BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa , mtumikie kafiri upate mtaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa , mtumikie kafiri upate mtaji.
😁😁😁😁😁😁😁😁🏃🏃🏃🏃🏃
Nimecheka sana au siyo mkanda wa Madini eti? 😝😝😝😝.
Ona hapa Cameroon kote huko Kuna wapiga domo kama wewe wa mkanda wa Madini ila hakuna kitu wanaweza kufanya Hadi aje mzungu kuongeza thamani ya maisha Yao.
Nenda geita kuna mama mbongo kajenga refinery kubwa sana ya kusafisha pure gold.Huna akili zaidi ya kupiga domo,saizi kule Kuna nickel Hadi mzungu aje awajengee kiwanda ila wapiga domo za.sijui mkanda wa Madini mpo tuu na geology zenu za kukariri.Rubbish.
Huyo mmja ana connection na mzungu,mitambo yote kaagiza Kwa mzungu nyie wahandisi mavi mumeunda ipi?Nenda geita kuna mama mbongo kajenga refinery kubwa sana ya kusafisha pure gold.
Kila kitu tunaweza sema tunajidharau.
Wewe ndo maana nakuambia hujui chochote kuhusiana na madini ..kuna migodi mingi sana inamilikiwa na wabongo this moment na hakuna mzungu wala mchina.Huyo mmja ana connection na mzungu,mitambo yote kaagiza Kwa mzungu nyie wahandisi mavi mumeunda ipi?
Yote hiyo ni migodi ya mzungu nyie mavi ni vibarua msio na MsaadaWewe ndo maana nakuambia hujui chochote kuhusiana na madini ..kuna migodi mingi sana inamilikiwa na wabongo this moment na hakuna mzungu wala mchina.
Nenda pale Busolwa mine,Stamigold,kiwira,
nenda tume ya madini kakate leseni ya utafiti au ya uchimbaji tuje tukuelekeze kazi..acha kuongea sana.Yote hiyo ni migodi ya mzungu nyie mavi ni vibarua msio na Msaada
Sina ujinga huo Mimi,kama yote hayo mnafanya unamlalanikia mzungu Kwa Ajili ya nini Sasa..nenda tume ya madini kakate leseni ya utafiti au ya uchimbaji tuje tukuelekeze kazi..acha kuongea sana.
Watu ni mitaji tu ndo changamoto ila inshu za madini hazina ugumu wowote
Yaani tunashindwa kudhibiti ubadhirifu mpaka mabeberu watusaidie ?....nadhani hatujaamua tu.Kwa sasa hivi msaada tunaoweza kuupata kutoka nchi yoyote ile duniani na ukawa ni wa maana kubwa kwa nchi yetu ni kutupa uwezo sisi wananchi kukabiliana na mafisadi na wakwapuzi walioenea kila mahala nchini mwetu.
Haya mengine yote ni mchezo uleule wa kutuweka chini ya himaya zao.
Aisee .Samia AKIMTUMIKIA beberu.View attachment 2571241
Tanzania ina deposit kubwa sana ya madini ya chuma(iron) pale wilayani ludewa njombe ...kwa taarifa kila mwaka serikali inatumia zaidi ya trillion 2 kuagiza chuma nje ya nchi .Sina ujinga huo Mimi,kama yote hayo mnafanya unamlalanikia mzungu Kwa Ajili ya nini Sasa..
Uligundua wewe au mzungu? Nyie mbwa si ndio mnatusumbua huku mitaani na vifurushi,michanga,kokoto, tofari eti ndio Madini,ndio Madini mliyosomea na kugundua? Fala nyie kwanza acha kuongea ujinga unanichefua.Tanzania ina deposit kubwa sana ya madini ya chuma(iron) pale wilayani ludewa njombe ...kwa taarifa kila mwaka serikali inatumia zaidi ya trillion 2 kuagiza chuma nje ya nchi .
Tuko busy tunasubiria investors kutoka ulaya aje achimbe kumbe hata sisi tunaweza kuchimba hiyo chuma ..ni inshu tu ndogo serikali inawapa mitaji wazawa wenye nia ya kuendeleza huo mradi ...hiyo hela itakuwa inarudishwa kupitia production ya mradi husika.
Trillion 2 kila mwaka ..hizi ni pesa nyingi sana halafu mnalilia misaada
Safi mkuu..Misaada hii iliyoahidiwa ya mamilioni ya dola za marekani itatekelezeka kwa masharti ya uhuru wa haki za binadamu ikiwemo ya LGBT!
Uligundua wewe au mzungu? Nyie mbwa si ndio mnatusumbua huku mitaani na vifurushi,michanga,kokoto, tofari eti ndio Madini,ndio Madini mliyosomea na kugundua? Fala nyie kwanza acha kuongea ujinga unanichefu
Acha panic za kishamba tulia nikupe pindi..next time jifunze vitu vya kuposti sio kushangilia ujinga wa vyandarua.Uligundua wewe au mzungu? Nyie mbwa si ndio mnatusumbua huku mitaani na vifurushi,michanga,kokoto, tofari eti ndio Madini,ndio Madini mliyosomea na kugundua? Fala nyie kwanza acha kuongea ujinga unanichefua.
Akiacha hicho kibarua cha uchawa ataishije sasa ?Umetuahidi humu kwamba hutaitetea na kuisifia Serikali kwa sababu ya report ya CAG. Kuacha Uchawa na Ukiroboto siyo kazi rahisi ujue[emoji41][emoji846]
Tafuta wajinga wenzako kawaambie Madini mliyosomea ni michanga,mavumbi,matofaro na kokotoAcha panic za kishamba tulia nikupe pindi..next time jifunze vitu vya kuposti sio kushangilia ujinga wa vyandarua.
Waafrika mnapenda sana ushoga!Hajaulizwa juu msimamo wake na ushoga African Countries...
kama no then the visit is meaningless
Wee kweli mshamba yaani kugundua madini ndo unashangaa ..nenda vijini huko geita watu kila siku wanagundua maeneo yenye dhahabu tena bila ya vifaaa..nakuona kama mshamba usiyejua chochote.Tafuta wajinga wenzako kawaambie Madini mliyosomea ni michanga,mavumbi,matofaro na kokoto