Rais Samia 'ampiga' Spika Ndugai

Ndugai ni mnafiki wa kutupa.

Si ajabu akajitokeza kesho kutwa kujibaraguza kama alivyofanya awamu iliyopita baada ya kujibiwa kuhusu bandari ya Bagamoyo.
 
Amemaliza miradi gani kati ya hiyo baada ya kukopa trillion 30 na amehangaika ndani ya miaka 5 akidanganya madunya kama wewe kuwa tunajenga fedha za ndani
 
Majungu tu..

Hii nchi imekuwa na viongozi wa hovyo sana
 
Unashangaa nini sasa wakati Ndugai alishasema ana cheti cha mirembe
 
Amemaliza miradi gani kati ya hiyo baada ya kukopa trillion 30 na amehangaika ndani ya miaka 5 akidanganya madunya kama wewe kuwa tunajenga fedha za ndani
Kuna miradi ya muda mfupi kama flyover ya ubungo, Salendar bridge, upanuzi barabara kimara to kibaha, n.k. lakini miradi Kama Sgr na Bwawa la umeme Rufiji ni miradi ya muda mrefu isingeweza kuisha ndani ya miaka mitano.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye item 2 hapo umesema Ndugai ametia chumvi lakini na wewe umetia chumvi kwenye item 3 hapo kwa kumuwekea mama mdomoni mwake maneno yako haya "Rais aliyepita (Magufuli) akikopa kwa kuangalia kipindi alichokaa madarakani (Ndugai alikuwa anashangilia tu)"

Clip inakusuta kwa sababu nimeisikiliza mwanzo mwisho hakuna sehemu mama amemtaja mtu kwa jina wala kumrejelea directly kwa kauli zake.

Aidha, ungeendelea mbele kwa kumtia mama moyo kwamba hakuna rais ambaye hajawahi kuvunjwa moyo, Magufuli anaendelea kuvunjwa moyo hadi kaburini.

NB.
Alichotakiwa kufanya Mhe. Ndugai ni kupinga ilani ya chama wakati inaandaliwa kwamba italiingiza taifa kwenye madeni ya kuweza kuifanya ikanadiwa, kama chama kisingemsikiliza basi angeibana serikali Bungeni akipinga miradi hiyo ya thamani kubwa kuliko uwezo wa nchi, sasa mama afanyeje leo ambapo miradi iko kwenye ujenzi? Job ana washauri wote wa kisekta walitakiwa wawe wanamuandaa Spika vizuri katika kila anachokifanya na kukisema.

Ila Nkya hoja ya msingi unayo na naikubali na kukukubali pia kwa ujasiri kama wa Askari wa msitari wa mbele. Keep it up!
 
Bi Mkubwa amekopa TRILIONI 7.7 within 4 months. It's means akikaa hadi 2025 atakuwa amekopa almost TRILIONI 100.
Alichotakiwa kufanya Mhe. Ndugai ni kupinga ilani ya chama wakati inaandaliwa kwamba italiingiza taifa kwenye madeni ya kuweza kuifanya ikanadiwa, kama chama kisingemsikiliza basi angeibana serikali Bungeni akipinga miradi hiyo ya thamani kubwa kuliko uwezo wa nchi, sasa mama afanyeje leo ambapo miradi iko kwenye ujenzi? Job ana washauri wote wa kisekta walitakiwa wawe wanamuandaa Spika vizuri katika kila anachokifanya na kukisema. Ukim-fire Job fire na washauri wake.
 
Mama asisubili huyo mgogo aende milembe mwenyewe ampeleke!
 
Magufuli alikopa zaidi ya trillion 30 peke yake ndani ya miaka 5 tu, lakin Huyo Ndugai hakuongea kitu. Lakin huyu mama amekopa trillion 1.3 Ndugai anapiga kelele kila mahali!
Huwezi kopa kwa ajili ya C 19, kopa kwa uwekezaji wa maaana,
Hata ukikopa tr200 kwa miradi itakayorudisha pesa ni sawa!
Pia na usimamizi wa hizo hela, huyu analalamika tu
 
 
Basi tozo itolewe!! si imefeli,Hadi wameamua ss tukopage Hadi tumalize miradi yetu!?, au hii tozo iliwekwa kwa dhumuni lipi labda!!
 
Why Ndugai?
 
Balile, Ndugai, Luoga, World Bank, Mwigulu, Lipumba, Lissu, Zitto, Mbatia, Mama..... who is who?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…