Rais Samia ampokea Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Ikulu Dar es Salaam leo Machi 30, 2023

Mama anastress pia kutokana na report ya CAG
 
Kwa maneno mafupi ni overtake Dhidi ya hofu kupokonywa minofu milainilaini ya kiafrika

Kama mpinzani wake amealikwa Nchi ya block yake why asijilinde na binding agreement ya trillions ili usichomoke?
 
Si umetoka kusema kuwa hutaki tena mambo ya siasa sababu ya wizi uliofanyika?...imekuwaje tena?
Wewe kijana lazima una laana na nikuambie wazi laana hiyo umepata kwa sababu unamtukana JPM....nikuhakikishie ukitubu na kuacha kumtukana JPM akili yako itakaa sawa..
 
Kwani kutoa taarifa Kuna ubaya gani?
 
Wewe
Si ndio ulisema hutaitetea hii serikari kutokana na ripoti ya CAG wewe ni mnafiki sana
 
pamechaa ivyo,hata kupiga sadolin!
WaRudishe picha ile....
hawezi kuacha hayo ni porojo tu za kujenga hisia....hana ajira. Na isitoshe ni li boti tu hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…