Diplomasia ya uchumi na sera ya kufungua nchi haitakiwi kuwa na uoga kwa vile nchi jirani wameamua kubadilisha wale waliokuwa chama tawala.
Tanzania tuangalie fursa kwanza haya ya kubadilisha utawala yaliyofanywa na wananchi wa nchi jirani isififishe sera nzuri ya diplomasia ya uchumi na 'kufunguana nchi'.
TOKA MAKTABA:
Kuna mambo yanashangaza sana ! Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete , ambaye alikuwa miongoni mwa wasimamizi wa uchaguzi Mkuu nchini Zambia , ameonekana hadharani akiwa na Mahasimu wakuu wa siasa za Zambia baada ya kikao cha upatanishi , Tunamshukuru kwa jambo hilo
Kuna mambo yanashangaza sana ! Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete , ambaye alikuwa miongoni mwa wasimamizi wa uchaguzi Mkuu nchini Zambia , ameonekana hadharani akiwa na Mahasimu wakuu wa siasa za Zambia baada ya kikao cha upatanishi , Tunamshukuru kwa jambo hilo... Nasikitika sana kuona...
16 August 2021
EXCLUSIVE VIDEO :
Jakaya Kikwete kiongozi wa ujumbe Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Jumuiya ya Madola akishuhudia hatua za dhati kuelekea "maridhiano na Umoja wa Kitaifa" Zambia
Official Hakainde Hichilema Meets Edgar Lungu At Rupiah Banda's House
President β Elect HH And President Lungu Hold Cordial Meeting at Former President Rupiah Bandaβs house today
August 16, 2021
We held a cordial meeting with President Edgar Chagwa Lungu, Fourth President, Rupiah Bwezani Banda, AU Chief election Observer, Former Sierra Leone President Ernest Bai Koroma and Commonwealth Chief observer, Former Tanzanian President Jakaya Kikwete.
The meeting centered around the betterment of our country and its future.
We remain committed to ensuring a united and developed Zambia for all.
We will endeavour to work round the clock and indeed ensure a country everyone can call home because what divides us is smaller than our Countryβs aspirations.
I Thank Your Excellencies President Lungu, President Banda, President Kikwete and President Koroma for showing that Africa is indeed blessed.
May God Bless our Country
Source :
President - Elect HH And President Lungu Hold Cordial Meeting at Former President Rupiah Banda's house today