BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Samia AKIMTUMIKIA beberu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achukue tuu maana hata asipochukua huna akili ya kijua kama hapo ulipo Kuna Mali,hujui Cha kufanya,huna Teknolojia,huna soko yaani wewe ni mbumbumbu tuu..si hamna akili acha awape msaada na achukue Mali.
Nchi yenye population kama bongo na ina kila kitu mnalilia msaada ...bora tusingedai uhuru.
duh!,gari limewaka.Aisee nini wakati mmeweka picha ya Ssh na Camara wakiwa ikulu marekani halafu mkaanza kutukana kana kwamba ni picha ya hapa Tanzania. Rudisheni ile picha au mfute posti ile! Wacheni Dis-information
Ona Samia anavyomtumikia BEBERU JIKE.Nimeku quote wewe au ndio wazimu?
Alikuwa ni nani kama sio mzungu? Nyie si mlikuwa mnachezea bao tuu? Mnajua hata kazi yake?Aliyegundua Tanzanite alikuwa ni nani ..wee jamaa bhana.
Safi sana hii,mtumikie kafiri upate mtaji.Ona Samia anavyomtumikia BEBERU JIKE.View attachment 2571243
Hamia ulaya sasa..Achukue tuu maana hata asipochukua huna akili ya kijua kama hapo ulipo Kuna Mali,hujui Cha kufanya,huna Teknolojia,huna soko yaani wewe ni mbumbumbu tuu..
Unachati hapa ulisoma shule walizokutengenezea Wazungu walau wakakupunguzia ujinga vinginevyo ungeishia kuwa kama sokwe.
noma sana.WaRudishe picha ile....
hawezi kuacha hayo ni porojo tu za kujenga hisia....hana ajira. Na isitoshe ni li boti tu hilo
Kufanya nn Mali ziko Afrika?Hamia ulaya sasa..
Samia ni mtumishi bora.Safi sana hii
Kabisa , mtumikie kafiri upate mtaji.Samia ni mtumishi bora.View attachment 2571244
Professional yangu ni Geology.. acha kubishana na mm kwenye hiyo sekta.Alikuwa ni nani kama sio mzungu? Nyie si mlikuwa mnachezea bao tuu? Mnajua hata kazi yake?
Unawapenda sana wazunguKufanya nn Mali ziko Afrika?
Bwege wewe , geology Yako Ina Msaada gani Kwako na Kwa Nchi? Zaidi ya kukariri Elimu ya msingi una jipya gani?Professional yangu ni Geology.. acha kubishana na mm kwenye hiyo sekta.
Kiufupi makampuni yote makubwa unayoyajua wewe yaliopo hapa bongo cjui Barrick ,Shanta na hao Anglogold Ashanti ..exploration nyingi wanazozifanya mpaka kupata hayo madini hutumia zaidi ideas za small scale .
Na ni wahuni sana wakishaona eneo kuna small scale washagundua kuna mali ndo wanajifanya kuanza utafiti.
Mzungu ni muhuni tu kama wahuni wengine.
Sana maana ndio wamekusaidia walau kupata hata ustaarabu kidogo japo akili huna.Unawapenda sana wazungu
Tanzanite mtu wa kwanza kuigundua ni mtanzania ..acha siasa.Bwege wewe , geology Yako Ina Msaada gani Kwako na Kwa Nchi? Zaidi ya kukariri Elimu ya msingi una jipya gani?
Umegundua Madini gani Kwa utafiti au unasubiria mzungu? 🤣🤣
Wewe ndo huna akili unashangilia vyandarua na Arvs .Sana maana ndio wamekusaidia walau kupata hata ustaarabu kidogo japo akili huna.
😁😁😁😁😁😁😁😁🏃🏃🏃🏃🏃Tanzanite mtu wa kwanza kuigundua ni mtanzania ..acha siasa.
Geology yangu imesaidia wachimbaji wadogo zaidi ya 100 kupata mkanda wa madini(trend of mineralization)
Huna akili zaidi ya kupiga domo,saizi kule Kuna nickel Hadi mzungu aje awajengee kiwanda ila wapiga domo za.sijui mkanda wa Madini mpo tuu na geology zenu za kukariri.Rubbish.Wewe ndo huna akili unashangilia vyandarua na Arvs .