SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Mie na nani. [emoji41][emoji846]Umetuahidi humu kwamba hutaitetea na kuisifia Serikali kwa sababu ya report ya CAG. Kuacha Uchawa na Ukiroboto siyo kazi rahisi ujue[emoji41][emoji846]
Mama anastress pia kutokana na report ya CAGMama Samia ka handle issue ya Kamala very diligently! Kukataa maswali na majibu ni bonge la akili na sasa kwa akili zangu fupi naweza ku connect dot ule mkwara wa Jasusi Mwakyembe na kutaja zile taasisi! Issue imeisha sasa! Akili mingi sana, congratulations Madam President Samia Suluhu Hassan [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ni ya uwongo, Elewa...hakuna mahala Nchi za magharibi ziliwahi kusema zimevunja uhusiano na TZ kwa sababu ya Huyo Magu wako. Kinachoendelea ni muendelezo wa kikao Kati ya Biden na US-African summit iliyofanyika USUmesoma hiyo taarifa ya The African News au umekurupuka tuu?
Kwani hapo Kuna utetezi gani? Si ni taarifa inafikishwa Kwa hadhira au?Mie na
Mie na nani. [emoji41][emoji846]
Mission accomplished! No need to create more attention to the public and jeopardise our long-term relationship! Salute [emoji1241]Funguka zaidi Mkuu hapo kwa issue kuisha,kwamba Makyembe kazi yake imepuuzwa?
Rudisha hiyo picha ya Ikulu ya Marekaniizo kuta za Ikulu hata kupiga rangi akuna,kazi ni wizi tu.
aisee.Rudisha hiyo picha ya Ikulu ya Marekani
pamechaa ivyo,hata kupiga sadolin!Ukuta wa Ikulu ya Marekani.😂
Kuimarisha Mahusiano ya Kibiashara
Kuwekeza katika Demokrasia, Utawala Bora na Maendeleo
Kuimarisha Bioanuai na Usalama wa Chakula
Kukuza Elimu, Ushiriki wa Vijana na Kuwajengea Wanawake Uwezo wa Kiuchum
Kukuza Ushirikiano katika Sekta ya Afya
Si umetoka kusema kuwa hutaki tena mambo ya siasa sababu ya wizi uliofanyika?...imekuwaje tena?Jarida la The African News linaripoti kwamba,Ziara ya VP Kamala Tanzania ni kuonesha Uungwaji Mkono wa Serikali ya Biden Kwa Rais Samia na Tanzania Kwa Ajili ya hatua za kidemokrasia na Kulinda Haki za binadamu ambazo zimechukukiwa na Rais Samia kinyume na Mtangulizi wake JP Magufuli.
Naona Wamarekani wametuheshimu sana, naona wameleta neema haswa kwa TanzaniaMission accomplished! No need to create more attention to the public and jeopardise our long-term relationship! Salute [emoji1241]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kwani kutoa taarifa Kuna ubaya gani?Si umetoka kusema kuwa hutaki tena mambo ya siasa sababu ya wizi uliofanyika?...imekuwaje tena?
Wewe kijana lazima una laana na nikuambie wazi laana hiyo umepata kwa sababu unamtukana JPM....nikuhakikishie ukitubu na kuacha kumtukana JPM akili yako itakaa sawa..
Si ndio ulisema hutaitetea hii serikari kutokana na ripoti ya CAG wewe ni mnafiki sanaJarida la The African News linaripoti kwamba,Ziara ya VP Kamala Tanzania ni kuonesha Uungwaji Mkono wa Serikali ya Biden Kwa Rais Samia na Tanzania Kwa Ajili ya hatua za kidemokrasia na Kulinda Haki za binadamu ambazo zimechukukiwa na Rais Samia kinyume na Mtangulizi wake JP Magufuli.
Kwani hapa natetea nini?Wewe
Si ndio ulisema hutaitetea hii serikari kutokana na ripoti ya CAG wewe ni mnafiki sana
humble
WaRudishe picha ile....pamechaa ivyo,hata kupiga sadolin!
hawezi kuacha hayo ni porojo tu za kujenga hisia....hana ajira. Na isitoshe ni li boti tu hiloSi umetoka kusema kuwa hutaki tena mambo ya siasa sababu ya wizi uliofanyika?...imekuwaje tena?
Wewe kijana lazima una laana na nikuambie wazi laana hiyo umepata kwa sababu unamtukana JPM....nikuhakikishie ukitubu na kuacha kumtukana JPM akili yako itakaa sawa..