wetu ataongoza kama Mwenyekiti Mwenza ,heshima ambayo Tanzania tumepewa kutokana na kutambua mchango mkubwa na juhudi za kipekee za Rais wetu mpendwa katika kuhakikisha kuwa Dunia inajielekeza katika matumizi ya nishati safi ya kupikia na kuachana na matumizi ya kuni na mkaa .

Ambayo yamekuwa na athari kubwa kiafya na kusababisha vifo kila mwaka hususani kwa wanawake ambao wamekuwa wahanga na waathirika wakubwa sana wa athari zitokanazo na matumizi ya kuni na mkaa. Rais wetu mpendwa kama Mama na anayetambua athari hizo amekuwa msitari wa mbele kabisa kuiamsha Dunia na kumuokoa Mwanamke na athari hizo.

Kwa kuyataka mataifa yaliyoendelea na taasisi za kifedha kutoa fedha za kutosha katika kufanikisha na kuwekeza katika suala la matumizi ya nishati safi ya kupikia,pamoja na kutunga sera na sheria zitakazo chochea matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Tuendelee kumuombea afya njema Rais wetu wakati wote atakapokuwa huko mkutanoni. Mkono na uso wa Mungu uwe pamoja naye na aendelee kumpatia kibali na Neema wakati wote.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

IMG-20240513-WA0012.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhili kwa kumsafirisha na kumfikisha Salama Nchini Ufaransa Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Ambapo katika mkutano huo Rais wetu ataongoza kama Mwenyekiti Mwenza ,heshima ambayo Tanzania tumepewa kutokana na kutambua mchango mkubwa na juhudi za kipekee za Rais wetu mpendwa katika kuhakikisha kuwa Dunia inajielekeza katika matumizi ya nishati safi ya kupikia na kuachana na matumizi ya kuni na mkaa .

Ambayo yamekuwa na athari kubwa kiafya na kusababisha vifo kila mwaka hususani kwa wanawake ambao wamekuwa wahanga na waathirika wakubwa sana wa athari zitokanazo na matumizi ya kuni na mkaa. Rais wetu mpendwa kama Mama na anayetambua athari hizo amekuwa msitari wa mbele kabisa kuiamsha Dunia na kumuokoa Mwanamke na athari hizo.

Kwa kuyataka mataifa yaliyoendelea na taasisi za kifedha kutoa fedha za kutosha katika kufanikisha na kuwekeza katika suala la matumizi ya nishati safi ya kupikia,pamoja na kutunga sera na sheria zitakazo chochea matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Tuendelee kumuombea afya njema Rais wetu wakati wote atakapokuwa huko mkutanoni. Mkono na uso wa Mungu uwe pamoja naye na aendelee kumpatia kibali na Neema wakati wote.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

kila la kheri madame President Dr. Samia Suluhu Hassan

Daima tunakuombea....
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mkutano wa kilele wa Upikaji Safi Barani Afrika
Paris, France

14 Mei 2024 11:35—12:30. Mkutano wa kilele wa Upikaji Safi Barani Afrika - Kuhamasisha Ahadi Kubwa Zaidi ya Kuendeleza Ajenda ya Kimataifa ya Upikaji Safi. Mkutano....

Source : Mkutano wa kilele wa Upikaji Safi Barani Afrika
IEA – International Energy Agency › matukio
Matukio - IEA
 
Matukio muhimu ya Kilele cha Kuchagiza Mazingira ya Upishi Safi

Tazama vipindi kwa kufuatilia link za matukio​

Maelezo ya usuli​

IEA inawaita viongozi wa kimataifa kwa ajili ya Mkutano wa Kilele kuhusu Upikaji Safi barani Afrika ili kufanya 2024 kuwa hatua ya mabadiliko ya maendeleo katika kuhakikisha upatikanaji wa kupikia safi kwa wote.

Leo, karibu Waafrika wanne kati ya watano bado wanapika milo yao kwa moto na majiko ya kitamaduni, kwa kutumia kuni, mkaa, kinyesi cha wanyama , na nishati nyinginezo zinazochafua mazingira. Hii ina madhara makubwa kwa afya, usawa wa kijinsia na mazingira, huku wanawake na watoto wakiwa na matokeo mabaya zaidi.

IEA ilikuwa wakala wa kwanza wa kimataifa kuanza kufuatilia ufikiaji wa nishati zaidi ya miongo miwili iliyopita na imekuwa sauti thabiti inayotetea ufikiaji wa kupikia safi tangu wakati huo.

Mkutano huo utaongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. Samia Suluhu Hassan , Waziri Mkuu wa Norway Mheshimiwa Jonas Gahr Støre , Rais wa Kundi la Benki ya Maendeleo ya Afrika Dk. Akinwumi A. Adesina na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kimataifa la Nishati Dk. Fatih Birol .

