Rais Samia amru bendera ipepee nusu mlingoti tuomboleze kitaifa

Hivi Ku rest in peace ndo kufanyaje?! Au unamaanisha Ku rest in peaces ?!
 
We utaacha mtoto wako shimoni usafiri uache maelekezo tu
 
Ningemuelewa kama angeahirisha safari yake ya kwenda Brazil ningemuelewa.
Kiukweli nimeshangaa sana kapata ujasiri wa kusafiri kabisa ,yaani mguu mosi mguu pili mpk Brazil ..ile jana tu nimeshangaa na bado namshangaa sana huyu mama
 
Kiukweli nimeshangaa sana kapata ujasiri wa kusafiri kabisa ,yaani mguu mosi mguu pili mpk Brazil ..ile jana tu nimeshangaa na bado namshangaa sana huyu mama
Tushangae wote mkuu
 
Daaaaa key board warriors banaaaaa
 
🇹🇿
 
Siamini kwa huyu mtu ameweza kusafiri kwenda nje ya Nchi akiacha hali iko hivi. Aisee watanganyika sijui tulikosea wapi? Yaani janga kubwa kama hili watu wako chini wanalia msaada yeye kapanda mwewe kuondoka?
Tafuta hela mkuu
 
Labda atangaze ofisi zifungwe siku3 tuomboleze vizuri tukiwa nyumbani 🤣🤣
 
Umewaza ujinga tu badala ya kuomba mapambano ya kuwaokoa wenzetu we unaleta bendera poor you
 
Bendera zipepee nusu mlingoti huku yeye ameenda kuzurula......!

Yaani unamsiba nyumbani kwako waombolezaji wanakuja halafu wewe mfiwa unaondoka.....? Maajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…