Atuachie kwanza nchi yetu halafu la katiba mpya lifuate. Hana huruma na wananchi. Bidhaa muhimu zote zimepanda bei!!
1 sukari
2. Mafuta ya kula
3. Vifurushi
4. Nondo
5. Cement
6. Mabati
7. Misumali
8. Rangi za nyumba
9. Chakula
10. Ugolo/ Tumbaku
Halafu wala hazumgumzii tatizo hili la mfumuko wa bei.