Hivi ilikuwa ni UKAWA au Chadema?Kwa sababu umoja huo pia ulisaidia kupata kura nyingi ingawa hazikutosha.Walipata kura kutoka Zanzibar kwa sababu ya CUF.Leo wanaojipa ujiko ni Chadema kwa nguvu za UKAWA. Baada ya uchaguzi huo hadithi za kuibiwa kura zikaibuka upya.The rest is history.Nakiri yule Mwendawazimu Edo alishinda for sure.
´Yule jamaa hata kampeni sake zilikuwa za mchongo, msela alikuwa hana nguvu kabisa but ile kumkashifu na kumkata CCM ndio kama ilimpa umaarufu. Many people voted not for Chadema but for Lowassa.
Hii kitu Chadema should learn to differentiate
People voted for lowassa sio Chadema
I am pretty sure lissu anaweza kuwa mrith mzur wa lowassa ; shida mbowe na chama cha ukoo ni tatizo
Kwa tume hii kuna mpinzani anaweza kutangazwa kushinda hta km ameshinda?Chadema walishindwa kabisa kutumia umaarufu wa merehemu kuingia ikulu .CDM hawakuwa na mtaji wa wapiga kura
Endeleeeni kujidanganya tu, Lowasa hakuwahi kuwa mwanachadema hata siku moja
Alipogombea urais 2015 altumia chama Cha babako au?Endeleeeni kujidanganya tu, Lowasa hakuwahi kuwa mwanachadema hata siku moja
We ni fala kuliko mafala wote on earth
View attachment 2907253
Katika Hotuba yake katika mazishi ya Edward Lowassa, Rais Samia amesema kura nyingi walizopata CHADEMA 2015 zilikuwa ni kwa sababu ya umaarufu ambao Lowassa alijijengea. Rais ametambua kazi nzuri zilizofanya na Edward Lowassa katika nafasi mbalimbali alizowahi kuzishika serikalini. Aidha, alikuwa ni mwanachama wa CCM kwa muda mrefu hadi mwaka 2015 ambapo alihamia CHADEMA na kugombea urais lakini baadae alirudi tena CCM hadi umauti umemfika.
Nakiri yule Mwendawazimu Edo alishinda for sure.
´Yule jamaa hata kampeni sake zilikuwa za mchongo, msela alikuwa hana nguvu kabisa but ile kumkashifu na kumkata CCM ndio kama ilimpa umaarufu. Many people voted not for Chadema but for Lowassa.
Hii kitu Chadema should learn to differentiate
People voted for lowassa sio Chadema
I am pretty sure lissu anaweza kuwa mrith mzur wa lowassa ; shida mbowe na chama cha ukoo ni tatizo