luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Kitu cha kinafiki na cha aibu ni kusoma historia ya lowasa bila kimbunga cha 2015 afu mama anakuja na kejeli eti mbowe angekosa la kusema? Nyie msibani mtu unaweza kosa la kusema? Nyie hizi siasa.
Maiti ikiwa inazikwa mnafsi yake huwa hapo pembeni nadhani kama kuna kitu lowasa amakipenda akiwa katika hali ya nafsi leo ni mbowe kusema kimbunga kilicho tokea 2015 mafuriko nchi mzima.
Rip Lowassa.
Maiti ikiwa inazikwa mnafsi yake huwa hapo pembeni nadhani kama kuna kitu lowasa amakipenda akiwa katika hali ya nafsi leo ni mbowe kusema kimbunga kilicho tokea 2015 mafuriko nchi mzima.
Rip Lowassa.