Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Chadema wanahusikaje we mkundu?Chadema watanuna watasema mama amezuia Demokrasia,kwa nini Hichilema aje kumtembelea 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema wanahusikaje we mkundu?Chadema watanuna watasema mama amezuia Demokrasia,kwa nini Hichilema aje kumtembelea 😁😁
Umeona mkuu ni jinsi gani tulivyo mazuzu?,mwana JF haelewi ziwa nyasa lipo wapi, hailewi Zambia 🇿🇲 na 🇲🇼 ni nchi mbili tofauti!Ziara umeelezwa ya Rais wa Zambia, ziwa nyasa linaingiaje wakati ziwa Nyasa liko malawi, haikande ni mambo ya mgomo wa juzi wa madreva kuchelewa mizigo ya zambia, sana issue za kutoa mizigo yao bandarini kiurahisi na reli ya TAZARA hizo ndio issue watakazojadili na labda mikataba ya ushirikiano baina ya mataifa haya mawili.
Kuna mambo yanashangaza sana ! Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete , ambaye alikuwa miongoni mwa wasimamizi wa uchaguzi Mkuu nchini Zambia , ameonekana hadharani akiwa na Mahasimu wakuu wa siasa za Zambia baada ya kikao cha upatanishi , Tunamshukuru kwa jambo hilo
Mzee Kikwete umeshidwa kupatanisha Watanzania wenzako, umewezaje kwa Wazambia?
Kuna mambo yanashangaza sana ! Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete , ambaye alikuwa miongoni mwa wasimamizi wa uchaguzi Mkuu nchini Zambia , ameonekana hadharani akiwa na Mahasimu wakuu wa siasa za Zambia baada ya kikao cha upatanishi , Tunamshukuru kwa jambo hilo... Nasikitika sana kuona...www.jamiiforums.com