Rais Samia amewatuma Mabalozi wakaulize wenzetu wamefanya uchawi gani kukua haraka kiuchumi

Rais Samia amewatuma Mabalozi wakaulize wenzetu wamefanya uchawi gani kukua haraka kiuchumi

“Mtuambie wenzetu wamefanya uchawi gani kukua kiuchumi,na sisi tunakosa nini, tuna rasilimali hatuzitumii? au kitu gani, ila niseme ni wazi wenzetu wamepiga hatua kubwa sana licha ya kuwa sisi tumewazidi kwenye rasilimali diplomasia ya uchumi ifanye kazi hapa, tujiulize tuliachwa wapi?” - Rais SuluhuSamiaView attachment 2718932

Haiwezekani tuna kiongozi mkubwa wa nchi bado anaamini masuala ya giza katika kupata maendeleo makubwa ya kiuchumi , it look like hana a,b, c yoyote ili nchi ipate maendeleo ya kiuchumi ifanye nini ?

Hivi hili ni taifa la namna gani mtu yoyote asiwe na uelewa na masuala ya nchi kupiga hatua anapewa nafasi kubwa ya kuwa kiongozi wa nchi katika dira ya maendeleo.

Nikisema kuwa hili taifa linaongozwa na kipofu wa masuala ya maendeleo na uongozi nitakuwa nakosea jamani ?

Kwamba Rais hafahamu kuwa ili China, Russia, Qatar, U.S.A, Germany, Singapore, Malaysia, Korea, Japan n.k walifanya nini ili kupata maendeleo yao ya kiuchumi ?

Kwa kumsaidia nampa hawa watu wawe walimu kwake, ni nini kifanyike ili taifa lipate maendeleo makubwa ya uchumi na aache kuwatupia mzigo mabalozi ambao hata yeye akiaamua kuwa serious anaweza kujifunza nini kutoka kwa hawa viongozi mazuri yao economically na kutuvusha hapa tulipo:-
Francisco Franco
Park Chung Hee
Chiang kai shek
Deng Xiaoping
Urho Kekkonen
Mahathir Mohamad
Muammar Gaddafi
Lee Kuan Yew
Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum
Kama rais mwenyewe hajui cha kufanya anajiuliza ni uchawi gani unatumika daaah jaman hivi tutafika kweli
Kuongozwa na maustadhat wa madrasa watu waliotakiwa kuwa wanachambua Mchele majumbani kwao eti ndio wanaongoza nchi ni shida kweli tuna Safar ndefu
 
Hiyo ni figure of speech lakini hili lijinga halijaelewa.
Hata kwenye kiingereza huwa kuna maneno kama hayo kwa mfano mtu akiwa anasifia goli zuri lililofungwa anasema "that was pure magic"!
Hana maana ya uchawi.
 
Rais Samia Suluhu Hassan anasema :

"Sote tunafahamu kuwa miaka ya 1960/70 nchi yetu na nchi za bara la Asia zilikuwa na uchumi unaolingana, lakini 'baada ya muda' wenzetu wametupita tena sana. Mfano Thailand kwa miaka hiyo ilikuwa na 'GDP Per Capita' ya Dola 166 na Tanzania tulikuwa 165. Leo Thaliland wako Dola 7,495 na sisi tuko 1,227.

Kwa hiyo hao mnaokwenda upande huo (Mabalozi) mtuambie wenzetu wamefanya uchawi gani kwenda haraka hivyo na sisi tunakosa nini? 'mentality' au vitu gani? Tuna 'resource' hatuzitumi? Mtuambie wenzetu
wamefanya nini na sisi tufanye nini."

Yaani Rais kushindwa kuelewa suala kama Hilo, why nchi kama Thailand imepaa kiuchumi? Kweli hapa katiba imetukatili..ndio maana nchi zingine Rais akifariki wanaitisha uchaguzi mkuu ili wananchi wampime kama anatosha kukalia hicho kiti na je ana uelewa mpana wa dhana ya maendeleo?
Uchawi!!!!? 🤣😅
subirini nicheke kwanza nitarudi baadaye
 
Mwandishi kaonyesha uwezo mdogo sana kwa kweli. Tumwombee. Mbona alichoongea raisi kipo clear kabisa
 
Hiyo ni figure of speech lakini hili lijinga halijaelewa.
Hata kwenye kiingereza huwa kuna maneno kama hayo kwa mfano mtu akiwa anasifia goli zuri lililofungwa anasema "that was pure magic"!
Hana maana ya uchawi.
Kwamba maendeleo ni suala la mazingaombwe yeye hafahamu a,b,c za kupata maendeleo ya kiuchumi sasa kazi yake nini hapo ikulu kama a,b,c za maendeleo ya kiuchumi hafahamu ?
 
