Chadema walishindwa kabisa kutumia umaarufu wa merehemu kuingia ikulu .CDM hawakuwa na mtaji wa wapiga kura
Mbona hakumalizia kuongelea kuhusu kumuibia kura zake na kuupora ushindi wake katika nafasi aliyoigombea ya urais. Ashukuru sana kwa yaliyotoea, otherwise nchi kwa hivi sasa ingalikuwa chini ya urais wa Mh. Babu Duni.
CHADEMA tulishinda UCHAGUZI ila kwasababu TUME NI YA CCM ilitukanyagia.Chadema walishindwa kabisa kutumia umaarufu wa merehemu kuingia ikulu .CDM hawakuwa na mtaji wa wapiga kura
hajaibiwa kuraMbona hakumalizia kuongelea kuhusu kumuibia kura zake na kuupora ushindi wake katika nafasi aliyoigombea ya urais. Ashukuru sana kwa yaliyotoea, otherwise nchi kwa hivi sasa ingalikuwa chini ya urais wa Mh. Babu Duni.
Mkuu, mzee Lowassa 2015 alishinda urais. Huu ni ukweli mchungu, apumzike kwa amani na Mwenyezi Mungu amrehemu.Chadema walishindwa kabisa kutumia umaarufu wa merehemu kuingia ikulu .CDM hawakuwa na mtaji wa wapiga kura
Endeleeeni kujidanganya tu, Lowasa hakuwahi kuwa mwanachadema hata siku mojaCHADEMA tulishinda UCHAGUZI ila kwasababu TUME NI YA CCM ilitukanyagia.
Ukweli maza anaujua vizuri snMbona hakumalizia kuongelea kuhusu kumuibia kura zake na kuupora ushindi wake katika nafasi aliyoigombea ya urais. Ashukuru sana kwa yaliyotoea, otherwise nchi kwa hivi sasa ingalikuwa chini ya urais wa Mh. Babu Duni.
Kapimwe Akili.Endeleeeni kujidanganya tu, Lowasa hakuwahi kuwa mwanachadema hata siku moja
Asiweza kuendelea kukaa chadema kwa figisu zilizoanzishishwa kwa ajili ya kumdhibiti kisiasa ikiwemo kupiga marufuku ya mikutano ya siasa. Magufuli alitumia akili sana. vinginevyo JPM asingeweza kutawala Lowasa akiwa upinzani na uhuru wa kidemokrasia. he was so influencial na bila kubanwa asingerejea CCM.Aliona isiwe taabu akarudi vivyo hivyo kwa Sumaye na wengine.Tukio Moja kubwa lililompa amani na furaha Hayati Magufuli ni Lowassa kurudi CCM maana ushawishi wa Lowassa ungeendelea kuibeba sana CHADEMA. Lile tukio la kumpokea Lowassa nililiona tabasamu halisi kabisa la Hayati Magufuli. Mungu awalaze mahali pema, hakika walikuwa ni mashujaa wasisahaulika katika historia.
Ndio maana wazigua wamechokaMimi ni shahidi wa ushawishi wa Lowassa ,na nikiri kusema ushawishi wa Lowassa haukuwa wa kawaida hata kidogo. Nilikuwepo kwenye kampeni za Lowassa 2025 handeni, kwanza handeni hakuna upinzani kabisa ila Ile nyomi aliyojaza Lowassa 2015 ilikuwa balaa. Yule ni jabali
Lowassa kama angepitishwa na CCM upinzani ungepata asilimia zaidi 10 ningeamini upinzani umekomaa sana.Nakiri yule Mwendawazimu Edo alishinda for sure.
´Yule jamaa hata kampeni sake zilikuwa za mchongo, msela alikuwa hana nguvu kabisa but ile kumkashifu na kumkata CCM ndio kama ilimpa umaarufu. Many people voted not for Chadema but for Lowassa.
Hii kitu Chadema should learn to differentiate
People voted for lowassa sio Chadema
I am pretty sure lissu anaweza kuwa mrith mzur wa lowassa ; shida mbowe na chama cha ukoo ni tatizo
Wazigua hawapendi ujinga na kudanganywaNdio maana wazigua wamechoka