Bandari ya Dar es Salaam, TAZARA, Tanzania Railways Corporation SGR , Watendaji husika serikali yote, Amos Makala na Shirika la Masoko Kariakoo, naibu spika Zungu na wazee wenzie wa club ya Saigon Kariakoo n.k wanatakiwa wapitie hapa JF wapate elimu isiyofundishwa ktk vyuo vyetu.
Mfano kuvutia itumike basi nchi za Zambia, Malawi, DR Congo, Rwanda, Burundi zipewe ma-gati ya mkataba aina ya BelBases sisi tufanye miaka 99 na upanuzi wa bandari ukifanyika iwe ya DSM au Mtwara pia tuwahusishe majirani watie mkono wao ktk ujenzi wa gati exclusives na pia haki za kutumia reli na pia uwekezaji ktk njia ya reli. Sisi tutaingiza mapato meli ikiingia, pilot wa TPA atatoza ushuru, meli zitanunua, mafuta, maji na chakula cha mabaharia n.k yaani mambo ni mengi ya kuichangamsha bandari ya DSM iwe hub / kitovu cha biashara, Kariakoo itakuwa soko kuu la nchi hizo tajwa n.k sijui mungu huyu atupatie nini ikiwa kina Sultan Seyyid Said na wazungu wa Ubelgiji na Uingereza kupitia BelBases convention German East Africa lakini sisi hatukioni !
Na sisi kizazi cha dot.com intaneti ina siri zote zimewekwa, mbali ya masuala yetu ya ushabiki wa mpira, singeli, amapiano, mwanasiasa kasema nini, celebrity wa kibogo leo ana event au scandal gani, dini ipi bora n.k basi tujitanulie uwingo na kuongeza mengine mengi yawe ya social, elimu, historia, biashara n.k
100 YEARS BELBASES
A FORGOTTEN PAGE OF BELGIAN COLONIALISM IN AFRICA
Belgian bases in East Africa
The Belgian colonial period ended with the independence of Burundi and Rwanda on July 1, 1962, but there is still a vestige of our colonial past:
the Belbases in Tanzania.
In 1919, during the negotiation of the Treaty of Versailles, Great Britain was able to seize almost all the German colonies in East Africa. Rwanda and Burundi became Belgian mandate areas.
But Belgium, which had also participated in the war effort in East Africa, was not satisfied, protesting strongly. She received in 1921 from the British a commercial gesture as a consolation, the so-called Belbases (from "Belgian Bases"), sites in two ports of Tanganyika: Kigoma on Lake Tanganyika, and Dar es Salaam on the Indian Ocean , with free transit on the railway between these two ports.
This agreement was signed 100 years ago, on March 15, 1921.
Belgium leased the concession for a symbolic franc per year, where it could build docks and warehouses, initially in perpetuity, from 1956. for 99 years.
Goods to and from the Belgian colonies in Central Africa could pass tax-free via the railway. The Belgian government entrusted the operation to a private company, the Belgian East African Agency, which later became the International Maritime Agency (AMI).
In 1956, the Belbases were transferred to the colonial government, which now funded the infrastructure. After the independence of Congo, Burundi and Rwanda, the Belbases became the joint property of the former colonies.
The transit zone gradually lost its economic importance and, certainly after the riots of 1991 (Congo) and 1994 (Rwanda), traffic from Central Africa stopped. Between 1994 and 1995 the AMI began discussions on an "honorable end" to the management agreement, in 1996 Tanzania took over the sites.
Even if they have not been used for 25 years, in theory these Belbases still exist, because the four countries (Tanzania, Burundi, Congo and Rwanda) have not yet been able to agree on compensation for the takeover of the installations.
March 15, 1921
On March 15, 1921, the Belgian and British governments signed a convention concerning "
the free passage of persons, mail, goods, ships, vehicles and wagons from or to the Belgian Congo ", including the protectorate of the Rwanda - Urundi.
The last Belgian manager
From January 1992 to December 1995, Guido Fallentheyn was the last Belgian manager of the Belbases in East Africa.
Source :
Belbases - Une page oubliée du colonialisme Belge en Afrique