Mwandishi kaonyesha uwezo mdogo sana kwa kweli. Tumwombee. Mbona alichoongea raisi kipo clear kabisa
Kipo clear kuwa yeye mpaka sasa hafahamu ili kupata maendeleo ya kiuchumi nini kifanyike ? Na anafikiri kuwa ni mazingaombwe China, Korea, U.S.A, Japan kuwa pale zilipo ? Si atoke sasa ikulu awaachie wanaojua ?
 
Hakumaanisha hivyo bali ni neno kivumishi cha kawaida
Alimaanisha hajui kitu chochote ili taifa lipate maendeleo ya kiuchumi lifanye nini ? Chawa unatetea mpaka masuala ya kipuuzi kama haya yanayo ligharimu taifa kwa kuwa na viongozi wakubwa wasiojua chochote hii ni hasara kubwa.
 
“Mtuambie wenzetu wamefanya uchawi gani kukua kiuchumi,na sisi tunakosa nini, tuna rasilimali hatuzitumii? au kitu gani, ila niseme ni wazi wenzetu wamepiga hatua kubwa sana licha ya kuwa sisi tumewazidi kwenye rasilimali diplomasia ya uchumi ifanye kazi hapa, tujiulize tuliachwa wapi?” - Rais SuluhuSamiaView attachment 2718932

Haiwezekani tuna kiongozi mkubwa wa nchi bado anaamini masuala ya giza katika kupata maendeleo makubwa ya kiuchumi , it look like hana a,b, c yoyote ili nchi ipate maendeleo ya kiuchumi ifanye nini ?

Hivi hili ni taifa la namna gani mtu yoyote asiwe na uelewa na masuala ya nchi kupiga hatua anapewa nafasi kubwa ya kuwa kiongozi wa nchi katika dira ya maendeleo.

Nikisema kuwa hili taifa linaongozwa na kipofu wa masuala ya maendeleo na uongozi nitakuwa nakosea jamani ?

Kwamba Rais hafahamu kuwa ili China, Russia, Qatar, U.S.A, Germany, Singapore, Malaysia, Korea, Japan n.k walifanya nini ili kupata maendeleo yao ya kiuchumi ?

Kwa kumsaidia nampa hawa watu wawe walimu kwake, ni nini kifanyike ili taifa lipate maendeleo makubwa ya uchumi na aache kuwatupia mzigo mabalozi ambao hata yeye akiaamua kuwa serious anaweza kujifunza nini kutoka kwa hawa viongozi mazuri yao economically na kutuvusha hapa tulipo:-
Francisco Franco
Park Chung Hee
Chiang kai shek
Deng Xiaoping
Urho Kekkonen
Mahathir Mohamad
Muammar Gaddafi
Lee Kuan Yew
Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum
Ndiyo hiyo inayo itwa kupinga kila Jambo
Hata huo msemo hujui
Mchawi wa soka
Mchawi wa hesabu
Mchawi wa kompyuta
Maana yake sio ulozi unaotaka tuamini
Kilicho ongelewa hapo ni kitu gani cha ajabu walicho Fanya wenzetu
 
shida ni ccm, tangu uhuru wao ndo wanaongoza nchi, nchi nyingine zilipata viongozi smart wakakua haraka haraka tz tukapata chama cha mapinduzi tukadumaa. tunhitaji new system sio new face from the same system
Pamoja sana
 
Ndiyo hiyo inayo itwa kupinga kila Jambo
Hata huo msemo hujui
Mchawi wa soka
Mchawi wa hesabu
Mchawi wa kompyuta
Maana yake sio ulozi unaotaka tuamini
Kilicho ongelewa hapo ni kitu gani cha ajabu walicho Fanya wenzetu
Amemaanisha kwamba hana anachojua kwamba taifa lifanye nini ili lipate maendeleo ya kiuchumi na anadhani kuna mazingaombwe yanatokea ili taifa lipate maendeleo ya kiuchumi.

Inakuwa vipi kiongozi asiejua chochote kuhusu a,b,c gani za kupita ili taifa lipate maendeleo ya kiuchumi anapewa nafasi kubwa kama hiyo ya kuongoza dira ya maendeleo ya taifa ?
 
Hiyo ni figure of speech lakini hili lijinga halijaelewa.
Hata kwenye kiingereza huwa kuna maneno kama hayo kwa mfano mtu akiwa anasifia goli zuri lililofungwa anasema "that was pure magic"!
Hana maana ya uchawi.
Magic ni muujiza au maajabu lakini uchawi ni superstition.
 
Ndiyo hiyo inayo itwa kupinga kila Jambo
Hata huo msemo hujui
Mchawi wa soka
Mchawi wa hesabu
Mchawi wa kompyuta
Maana yake sio ulozi unaotaka tuamini
Kilicho ongelewa hapo ni kitu gani cha ajabu walicho Fanya wenzetu
Mkuu, if that's the case, kwanini ukimuita mtu mchawi, anaenda kukufungulia mashitaka??
 
Umejidhalilisha sana kupitia huu uzi .
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom