abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
unajua day dreaming? sababu kaondolewa flan unabaki kutabiru worst things all the time.Naona mapato hai yakishuka kwa Kasi ya juu
Podcast yake inapatikana wapi?..spotify au wapi?Kwenye podcast ya Tundu Lissu episode ya wiki hii Mbowe ameweka kumbukizi (document) baadhi ya yaliotokea kwenye siasa zetu, wahanga, na ushiriki wa baadhi ya watu ambao muda unavyokwenda kuna uwezekano wakaonekana wasafi aidha kwa kupoteza kumbukumbu au propaganda.
Inawezekana baadhi kweli ila si yote kuna mda Binadamu sababu ya chuki kua nyingi tunaongeza chumvi
Kweli Mataga hamnaga akili. Sasa kwa kauli hiyo uliyokuwa umeiandika hapo ulikuwa unai-support serikali?kwahiyo kwa kauli hiyo tayari nimekuwa mpinzani wa serikali ya ccm!!!
Wakati JK ndo aliyempa ukuu wa WilayaHii tamu sana aseee kumbe ndio maana amepoa ?? Duuuu safi sanaaaa....jeuri yake lazima aliwe alimtukana JK
Kumbe alikuwa anataka kula mbususu ya Nandy kimabavu..huyu mmasai kumbe alikuwa mpumbavu kiasi hiki.Chumvi ipi mkuu wakati CCTV zipo? Yaani Sabaya anavamia hotel kwenda kumlamba Nandy kinguvu aiseeee!!
Ukosawa maana hata mkiwa wawili pia mnaitwa watantania.Sio chadema
Watanzania wamefurahi
Hatutaku propaganda kwenye hili swala
Hii naona ni njia nzuri zaidiAsipofikishwa mahakamani akahukumiwa hatakuwa salama, tahadhari tu, tunakusanya data mahali pa kumpata tukamfanyizie aliyotufanyizia, ama zetu ama zake, jumapilii kaskazini.
Khaaaaah huyu ameanza uchizi sahivi eti eeeh? [emoji849][emoji849]
Eheee alikuwa anaforce akaonane na Nandy kwenye chumba chake ili alambe MBUSUSU kinguvu atake asitake.Kumbe alikuwa anataka kula mbususu ya Nandy kimabavu..huyu mmasai kumbe alikuwa mpumbavu kiasi hiki.
Huyu ni wakukatwa hata makagari(mbupu)
Nchi inaendelea kuwa nzuri bado akina Ole Ndugai.Nilidhani Chadema wangesikitika kwa sababu Ole sabaya anatoka jimbo moja na mwenyekiti wao Freeman lakini badala yake Sukuma gang kutoka kanda pendwa ndio wamehuzunika.
Kwanini Chadema wana furaha?!!
Eid Mubarak!
Wewe Ni mpuuzi tu.nchi hii Ina wapumbavu wengi sana.Kwahiyo Rais anafaidika Nini,hiki ndiyo Unamaanisha.Akitumbuliwa wewe unapata faida ipi?