Mama kama Mama ,tunakependa saaaana MamaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na kuzungumza na Mkuu wa Majeshi wa kwanza Mstaafu Jenerali Mrisho S. Sarakikya wakati alipomtembelea kumjulia hali nyumbani kwake Nkoaranga Wilaya ya Arumeru Arusha tarehe 20 Agosti, 2023.
View attachment 2722624
View attachment 2722625
Mirisho, si unatujua wabongo hata majina yetu tunayakosea.Ni Mrisho au Mirisho?
Mtei aliyeiba pesa BOT akachoma motoNi jambo jema
Hata mzee Mtei ni mtu muhimu sana kwenye Ujenzi wa Taifa
Andika vizuri mkuu, acha mihemuko. By the way NO DP WORLD TO TANGANYIKA PORTS.Mama kama Mama ,tunakependa saaaana Mama
🤣Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na kuzungumza na Mkuu wa Majeshi wa kwanza Mstaafu Jenerali Mrisho S. Sarakikya wakati alipomtembelea kumjulia hali nyumbani kwake Nkoaranga Wilaya ya Arumeru Arusha tarehe 20 Agosti, 2023.
View attachment 2722624
View attachment 2722625
Ni mirishoNi Mrisho au Mirisho?
Wameru wengi ni walutherani.Jina la Mrisho ni la kiislam bali mzee siyo Mrisho ni Mirisho (Huyu mzee ni Katoliki )
Ni jambo jema
Hata mzee Mtei ni mtu muhimu sana kwenye Ujenzi wa Taifa
sio tanganyika port mkuu.Andika vizuri mkuu, acha mihemuko. By the way NO DP WORLD TO TANGANYIKA PORTS.