Utafanyika tarehe 14 Mei 2024 katika makao makuu ya UNESCO huko Paris.
Kutatua suala hili kunahitaji dhamira ya kihistoria, ambayo itakuwa miongoni mwa vitega uchumi vyenye matokeo makubwa katika mustakabali wa Afrika na dunia kuwa upishi katika mazingira yasiyochafua hali hewa ya dunia .
Kuhudhuria tukio hili ni kwa mwaliko pekee
 
Inafuatia maazimio yaliyo kubaliwa na Africa@COP28:

Summit on Clean Cooking in Africa - Make 2024 a Turning Point for Clean Cooking​



View: https://m.youtube.com/watch?v=tStxvAHfmIk
Africa@COP28: IEA Clean Cooking Alliance AfDB & AUC- Call for Action- Universal Clean Cooking Access
Source : AfDBGroup
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhili kwa kumsafirisha na kumfikisha Salama Nchini Ufaransa Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Ambapo katika mkutano huo Rais wetu ataongoza kama Mwenyekiti Mwenza ,heshima ambayo Tanzania tumepewa kutokana na kutambua mchango mkubwa na juhudi za kipekee za Rais wetu mpendwa katika kuhakikisha kuwa Dunia inajielekeza katika matumizi ya nishati safi ya kupikia na kuachana na matumizi ya kuni na mkaa .

Ambayo yamekuwa na athari kubwa kiafya na kusababisha vifo kila mwaka hususani kwa wanawake ambao wamekuwa wahanga na waathirika wakubwa sana wa athari zitokanazo na matumizi ya kuni na mkaa. Rais wetu mpendwa kama Mama na anayetambua athari hizo amekuwa msitari wa mbele kabisa kuiamsha Dunia na kumuokoa Mwanamke na athari hizo.

Kwa kuyataka mataifa yaliyoendelea na taasisi za kifedha kutoa fedha za kutosha katika kufanikisha na kuwekeza katika suala la matumizi ya nishati safi ya kupikia,pamoja na kutunga sera na sheria zitakazo chochea matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Tuendelee kumuombea afya njema Rais wetu wakati wote atakapokuwa huko mkutanoni. Mkono na uso wa Mungu uwe pamoja naye na aendelee kumpatia kibali na Neema wakati wote.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Wakati wao tayari wana hiyo nishati miaka mingi sisi ndio tunaanza kuliongelea. Tutaendelea kuwa wasindikizi tuuh!!
 
Umeme unaofikia majiko ya nyumba nyingi katika nchi zilizoendelea hutokana na vyanzo vya nishati ya vinu vya nuklia, gesi na makaa ya mawe ambayo hutumika kuzalisha umeme na kuchoma gesi.

Mkurugenzi Mkuu wa IAEA Rafael Mariano Grossi alivyoandika katika op-ed yake ya hivi majuzi ya Kongamano la Kiuchumi la Dunia huko Davos Uswisi: " Nyuklia ni nishati mojawapo ya salama zaidi, safi zaidi, zilizo na uchafuzi mdogo wa mazingira na - katika maisha marefu ya kuuendesha ikiwemo kuukarabati ,mtambo wa nyuklia - kimahesabu ni moja ya vyanzo vya bei nafuu vya kuzalisha nishati kulinganisha na vyazo vingine vya uzalishaji nishati ya umeme .”25 Januari 2024
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhili kwa kumsafirisha na kumfikisha Salama Nchini Ufaransa Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Ambapo katika mkutano huo Rais wetu ataongoza kama Mwenyekiti Mwenza ,heshima ambayo Tanzania tumepewa kutokana na kutambua mchango mkubwa na juhudi za kipekee za Rais wetu mpendwa katika kuhakikisha kuwa Dunia inajielekeza katika matumizi ya nishati safi ya kupikia na kuachana na matumizi ya kuni na mkaa .

Ambayo yamekuwa na athari kubwa kiafya na kusababisha vifo kila mwaka hususani kwa wanawake ambao wamekuwa wahanga na waathirika wakubwa sana wa athari zitokanazo na matumizi ya kuni na mkaa. Rais wetu mpendwa kama Mama na anayetambua athari hizo amekuwa msitari wa mbele kabisa kuiamsha Dunia na kumuokoa Mwanamke na athari hizo.

Kwa kuyataka mataifa yaliyoendelea na taasisi za kifedha kutoa fedha za kutosha katika kufanikisha na kuwekeza katika suala la matumizi ya nishati safi ya kupikia,pamoja na kutunga sera na sheria zitakazo chochea matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Tuendelee kumuombea afya njema Rais wetu wakati wote atakapokuwa huko mkutanoni. Mkono na uso wa Mungu uwe pamoja naye na aendelee kumpatia kibali na Neema wakati wote.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

So what?
 
Ujumbe mzito ulioandamana na mheshimiwa rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano huu wa kihistoria wa

Summit on Clean Cooking in Africa - Make 2024 a Turning Point for Clean Cooking​

Ni pamoja na
  • January Makamba, Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation, United Republic of Tanzania
  • Selemani Jafo, Minister of State, Vice President’s Office, United Republic of Tanzania
  • Judith Kapinga, Deputy Minister for Energy, United Republic of Tanzania
Non-government (companies, international organisations and civil society)

  • Rostam Aziz, Chairman, Taifa Group
  • Raphael Maganga, Chief Executive Officer, Tanzania Private Sector Foundation
  • Abdulmajid Mussa Nsekela, Chief Executive Officer and Managing Director, CRDB Bank PLC
 
Back
Top Bottom