Rais Samia ampokea Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Ikulu Dar es Salaam leo Machi 30, 2023

Rais Samia ampokea Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Ikulu Dar es Salaam leo Machi 30, 2023

Hujui kitu ila unapayuka tuu..

Wewe ndio ulitoa pes za kujenga Barabara ya Tunduma Sumbawanga?

Au wajomba zako ndio wlitoa pesa za kujenga Barabara ya Songea Masasi?

Au wewe ndio Huwa unatoa pesa za malaria,kifua Kikuu,ukimwi na chanjo?
una ubongo mdogo sana yaani barabara hizo mbili ndo zimekuvuruga ..kweli tuna safari ndefu sana .

Wewe unavyohisi sisi tunashindwa kujenga barabara kwa pesa zetu ...nenda kasome report ya CAG kwanza ndo ubishane na Mimi.
 
una ubongo mdogo sana yaani barabara hizo mbili ndo zimekuvuruga ..kweli tuna safari ndefu sana .

Wewe unavyohisi sisi tunashindwa kujenga barabara kwa pesa zetu ...nenda kasome report ya CAG kwanza ndo ubishane na Mimi.
Pumbavu,hapo umeona Barabara tuu? Unajua hata gharama yake au unaropoka tuu?
 
Eti programu zinazohusiana na demokrasia...hivi wazungu wanatuonaje .

Wameshindwa kutoa misaada kumaliza umasikini wapo busy na demokrasia uchwara.
Kua na Aibu,
Marekani ikakupe misaada ya kumaliza umaskini wakati ripoti ya CAG ikitoka mmefanya ubadhilifu mkubwa wa pesa za Umma na hamkemei lolote ila suala la ushoga ndio mnakaza shingo
 
Katika maeneo mengine sina shida, hasa ya kiuchumi na kisiasa. Lakini eneo la msaada wa kijamii na la wanawake, halafu yakichagizwa na maneno matamu ya suala zima la usimamizi mzuri wa demokrasia kidogo hapo nina "zoom" ili kuzidi kujionea.
 
Kua na Aibu,
Marekani ikakupe misaada ya kumaliza umaskini wakati ripoti ya CAG ikitoka mmefanya ubadhilifu mkubwa wa pesa za Umma na hamkemei lolote ila suala la ushoga ndio mnakaza shingo
Wapi wamesema unapata Msaada wa kumaliza umaskini?

Harafu unapinga Msaada au hoja uko ni ipi hasa?
 
Sasa Msaada wa bule upo ilimradi tuu vigezo na masharti kuzingatiwa..

China ilipowjengea Tazara uliwapa nini?
Kiufupi tu ngozi nyeupe awe mzungu ,mchina sijui mwarabu wote hao wana malengo yao na rasirimali zetu hayo mengine ni mbwembwe tu ...eti unashangilia ngozi nyeupe eti demokrasia.



Mtu aliyeuwa mabubu zetu ana demokrasia gani.


Poor Africa.
 
Kiufupi tu ngozi nyeupe awe mzungu ,mchina sijui mwarabu wote hao wana malengo yao na rasirimali zetu hayo mengine ni mbwembwe tu ...eti unashangilia ngozi nyeupe eti demokrasia.



Mtu aliyeuwa mabubu zetu ana demokrasia gani.


Poor Africa.
Kwa hiyo kama babu Yako alikufa hoja Yako ni gani?
 
Ndio huo Msaada amekuwa akitoa na Bajeti ya Nchi Yako 30% ni Msaada wa mzungu.
si hamna akili acha awape msaada na achukue Mali.

Nchi yenye population kama bongo na ina kila kitu mnalilia msaada ...bora tusingedai uhuru.
 
Back
Top Bottom