Pre GE2025 Rais Samia ampa Sheikh wa Arusha Land Rover Discovery limsaidie kwenye shughuli za kidini. Hii si Rushwa kabisa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila
Hii nchi daah. Inasikitisha sana yaani kutoa kutoa tu pesa za walipa kodi
 
Alhad Musa aliewahi kua shekhe wa mkoa wa Dar es salaam hadi leo ana v8 kwani anapata wap wese?

Infact,
nyakati hizi hadi mashekhe wa kata na vijiji wana mandinga ya maana gentleman huko vijijini..

ni kujipanga tu gentleman 🐒
Kupiga mizinga

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…