Rais Samia amteua Habibu Juma Suluo kuwa Mkurugenzi LATRA

Rais Samia amteua Habibu Juma Suluo kuwa Mkurugenzi LATRA

LATRA waende kuwasaidia abiria wa mbagala pale gerezani kariakoo wale abiria wanapata shida ya usafiri mwanzomwisho..pale gerezani hakuna nauli elekezi ya serikali kutoka gerezani Hadi mbagala rangi 3 TSH 8,000 na abiria waendao chamazi/mmbande ni TSH 1000.

Mara nyingi huwa napakia abiria hapo na gari yangu binafsi Kwa TSH 3000 Hadi chamazi ebu fikiria hii pesa ilivyokuwa kubwa Kwa maisha ya haya ya njaaa kali
 
Hizi kazi watu wanapaswa kuziomba. Sio kututeulia watu tu. KATIBA ibadilike kwa kweli. Watu wenye sifa wanapaswa kuziomba interview zifanyike publicly mambo ya kuteuana yamepitwa na wakati
Upo sahihi, nafsi zitangazwe, raia watume maombi na usaili ufanyike ili walio bora wapatikane.
 
Mwenyezi Mungu amwongoze katika utekelezaji wa majukumu yake
 
Back
Top Bottom