Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Hapo sawa. Nilitaka nishangae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa wameangukia pua.Chawa mlikua mshaandaa picha kibao za kamala na smaia,mapambio ya kutosha mara paap mambo si mambo mpo hooooiiii
Acha uzushiChawa mlikua mshaandaa picha kibao za kamala na smaia,mapambio ya kutosha mara paap mambo si mambo mpo hooooiiii
Ushangae kitu ganiHapo sawa. Nilitaka nishangae.
Acha uzushi
Mimi siyo chawaChawa
Wewe ni zaidi ya chawa..wewe ni KUPE..Mimi siyo chawa
Mimi ni msema kweli na mzalendo wa kweli kwa Taifa languWewe ni zaidi ya chawa..wewe ni KUPE..
Samia nae na Kingereza chake cha UKWAJU!Yeeeeeeaaah USA baby 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Kama hujuwi kiingereza kaa pembeni tu .Samia nae na Kingereza chake cha UKWAJU!
Hivi hakunaga maneno mengine zaidi ya hiyo sijui "Heartfelt"? Mara sijui "i extent my heartfelt"?
Maana kila tweet yake ni maneno hayo hayo, i extend, i am looking forward, i extend!!
Hivi ndio Kingereza kiko hivyo?
Cc: Lucas Mwashambwa ChoiceVariable chiembe FaizaFoxy Mbaga Jr Poor Brain Kalpana
Luka usiwe mkali, nauliza tu!Kama hujuwi kiingereza kaa pembeni tu .
Kaandike chako basi Ili uridhikeSamia nae na Kingereza chake cha UKWAJU!
Hivi hakunaga maneno mengine zaidi ya hiyo sijui "Heartfelt"? Mara sijui "i extent my heartfelt"?
Maana kila tweet yake ni maneno hayo hayo, i extend, i am looking forward, i extend!!
Hivi ndio Kingereza kiko hivyo?
Cc: Lucas Mwashambwa ChoiceVariable chiembe FaizaFoxy Mbaga Jr Poor Brain Kalpana
Wajipange tu kisaikolojia huu mwamba haunaga mpango na Africa sembuse Tanzania wenzao ulaya walishaanza kudoroganaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Amemmiminia na kupongeza Rais mteule wa Marekani Mheshimiwa Donald Trump. ambaye ni Rais aliyeweka rekodi ya kipekee ya kurejea kwenye kiti cha Urais kwa awamu ya pili katika miaka tofauti tofauti tangia ilipotokea hivyo miaka ya 1800.
Ambapo Rais wetu Mpendwa Ameahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani.
Ikumbukwe ya kuwa tumekuwa na ushirikiano wa muda mrefu sana na wenye matokeo Chanya sana na sasa sisi na Marekani ni kama ndugu. Salamu hizo za pongezi za Rais wetu Mpendwa zilikuwa zinasubiriwa kwa hamu kubwa sana na mamilioni ya watanzania.
hasa kwa kutambua ukweli kuwa Rais wetu Mpendwa ndiye kioo cha Bara zima la Afrika na ambaye amekuwa kama ndiye Nembo ya Afrika.wazungu wote wanamtizama Mama kwa jicho la kipekee .kwa kumuona ni kiongozi mwenye akili kubwa ,upeo mpana ,uelewa na ufahamu wa masuala mbalimbali na kiongozi mwenye ushawishi mkubwa sana Barani Afrika.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Usinifanyie hivyo!Kaandike chako basi Ili uridhike
Safi sana!Labda mke wako aondoke kwako, huyo kibaraka mchague rais wa hapo nyumbani kwako. Huna akili we bwege. Samia tunaye mpk 2030 labda ujinyonge
A tadpole of the deaf mother-frog at your best.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Amemmiminia na kupongeza Rais mteule wa Marekani Mheshimiwa Donald Trump. ambaye ni Rais aliyeweka rekodi ya kipekee ya kurejea kwenye kiti cha Urais kwa awamu ya pili katika miaka tofauti tofauti tangia ilipotokea hivyo miaka ya 1800.
Ambapo Rais wetu Mpendwa Ameahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani.
Ikumbukwe ya kuwa tumekuwa na ushirikiano wa muda mrefu sana na wenye matokeo Chanya sana na sasa sisi na Marekani ni kama ndugu. Salamu hizo za pongezi za Rais wetu Mpendwa zilikuwa zinasubiriwa kwa hamu kubwa sana na mamilioni ya watanzania.
hasa kwa kutambua ukweli kuwa Rais wetu Mpendwa ndiye kioo cha Bara zima la Afrika na ambaye amekuwa kama ndiye Nembo ya Afrika.wazungu wote wanamtizama Mama kwa jicho la kipekee .kwa kumuona ni kiongozi mwenye akili kubwa ,upeo mpana ,uelewa na ufahamu wa masuala mbalimbali na kiongozi mwenye ushawishi mkubwa sana Barani Afrika.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Chagua wa kukufanyia P Diddy au Baltazar?Usinifanyie hivyo!
Ajiandae kumpongeza Lissu 2025Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Amemmiminia na kupongeza Rais mteule wa Marekani Mheshimiwa Donald Trump. ambaye ni Rais aliyeweka rekodi ya kipekee ya kurejea kwenye kiti cha Urais kwa awamu ya pili katika miaka tofauti tofauti tangia ilipotokea hivyo miaka ya 1800.
Ambapo Rais wetu Mpendwa Ameahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani.
Ikumbukwe ya kuwa tumekuwa na ushirikiano wa muda mrefu sana na wenye matokeo Chanya sana na sasa sisi na Marekani ni kama ndugu. Salamu hizo za pongezi za Rais wetu Mpendwa zilikuwa zinasubiriwa kwa hamu kubwa sana na mamilioni ya watanzania.
hasa kwa kutambua ukweli kuwa Rais wetu Mpendwa ndiye kioo cha Bara zima la Afrika na ambaye amekuwa kama ndiye Nembo ya Afrika.wazungu wote wanamtizama Mama kwa jicho la kipekee .kwa kumuona ni kiongozi mwenye akili kubwa ,upeo mpana ,uelewa na ufahamu wa masuala mbalimbali na kiongozi mwenye ushawishi mkubwa sana Barani Afrika.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili