ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Makonda Bomayee !Hii Nchi hii!!Ukute hata Rais hajui kama amemzawadia Shekhe Gari huko Arusha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makonda Bomayee !Hii Nchi hii!!Ukute hata Rais hajui kama amemzawadia Shekhe Gari huko Arusha.
Hahaha, kawa sheikh mkuu sasaKweli thamani ya hicho kigari haifiki hata moja ya nane (1/8) ya zile pesa alizotoa Kusaidia Kanisa fulani 😳
😅😂😅
Ya sasa sheikh apewe kigari cha nini sasa, angepewa helikopta yenye spika kubwa awe ana piga adhani mlima kilimanjaro tusikie sote.Maaaaavi yamekujaa kwenye ubongo
Hongera zake huyo Shehe endapo kama msaada huu kweli umetolewa kwa Nia njema.Wakuu,
Nawaacha mtoe mapovu, mambo ndio kama haya, Sheikh amepewa land rover bana likamsadie kwenye kutoa huduma zake.... Hii si rushwa kabisa? Tusubiri 'zawadi' hizi ziendelee kutolewa kwa viongozi wengine wa dini.
Tunataka uchaguzi ufanyike kila mtu akiwa na fursa sawa ya kushindana, kwa namna hii mwenzangu na mimi atakuwa na nafasi ya kushindana na mtu kama huyu? TUNAFANYAJE KUMALIZA HAYA? Kwa kuendelea kuwa chawa na kulalamika?
Narusha swali kwenu Wakuu.
Kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda amekabidhi gari mpya chapa ya Land Rover Discovery yenye Thamani ya Milioni 100 kwa Sheikh wa Mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma ili kuweza kumsaidia kwenye shughuli zake za kidini Mkoani hapa.
Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Paul Makonda amekabidhi gari hilo muda mchache baada ya kumalizika kwa sala ya Ijumaa kwenye msikiti Mkuu wa Bondeni Jjjini Arusha leo Oktoba 25, 2024, akiwataja Viongozi wa dini kama msingi mkuu wa amani na utulivu unaoshuhudiwa kote nchini Tanzania.
Kwa Upande wake Sheikh Shaaban Bin Juma baada ya kukabidhiwa gari hilo, amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Upendo wake kwa Watanzania, akimuombea Kheri Rais Samia pamoja na wasaidizi wake katika kuwatumikia wananchi wa Tanzania.![]()
Yes,
hela ya umma inatumika hadharani kwa shekhe ambae pia ni mwananchi mlipa kodi. Tatizo liko wapi? au chuki binafsi tu gentleman. wakichangiwa unaowapenda haina Tatizo right?[emoji205]
my observationWakuu,
gari mpya chapa ya Land Rover Discovery yenye Thamani ya Milioni 100
Maaaaavi yanakuuma kanye westYa sasa sheikh apewe kigari cha nini sasa, angepewa helikopta yenye spika kubwa awe ana piga adhani mlima kilimanjaro tusikie sote.
Kanisa lipi??
Hahaha sheikh apewe mwewe, na suti aache kuvaa kanzu, kipedo na kobazi.Maaaaavi yanakuuma kanye west
Maaaavi yamekukaba kooHahaha sheikh apewe mwewe, na suti aache kuvaa kanzu, kipedo na kobazi.
Gari kwa hadhi yake ni kumdharirisha.
I hope mtakuwa mnamfanyia service na kumuwekea weseYes,
hela ya umma inatumika hadharani kwa shekhe ambae pia ni mwananchi mlipa kodi. Tatizo liko wapi? au chuki binafsi tu gentleman. wakichangiwa unaowapenda haina Tatizo right?🐒
Yaani hii story kama siielewi vizuri vile, anasema:Rais Samia Suluhu Hassan amemzawadia Sheikh wa Mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma gari aina ya Land Rover Discovery 4 lenye thamani ya shilingi milioni 100 ili limsaidie kwenye shughuli zake za kidini.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amemkabidhi Sheikh Shaaban gari hilo leo Ijumaa baada ya kumalizika kwa swala ya Ijumaa kwenye msikiti Mkuu wa Bondeni Jijini Arusha leo Oktoba 25, 2024.
Wakati wa kukabidhi gari hilo RC Makonda amenukuliwa akisema yafuatayo “Huyu Baba yetu na Sheikh wetu wa Mkoa alikuja siku moja pale ofisini nikamwambia Baba nikusindikize, tukaenda mpaka tukatoka kwenye geiti nje naitafuta gari sikuiona, mwisho nikamuona anahangaika kupiga simu ‘leta huku gari leta’......alivoleta ile gari nilivyoiona moyo wangu uliingia huzuni nikasema hii gari ndio itakua ya mwanzo na mwisho kuitumia”
“Nikasema kwakuwa mimi sina pesa lakini ninae Mungu anaeweza kuniwezesha, nikampigia simu Daktari Samia Suluhu Hassan akasema hivi Viongozi wa dini we Mtoto unawapenda eeh? sijakaa sawa siku ya pili akapatikana Kijana akaniletea pesa kwahiyo leo nimekuja kumkabidhi Sheikh wangu wa Mkoa gari lake atakalokuwa analitumia kama mali yake, namshukuru sana Daktari Samia” - RC Makonda.
FaizaFoxy usimsumbue shehe kuomba lift.
itakua kama lile tuliomchangia kibaraka ombaomba la Kimataifa tu gentleman ambalo halijulikani limenunuliwa ama laa, na ya mafuta sijui ataanza kuomba omba lini 🐒I hope mtakuwa mnamfanyia service na kumuwekea wese
Ova
Ahh ok maana aside akalipaki tuitakua kama lile tuliomchangia kibaraka ombaomba la Kimataifa tu gentleman ambalo halijulikani limenunuliwa ama laa, na ya mafuta sijui ataanza kuomba omba lini 🐒
nadhan ungemuuliza kibaraka ombaomba la kimataifa ingependeza zaidi gentleman 🐒Kutoka ulipo hadi milembe ni kama km ngapi mkuu
yaani shekhe wa jiji la Arusha apaki ndinga, kweli gentleman?🐒Ahh ok maana aside akalipaki tu
Ova
Kachomekewa mtu kamchukuliaYaani hii story kama siielewi vizuri vile, anasema:
1:"... Kwakuwa sina Hela ninaye Mungu.."
2: "...Nilimpigia Simu Mam Samia,akasema ,we Mtoto unawapenda sana viongozi wa Dini?
3:Kesho alipatikana Kijana akaleta Hela...
Hapo Hela ilitoka Kwa Kijana au Mama alimtuma Kijana alete hizo pesa?
Gari alininua nani?
Mufti mwenye alichukulia range kwa Lukosi alikuwa analalamika weseyaani shekhe wa jiji la Arusha apaki ndinga, kweli gentleman?🐒
Alhad Musa aliewahi kua shekhe wa mkoa wa Dar es salaam hadi leo ana v8 kwani anapata wap wese?Mufti mwenye alichukulia range kwa Lukosi alikuwa analalamika wese
We huyo sheh wa arusha labda wese awekewe lkn syo pesa ya mfukoni mwake
Ova