Rais Samia amezungumza kwa simu na Balozi wa Shina Namba 1, katika Kata ya Komunyika, Wilaya ya Kasulu, Kigoma

Rais Samia amezungumza kwa simu na Balozi wa Shina Namba 1, katika Kata ya Komunyika, Wilaya ya Kasulu, Kigoma

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza na Balozi wa Shina Namba 1, katika Kata ya Komunyika, Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, Ndugu Juma Ahmed Rugina na kumpongeza kwa kuongoza shina hilo kwa miaka ishirini.

Balozi Mzee Rugina amezungumza na Rais Samia kupitia simu ya mkononi ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Ndugu Daniel Chongolo ambaye ametembelea shina hilo la kukagua uhai na uimara wa chama kwenye ngazi ya mashina na kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo hayo.

Katika mazungumzo hayo, Balozi Rugina amempongeza Rais Samia kwa kuendelea kufungua fursa za maendeleo kwa wananchi wa Kasulu na mkoa mzima wa Kigoma kwa ujenzi wa miundombinu ya barabara, afya na elimu ambapo amesema miaka ya nyuma wakati kama huu mifugo yao na vitu vingine vilikuwa vinauzwa kwa ajili ya michango, kuchangia ujenzi wa madarasa ya shule.

Aidha, Balozi Rugina amemuomba Rais Samia kusaidia kutatua changamoto ya ukosefu wa karavati mtaani hapo pamoja na kadi za uanachama kwa wakereketwa wote wa CCM wa shina hilo pamoja na mashina mengine wilayani Kasulu na Mkoa wa Kigoma ambapo katika shina hilo kuna wanachama 64 na wakereketwa wengi wasio na kadi.

Katika hatua nyingine Rais Samia alimuomba balozi huyo kuwahamasisha wanachama wake na wananchi kwa ujumla, kushiriki kwenye mambo ya maendeleo kikamilifu ikiwemo kuhakikisha wanachanjwa chanjo ya kujikinga dhidi ya Uviko 19.

Chongolo pia, ametembela na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo mradi wa ujenzi wa Chuo cha Veta Kasulu, na ujenzi wa Shule ya Sekondari Mayonga.

Chongolo pamoja na sekretarieti ya Halmashauri kuu ya chama hicho, wapo Kigoma kwa ziara ya siku mbili kwa lengo la kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na kuhamasisha uhai wa mashina wa chama hicho.


 
Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza na Balozi wa Shina Namba 1, katika Kata ya Komunyika, Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, Ndugu Juma Ahmed Rugina na kumpongeza kwa kuongoza shina hilo kwa miaka ishirini.

Balozi Mzee Rugina amezungumza na Rais Samia kupitia simu ya mkononi ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Ndugu Daniel Chongolo ambaye ametembelea shina hilo la kukagua uhai na uimara wa chama kwenye ngazi ya mashina na kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo hayo.

Katika mazungumzo hayo, Balozi Rugina amempongeza Rais Samia kwa kuendelea kufungua fursa za maendeleo kwa wananchi wa Kasulu na mkoa mzima wa Kigoma kwa ujenzi wa miundombinu ya barabara, afya na elimu ambapo amesema miaka ya nyuma wakati kama huu mifugo yao na vitu vingine vilikuwa vinauzwa kwa ajili ya michango, kuchangia ujenzi wa madarasa ya shule.

Aidha, Balozi Rugina amemuomba Rais Samia kusaidia kutatua changamoto ya ukosefu wa karavati mtaani hapo pamoja na kadi za uanachama kwa wakereketwa wote wa CCM wa shina hilo pamoja na mashina mengine wilayani Kasulu na Mkoa wa Kigoma ambapo katika shina hilo kuna wanachama 64 na wakereketwa wengi wasio na kadi.

Katika hatua nyingine Rais Samia alimuomba balozi huyo kuwahamasisha wanachama wake na wananchi kwa ujumla, kushiriki kwenye mambo ya maendeleo kikamilifu ikiwemo kuhakikisha wanachanjwa chanjo ya kujikinga dhidi ya Uviko 19.

Chongolo pia, ametembela na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo mradi wa ujenzi wa Chuo cha Veta Kasulu, na ujenzi wa Shule ya Sekondari Mayonga.

Chongolo pamoja na sekretarieti ya Halmashauri kuu ya chama hicho, wapo Kigoma kwa ziara ya siku mbili kwa lengo la kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na kuhamasisha uhai wa mashina wa chama hicho.


View attachment 2016379
Utopolo.
Kweli Rais mnamwomba atatue tatizo la Kalavati mtaani hapo.
Huu ujinga usio na mpaka.
 
Utopolo.
Kweli Rais mnamwomba atatue tatizo la Kalavati mtaani hapo.
Huu ujinga usio na mpaka.
Wana Chigoma mnafeli wapi ? Kuongea Rais unaomba kitu halmashauri inaweza fanya.....ombeni kitu cha maana hata kiwanda cha mawese
 
Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza na Balozi wa Shina Namba 1, katika Kata ya Komunyika, Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, Ndugu Juma Ahmed Rugina na kumpongeza kwa kuongoza shina hilo kwa miaka ishirini.

Balozi Mzee Rugina amezungumza na Rais Samia kupitia simu ya mkononi ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Ndugu Daniel Chongolo ambaye ametembelea shina hilo la kukagua uhai na uimara wa chama kwenye ngazi ya mashina na kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo hayo.

Katika mazungumzo hayo, Balozi Rugina amempongeza Rais Samia kwa kuendelea kufungua fursa za maendeleo kwa wananchi wa Kasulu na mkoa mzima wa Kigoma kwa ujenzi wa miundombinu ya barabara, afya na elimu ambapo amesema miaka ya nyuma wakati kama huu mifugo yao na vitu vingine vilikuwa vinauzwa kwa ajili ya michango, kuchangia ujenzi wa madarasa ya shule.

Aidha, Balozi Rugina amemuomba Rais Samia kusaidia kutatua changamoto ya ukosefu wa karavati mtaani hapo pamoja na kadi za uanachama kwa wakereketwa wote wa CCM wa shina hilo pamoja na mashina mengine wilayani Kasulu na Mkoa wa Kigoma ambapo katika shina hilo kuna wanachama 64 na wakereketwa wengi wasio na kadi.

Katika hatua nyingine Rais Samia alimuomba balozi huyo kuwahamasisha wanachama wake na wananchi kwa ujumla, kushiriki kwenye mambo ya maendeleo kikamilifu ikiwemo kuhakikisha wanachanjwa chanjo ya kujikinga dhidi ya Uviko 19.

Chongolo pia, ametembela na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo mradi wa ujenzi wa Chuo cha Veta Kasulu, na ujenzi wa Shule ya Sekondari Mayonga.

Chongolo pamoja na sekretarieti ya Halmashauri kuu ya chama hicho, wapo Kigoma kwa ziara ya siku mbili kwa lengo la kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na kuhamasisha uhai wa mashina wa chama hicho.


View attachment 2016379
Umeanza Rais Samia amezungumza na balozi Rugina halafu unasahau unasema balozi Rugina amezungumza na Rais Samia, nani aliyempigia simu mwenzake! Na lengo la habari hii ni nini!
 
Daa hii nchi nyepesi sana kuiongoza asee!.

Enzi za JPM haya mambo yalikuwa ya kawaida sana, kupigiwa simu watu mbalimbali now yanaendelea kwa "KAZI IENDELEE"
 
Huyo Katibu Mkuu wa CCM huko Kasulu anafanya nini?
 
Back
Top Bottom