Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka akamtembelee bibi yako.Rais wa matajiri,huwezi sikia hata siku moja kuwa kafanya ziara Katavi.Hivi toka awe Rais kishafika Lindi au Songea ,Sumbawanga au Simiyu kweli huyu?Kila mara utamsikia yupo Arusha, Zanzibar, Dodoma na Dar.
Hahahaaa..... Apajue huko anafata nini! Zamani JK alikuwa akienda sana Marekani, ila mama anaenda sana Dubai.Rais wa matajiri,huwezi sikia hata siku moja kuwa kafanya ziara Katavi.Hivi toka awe Rais kishafika Lindi au Songea ,Sumbawanga au Simiyu kweli huyu?Kila mara utamsikia yupo Arusha, Zanzibar, Dodoma na Dar.
Huko lindi ili mumpulizie moshi kama marehemu magu?Rais wa matajiri,huwezi sikia hata siku moja kuwa kafanya ziara Katavi.Hivi toka awe Rais kishafika Lindi au Songea ,Sumbawanga au Simiyu kweli huyu?Kila mara utamsikia yupo Arusha, Zanzibar, Dodoma na Dar.
Huko lindi ili mumpulizie moshi kama marehemu magu?Rais wa matajiri,huwezi sikia hata siku moja kuwa kafanya ziara Katavi.Hivi toka awe Rais kishafika Lindi au Songea ,Sumbawanga au Simiyu kweli huyu?Kila mara utamsikia yupo Arusha, Zanzibar, Dodoma na Dar.
Na Pia Leo kapokea walakaJina la Mrisho ni la kiislam bali mzee siyo Mrisho ni Mirisho (Huyu mzee ni Katoliki )
Stress bado zipo, umewahi kumuona kakaa kwenye kiti tofauti na kile cha mbao?Anatembea tembea kupunguza stress maskini